mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Inafahamika kama Gallstone (Nyongo). Inapatikana ndani ya mwili wa ngombe,anapochinjwa hutolewa hiyo nyongo. Wachina ndiyo wadau wakubwa wa kuhitaji hii kitu.
Wao huwa Wana amini hutibu Magonjwa ya Ini, Moyo na Homa ya Manjano. Kwa hapa Tanzania wachina hununua gram 1 ya hizo Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000 ambapo ukiweza kuwa na kg1 ni mln 8,000,000 mpaka 10,000,000 unauza.
Kama kuna mtu ana shughulika na mifugo na atabahatika kuzipata, asisite kuwasiliana na mimi na tukafanya naye biashara maana nina wanunuzi/wahitaji wa uhakika
Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0715591141
Ova
Zaidi, soma:
1), Fursa ya biashara ya uume wa ng'ombe
Wao huwa Wana amini hutibu Magonjwa ya Ini, Moyo na Homa ya Manjano. Kwa hapa Tanzania wachina hununua gram 1 ya hizo Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000 ambapo ukiweza kuwa na kg1 ni mln 8,000,000 mpaka 10,000,000 unauza.
Kama kuna mtu ana shughulika na mifugo na atabahatika kuzipata, asisite kuwasiliana na mimi na tukafanya naye biashara maana nina wanunuzi/wahitaji wa uhakika
Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0715591141
Ova
Zaidi, soma:
1), Fursa ya biashara ya uume wa ng'ombe