The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Nikusmuggle hakuna namnaNaona jamaa wamezidi kubana kazi yetu Ile
Inabidi tujiongeze Sasa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusmuggle hakuna namnaNaona jamaa wamezidi kubana kazi yetu Ile
Inabidi tujiongeze Sasa
Ova
Inategemea ubora mkuu arusha inasoko tuma kilo tuoneNilijaribu kupeleka sunstone nairobi nlimpa mtu alingilia taveta nlimpa kama kg25 nliambulia siasa tu!ila watu wanafanya hivyo ila syo mizigo mikubwa
Ova
Yaah hapa ni full ma gem ,ila kuna jamaa ananunua lakini mlaliaji sanaUbora mzuri tu ni sunstone ya chamkoroma
Sahv Nna kg25 sunstone ya same pia....
Ila huko arusha Nyie wazee mawe ya pisi tu sana
Ova
mkuu atuhurumie sjui tuanze tena kuiba magariWanatumia Hali hii kulala,dar wadosi wengi wamekula kona
Ova
Ndugu natafuta number yako, please tuwasilianeMkuu nimechinja sana ng'ombe na kiufupi najua iko attached sehemu flani kwenye maini but kwa ng'ombe mmoja ni almost km gram 10+,sasa hebu nipe data niingie site namna ya kihifadhi maana iko ktk form ya kimiminika lete details au km vp njoo PM
Hizo hupatikana ndani ya hiyo bladder
Ni mawe,ndomana na Sema unapopasua nyongo hiyo unatakiwa kutizama kwa umakini sana kuna baadhi ya ngombe huwa wanakuwa nazo
Ova
[/QUOTE
Ukiyakuta hayo mawe maana yake huyo ng'ombe alikuwa na ugonjwa.Kwa sababu katika hali ya kawaida nyongo inakuwa katika hali ya kimiminika ndani ya mfuko wake(gall bladder).Na hii ipo hivyo hata kwa binadamu.Ila kuna pathologies(magonjwa) yanayofanya hayo mawe kutengenezeka.Kwa hiyo huwez kuyakuta katika ng'ombe wote.
Wachina Wanakula basiUkik
Kwa Sasa mm nmestop mchina wangu mpk mwezi wa 7 tutaanza tena, ila nna buyer mwingine ukiwa nayo ntakulink na wadau wengi nawaunganisha kwakeOya vipi hao wachina bado wanahitaji izo nyongo maana hali ishakuwa tete kama bado wanahitaji tuanze kujitosa kutoa hata za kuku bata mbwa paka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndy ukiwa nayo nstuee pm namba nkukink kwa mtu anaye chkua kwa Sasa, kama kawaida mm syo mchoyo kutoa connection
Ha ha ha ha..jamaa bhana..Umenena vyema Mkuu!na Kama kuna bidhaa vingine wanahitaji tushirikishane tupambane pamoja wakuuOya vipi hao wachina bado wanahitaji izo nyongo maana hali ishakuwa tete kama bado wanahitaji tuanze kujitosa kutoa hata za kuku bata mbwa paka
Sent using Jamii Forums mobile app