Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

Hii sijaisikia nilikua naijua ya pembe na nyeti ila kupatikana kwake kukanitatiza...
Labda nijaribu hiyo ya nyongo,
Sasa na wewe utachukua kwa bei hiyo au?
Mkuu ya pembe na nyeti za mnyama gani au binadamu @Hormet
 
Dah mkuu kweli nimechinja ng'ombe wengi na sijui siku wakidai roho zao nitawajibu nn ila hiyo kitu sijawahi kukutana nayo ila ngoja kesho nitajaribu kufanya upelelezi kwa wadau.Je unafuata mzigo popote au ndo mie nakutafuta?..Mi kanuni yangu huwa nafanya biashara Free on board(FOB) Yaani nilipo coz nishapoteza hela yangu kupeleka bidhaa flaniflani sehemu za mbali mwisho nakutana na usumbufu usio wa lazima so km uko serious nitakupa feedback km deal linawezekana au la.
Vyovyote vile ila ukiwa tayari na ukizipata tutajua tunafanyeje mkuu

Ova
 
Si unajua vyuma vimekazwa line zimezibwa Sasa tunarudia biashara za zamani mataita wenyewe wanataka mzigo huo....
Alafu China bei yake parefu sana mzee kuuza

Ova
 
Makavell changanya mbongo mkuu.
Hahaha wiki 3 zilizopita nlipata grm5
Sema unahitaji utolee macho sana
Na kama uko kwenye sekta ya mifugo unaweza piga bao....Sema watu wengi hawajui hii ishuu wanapiga kimya!

Ova
 
Bachelor sugu@ana connection nzuri ya kuzipata na mmoja namhakikishia %10000 anauza tena kwa pozzy kubwa

Ova
Mkuu sio kwamba nina connection ila kwa kuwa ni fursa lazima tuingie tupambane ila nimeshafanya shughuli ya kuchinja ng'ombe miaka ya 2000-2005 hivyo nina experience ya kutosha kuhusu mwili wa ng'ombe ila huku nilipo nitajaribu kufanya research ya hii kitu
 
Back
Top Bottom