Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

Itabidi niamkie machinjioni
Kuna wakati nlikuwa nawauzia pia wachina jongoo baharini,osters,mapezi ya papa Sasa siku moja nko ofisi ni kwa mchina kuna wapemba fulani walileta kitu kinaitwa Ambari,inasemekana samaki mkubwa sana huwa anaitema jamaa walikuwa na Karibia grm 800 hivi jamaa walipewa $11000 mbele yangu na data nkamuliza yule mchina vp nkipata nkuletee a kaniambia nkipata nimpeleke ila niwe natembea sana ufukweni mwa baharini huwa inapatikana basi nliporudi Mafia nlikuwa asubuhi napiga mguu kandokando ya baharini kaa chizi hahaha lkn siku bahatika Pata alafu wa ajabu ndy wanunuzi wakubwa wa hyo kitu
Uliposema utamkia machinjioni umenikumbusha mbali

Ova
 
Kuna wakati nlikuwa nawauzia pia wachina jongoo baharini,osters,mapezi ya papa Sasa siku moja nko ofisi ni kwa mchina kuna wapemba fulani walileta kitu kinaitwa Ambari,inasemekana samaki mkubwa sana huwa anaitema jamaa walikuwa na Karibia grm 800 hivi jamaa walipewa $11000 mbele yangu na data nkamuliza yule mchina vp nkipata nkuletee a kaniambia nkipata nimpeleke ila niwe natembea sana ufukweni mwa baharini huwa inapatikana basi nliporudi Mafia nlikuwa asubuhi napiga mguu kandokando ya baharini kaa chizi hahaha lkn siku bahatika Pata alafu wa ajabu ndy wanunuzi wakubwa wa hyo kitu
Uliposema utamkia machinjioni umenikumbusha mbali

Ova
Haaaaaaa Sawa mkuu
 
Kuna wakati nlikuwa nawauzia pia wachina jongoo baharini,osters,mapezi ya papa Sasa siku moja nko ofisi ni kwa mchina kuna wapemba fulani walileta kitu kinaitwa Ambari,inasemekana samaki mkubwa sana huwa anaitema jamaa walikuwa na Karibia grm 800 hivi jamaa walipewa $11000 mbele yangu na data nkamuliza yule mchina vp nkipata nkuletee a kaniambia nkipata nimpeleke ila niwe natembea sana ufukweni mwa baharini huwa inapatikana basi nliporudi Mafia nlikuwa asubuhi napiga mguu kandokando ya baharini kaa chizi hahaha lkn siku bahatika Pata alafu wa ajabu ndy wanunuzi wakubwa wa hyo kitu
Uliposema utamkia machinjioni umenikumbusha mbali

Ova
Umenikumbusha mbali sana mzee alishaifanyaga biashara ya hao jongoo wa baharini kuwatoa msumbiji ila ikafika hatua bishara ikapigwa marufuku na kuoneka sasa ni magendo.Biashara zingine mang'aa sana unaweza hangaika mwishowe unatoka kibyongo tu bila mafanikio.
 
Overly, mm nasema ila c kweli.
Unajua watu tunatofautiana kwenye utafutaji na kwenye utafutaji tushafanya mambo kibao ndomana tumekutana na michongo mingi na hii kuna watu baadhi wanafahamu mkuu

Ova
 
Umenikumbusha mbali sana mzee alishaifanyaga biashara ya hao jongoo wa baharini kuwatoa msumbiji ila ikafika hatua bishara ikapigwa marufuku na kuoneka sasa ni magendo.Biashara zingine mang'aa sana unaweza hangaika mwishowe unatoka kibyongo tu bila mafanikio.
Mimi jongoo nime fanya nimezunguka mtwara,lindi mwishowee ntaenda piga kambi Mafia na nlikaa sana kwenye visiwa vya jibondo pale tena nlikuwa na boti na mashine na madaiva wangu...jongoo aina ya pauni,barango,spin-off etc tulikuwa tunawavizia Sema upatikaanaji haukuwa mkubwa nakumbuka huyu jamaa ambayo sahv ndy dereva wetu enzi hzo alikuwa waziri wa uvuvi alifanyaga operation kubwa baharini na ziwani tukamalizwaga na tukafilisiwaga

Ova
 
Mimi jongoo nime fanya nimezunguka mtwara,lindi mwishowee ntaenda piga kambi Mafia na nlikaa sana kwenye visiwa vya jibondo pale tena nlikuwa na boti na mashine na madaiva wangu...jongoo aina ya pauni,barango,spin-off etc tulikuwa tunawavizia Sema upatikaanaji haukuwa mkubwa nakumbuka huyu jamaa ambayo sahv ndy dereva wetu enzi hzo alikuwa waziri wa uvuvi alifanyaga operation kubwa baharini na ziwani tukamalizwaga na tukafilisiwaga

Ova
We acha tu maisha haya tusogeze siku tujifie wengine wazaliwe babu yangu mmoja ndiye aliyemshawishi mzee wangu kwenye hiyo biashara ila baada ya mzee kuona ishakuwa Nyau akarudi zake TZ ila huyo babu yangu kapotelea huko huko hata sijui yuko hai au la.
 
We acha tu maisha haya tusogeze siku tujifie wengine wazaliwe babu yangu mmoja ndiye aliyemshawishi mzee wangu kwenye hiyo biashara ila baada ya mzee kuona ishakuwa Nyau akarudi zake TZ ila huyo babu yangu kapotelea huko huko hata sijui yuko hai au la.
Hahaha Sema hela yake fast money
Ukiwa na mzigo unatumiwa fasta

Ova
 
We acha tu maisha haya tusogeze siku tujifie wengine wazaliwe babu yangu mmoja ndiye aliyemshawishi mzee wangu kwenye hiyo biashara ila baada ya mzee kuona ishakuwa Nyau akarudi zake TZ ila huyo babu yangu kapotelea huko huko hata sijui yuko hai au la.
Nlikuwa nakusanya mpk makombe yale (sea shelves)nauza kwa wachina

Ova
 
Back
Top Bottom