Pre GE2025 Kwa hali ya siasa ilivyo nchini, binafsi sioni upinzani katika ujumla wao nchini, wakipata zaidi ya 5% ya kura zote katika uchaguzi mkuu ujao 2025

Pre GE2025 Kwa hali ya siasa ilivyo nchini, binafsi sioni upinzani katika ujumla wao nchini, wakipata zaidi ya 5% ya kura zote katika uchaguzi mkuu ujao 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

Hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

Hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

Hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

Hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote.

Na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

Nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
 
Mkuu mbona mnatumia nguvu kubwa kunyoshea kidole wapinzani ambao tayari mnaona kama wameshajifia? 🐒
ni katika kuweka record sawa tu,
isije inaonekana hatukusema wala kutoa tahadhari mapema mwisho wa siku 🐒
 
hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao...
wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote,
na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
kwa mawazo yako
 
ni katika kuweka record sawa tu,
isije inaonekana hatukusema wala kutoa tahadhari mapema mwisho wa siku 🐒
Binafsi noana hizi ni siasa za maji taka tu ,mnatuhadaa sisi watanzania tusiojua kufikiri sawasawa😁😁 🐒
 
Binafsi noana hizi ni siasa za maji taka tu ,mnatuhadaa sisi watanzania tusiojua kufikiri sawasawa😁😁 🐒
si hivyo tu,
hata zikiwa za maji safi ni siasa tu, ambazo zitafanyika kwa bidii, hali na mali kwa mustakabali mwema wa uhai na afya ya Kidemokrasia, nchi na Taifa letu Tanzania 🐒
 
si hivyo tu,
hata zikiwa za maji safi ni siasa tu, ambazo zitafanyika kwa bidii, hali na mali kwa mustakabali mwema wa uhai na afya ya Kidemokrasia, nchi na Taifa letu Tanzania 🐒
Sure Mr 🐒
 
True kabisa. Ila wamejikita kuyarudisha majimbo wanayoamini ni ngome zao,nadhani hawako siriaz na kiti cha ikulu
 
Sasa hofu yako ni nini?

Hii si dalili njema una hofu kubwa!! Kwa taarifa yako Upinzani unaokuja 2025 siyo huu Bwashee. Ngoja Mbowe awapumbaze
hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao...
wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote,
na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
 
Sasa hofu yako ni nini?

Hii si dalili njema una hofu kubwa!! Kwa taarifa yako Upinzani unaokuja 2025 siyo huu Bwashee. Ngoja Mbowe awapumbaze
Just kuweka record sawa tu gentleman,

isije ikaonekana hatukusema mapema 🐒
 
Back
Top Bottom