Kwa hali ya sasa Ngono haiepukiki kabla ya ndoa, Kijana wa kikristo ukioa bila utaratibu huu imekula kwako tegemea lolote

Mke anayeshushwa na Mungu kitu cha kwanza lazima awe bikra, wala hakuna mambo mengi.
 
Wajitunze vipi na hamuishi kuwaingiza majaribuni na hela zenu za mnavu wakati wao wametoka kwenye familia mbombongafu? Matokeo ya mwanamke yanatengenezwa na wanaume.
 
Hayo ni mawazo yako tu! Wapo mabinti waliojitunza vizuri huwezi kuamini.
Kama umekusudia kuoa na ukamtanguliza Mungu, atakutafutia binti mzuri ambaye amejitunza vizuri.
Mke mwema anatoka kwa BWANA.
Huyo binti amejitunzaje mkuu? Hem acha habari zako mkuu, kwa sasa hakikisha tu hajatatuliwa rinda, ukipata aliyemegwa na me chini ya watano hiyo ndio bikra ya kisasa.
 
Una akili mkuu ila utakua umeshapiga au unapotezea kbisa?
 
Imeandikwa usizini
 
Kuna maudhi sana siku hizi kwa sie tuliofunzwa kuwa wavumilivu, tusile vitu mpaka siku ya ndoa. Unachumbia binti, unajikaza huli kitu mpaka siku ya harusi ndio uzindue albamu kumbe wahuni wanakula, binti hajatulia keshaonjewa mpiko na muhuni fulani ambaye hatamuoa. Usipokuwa makini kwa uchunguzi utafunga ndoa na binti ambaye tayari ana kitu na boksi, ile umelala naye siku mbili tatu anakuambia tayari kitu kimeingia fasta unajisifu kidume kumbe kuna muhuni kakuwahi na binti anajua mchezo mzima. Cha kufanya ukichumbia ukakubaliwa hapohapo unaanza kuzindua albamu ili kujihami wahuni wasifanye yao kwa mchumba wako kisha mnawahi kufunga ndoa kabla hamjashitukiwa kama tayari mmeonjeana mpiko kabla ya ndoa. Mkishitukiwa mtatengwa ushirika, mkifunguliwa ushirika mnabariki ndoa huku mna mtoto na maisha yanaendelea kuliko kuacha imani kabisa kisa kuoa kwa kuvuta, wanasema kuoa gizani. Hali ndio hiyo mapasta muelewe hivyo msitenge vijana wanaoa kwa short cut kuna mambo wanayakwepa si vibaya
 
Hizo ni sababu tu zisizo za msingi kabisa, unajaribu kuzijengea hoja lakini hoja mfu, maumbile ya mwanadamu hakuna yaliyotumika sana au kidogo, hamna kipimo cha kupima matumizi hayo, Kuna watu wanapenda mashangazi, na hujawah sikia wanalalamika kupwaya huko unakosema wewe, kiatu kinaisha lakini mguu haujawah isha.

Hoja yako ya et kumpa mimba kabisa, mnawapa mimba baadaye mnawaona hawafai mnaanza kutafuta ambao hawajazaa, kwa hoja yako hiyo mmezalisha singo mamaz mtaani na bado mnasema Singo mama sio wa kuoa. Vijana hamueleweki mnataka nini
 
Kuna mmoja huyo sikuwa nimewahi kumkagua ile kiintelijensia, nimemaliza mchezo tunapiga stori na suti zetu za asili, akawa kama kakunja nne hivi, jicho la udadisi likatua pajani kwake nikaona kitu ka muunguzo wa ngozi hivi, nikawa natamani zaidi kuona kilichomuunguza.

Alaaaaaah! Kuangalia vizuri ni tattoo zile za kuchorea korosho imeandikwa I Love u Dullah 😂 😂, nikavunja ukimya nikamuuliza akanijibu easy tu hata wewe ukitaka nitakuandika. Kimoyomoyo nikajisemea hapa ni starehe reloaded tu hakuna maisha.
 
Ngono kabla ya ndoa ni jambo lisiloepukika. Na usidanganywe kuwa ukienda kwenye kanisa la walokole utampata bikra. Imekula kwako. Wengi wao wamebikiriwa na mitume, mashemashi, walimu wa kwaya, wazee wa kanisa, katekista, na kadhalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…