Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Kuna sababu mbalimbali hupelekea pia mtu kuambukizwa ngoma hata kama unatumia kinga..mfano mtu umetoka ku shave sirini af unaenda kurukia,hujui kua yale maj maj yakirukia kwenye pale umeshave na umejikata uwezekano wa kuambukizwa upo,.pia vidonda vya mdomo,mtu una vidonda lakin unaenda chumvin au unapiga mate ya hatar,unategemea nin,..mtu umejikata vidolen,bado unapima oil.