Pre GE2025 Kwa hali ya siasa ilivyo nchini, binafsi sioni upinzani katika ujumla wao nchini, wakipata zaidi ya 5% ya kura zote katika uchaguzi mkuu ujao 2025

Pre GE2025 Kwa hali ya siasa ilivyo nchini, binafsi sioni upinzani katika ujumla wao nchini, wakipata zaidi ya 5% ya kura zote katika uchaguzi mkuu ujao 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

Hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

Hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

Hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

Hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote.

Na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

Nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
Kwani hiyo Ina shida Gani dogo??
Kama jamii inataka iwe hivyo Kuna ubaya Gani! Au unaupenda upinzani uko ccm kwa ajili ya maokoto??

Huna kazi za kufanya Kila siku upinzani tu

Kwa taarifa yako 1995 upinzani ulishinda haukutangazwa

2020 upinzani zenji ulishinda haukutangazws

2025 upinzani zenji ulishinda haukutangazwa

2010 slaa alishinda hakutangazwa

Lowasa alishinda hakutangazwa
2015

2020 lissu alishinda hakutangazwa
Katika mazingira kama haya ya tutegeemee udanganyifu tu
 
Hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

Hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

Hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

Hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

Hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote.

Na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

Nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
Hoja zako zingekuwa na mashiko iwapo Polisi na Tume wangekaa pembeni tuone game halali kati ya CCM na CHADEMA. sasa hivi huwezi pata tathmini sahihi.
 
Hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

Hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

Hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

Hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

Hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote.

Na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

Nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
wewe unafanya kipi
 
Hoja zako zingekuwa na mashiko iwapo Polisi na Tume wangekaa pembeni tuone game halali kati ya CCM na CHADEMA. sasa hivi huwezi pata tathmini sahihi.
mahiko ya hoja hizi ni baada ya Uchaguzi gentleman 🐒
 
Kwani Kuna shida Gani ikiwa ccm itashinda kihalali 95% au hamjiamini
hakuna shida gentleman,

ni katika kukumbushana na kuweka record sawa tu, tusijekulaumiana wakati muafaka 🐒
 
Kwani hiyo Ina shida Gani dogo??
Kama jamii inataka iwe hivyo Kuna ubaya Gani! Au unaupenda upinzani uko ccm kwa ajili ya maokoto??

Huna kazi za kufanya Kila siku upinzani tu

Kwa taarifa yako 1995 upinzani ulishinda haukutangazwa

2020 upinzani zenji ulishinda haukutangazws

2025 upinzani zenji ulishinda haukutangazwa

2010 slaa alishinda hakutangazwa

Lowasa alishinda hakutangazwa
2015

2020 lissu alishinda hakutangazwa
Katika mazingira kama haya ya tutegeemee udanganyifu tu
mwaka ujao ni 5% wapinzani kwa ujumla wao, chukua hii iweke kama kumbukumbu itakusaidia 🐒
 
Mbowe target yake ipo kwenye ruzuku tu, hayo mengine hana ishu nayo
 
Kama ccm itashinda kwa 95% alafu umasikini na tozo zikiondoka kwa 95% hakuna shida dogo
CCM nilishaizungumzia na asilimia zake, hapa na zungumzia upinzani kwa ujumla. Na huo ndio uelekeo wake 🐒
 
Hasa kwenye nafasi ya Urais..
wanasubiri mistakes za serikali ndipo wareact...

Hawana na hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya vyama vyao wala nje ya vyama vyao wanajipiga kifua tu, safari hii sijui nini na nini huko, siku imeisha....

Hawana agenda, mipango mikakati mbadala, wala sababu za kuwashawishi wananchi wawakatae viongozi walioko mamlakani kwasababu mambo mengi yametekelezwa vizuri sana kwa uhakika na serikali iliyopo madarakani..

Hawana imani wala uhakika na wagombea wao nafasi mbalimbali kama vile wenyeviti wa mitaa na vijiji, madiwani, wabunge na hata Rais. Ni wagombea wao, wana hofu nao na wengi wao wanaitwa mamluki 🤣

Hawana uhakika wa kushinda nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa ngazi yoyote.

Na maandalizi yao kwasasa ni kuandaa na kubuni sababu za kuwaeleza na kuwatuliza wanachama wao kwanini washindwa vibaya uchaguzi huo, kama kisingizio cha kuwatuliza na kuwapa moyo wafuasi na wanachama wao dhidi ya fedheha hiyo 🐒

Nini maoni yako kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae uchaguzi mkuu mwaka ujao?
Kidumu chama cha mapinduzi!CCM chama dume ,chama imara ,chama makini na chama cha siasa sio chama cha kukopeshana
 
Back
Top Bottom