Kwa haraka haraka Cosmass "Rapcha" anatakiwa afanye nini ili game i-balance?

Kwa haraka haraka Cosmass "Rapcha" anatakiwa afanye nini ili game i-balance?

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
20230117_170456.jpg


Hii punch ya Dizasta Vina ni kama ngumi Sugunyo ya Mandonga iliyotoka katikati ya milipuko ya mabomu ya Ukraine.

 
Kama kuna kitu cha busara kwa career yake anaweza kukifanya basi ni kuendelea tu na muziki wake na kuachana na Jesusta.
Battle kati yao iliisha kabla hata haijaanza, akijiroga kujibu Tribulation tunamsahau
 
He gotta keep on battling, his lyrics make more sense than Dizasta's twisted senseless flows.
Lyrics gani za raptcha zaidi ya mihemuko tu,hana ufundi wowote(rap skills) na kichwani pia ni mweupe.
Dizasta ni level nyingine,huwezi shindana naye kwa vina,flows,ujuzi nk.
Rapcha atulie tu na aendelee kujifunza storry telling kutoka kwa Dizasta.
 
Unajua mkeo akishapigwa mimba na mtu mwengine halafu ukajua, ukasema uende kuitoa then mkeo akafa utafanyaje kwa mfano...?

Tuchukulie kumbe alizimia ukaamua kuiacha mimba, katika kujifungua mkeo ndio akafa kweli halafu mtoto akapona ambaye sio wako, utafanyaje kwa mfano....?
 
Rapcha hana uwezo mkubwa sema kapata bahati ya kupata tag kutoka P funk majani
Actually, dogo uwezo anao na uwepo wake kwa bongfleva Godfather ndio kumezidi kurahisisha mziki wake

Maana kuna madogo wengine wanapata hizo chance ila hawafanyi kweli au hawafiki popote kwa sababu uwezo ni mdogo

ila kwa Rapcha yuko vizuri na anaweza kubattle na alikuwa anafanya hivi tangu shinyanga ata kabla majani hajamleta mjini na ana uwezo wa kuwakalisha madogo wenzie kibao ndomana unaona hadi leo Lunya kajikausha

Pamoja na huo uwezo wake wote, uzuri wake wote ila kwenda battle field na Dizasta vina hapo ndipo alipofeli, maana kama unamskiliza Dizasta basi utajua kuwa jamaa anakaa juu kabisa na manguli wa hip hop bongo

Tulioanza kumfahamu tangu miaka ya 2015 wengi wetu tuliamini katika kipaji chake, maana kutokana na umri aliokuwa kipindi hicho na mashairi anavyoandika yalikuwa makubwa sana

with time watu watakuja kuelewa uwezo wa Vina na watakuja kugundua walichelewa sana kumuelewa mshkaji ila kwa sasa acha tu wakaze fuvu, mmoja baada ya mwingine atakubali na atamfata huko huko underground alipo bila yeye kuna mainstream
 
Lyrics gani za raptcha zaidi ya mihemuko tu,hana ufundi wowote(rap skills) na kichwani pia ni mweupe.
Dizasta ni level nyingine,huwezi shindana naye kwa vina,flows,ujuzi nk.
Rapcha atulie tu na aendelee kujifunza storry telling kutoka kwa Dizasta.
Mtu hata flow yake haivutii, no wonder hapati streams za kutosha kwenye digital platforms na miaka kumi kwenye game hajafikisha hata 35,000 subscribers.
Uandishi lazima uandane na unavyoweza kucheza na sauti(ref Biggy Smalls-BIG or Ice Cube).
Sikiliza flows Rapcha you'll understand what I mean, siyo unatamka maneno utadhani unauza maembe soko la Vingunguti.
 
Mtu hata flow yake haivutii, no wonder hapati streams za kutosha kwenye digital platforms na miaka kumi kwenye game hajafikisha hata 35,000 subscribers.
Uandishi lazima uandane na unavyoweza kucheza na sauti(ref Biggy Smalls-BIG or Ice Cube).
Sikiliza flows Rapcha you'll understand what I mean, siyo unatamka maneno utadhani unauza maembe soko la Vingunguti.
u mean rapcha or dizasta
 
u mean rapcha or dizasta
I meant Dizasta, huyo dogo mwingine(Rapcha) at least ana subscribers 166,000 na digital platform numbers zake zinaridhisha ukilinganisha na uchanga wake kwenye game.

Dizasta anaweza kuwa na uandishi mzuri lakini kinachomuangusha ni lafudhi mbovu yaani kama muuza maembe wa Mbagala, pia mashairi ni kama hayauziki no wonder numbers zake ziko hivyo, kuna hip hop artist wengi wa generation yake wana mafanikio zaidi yake bila ya kuwa na diehard fanatics kama alio nao yeye.
Numbers don't lie.

Naheshimu maoni ya kila mtu and I agree to disagree with anyone who has different opinions, I'm old school so I might differ with a lot of youngsters.
 
I meant Dizasta, huyo dogo mwingine(Rapcha) at least ana subscribers 166,000 na digital platform numbers zake zinaridhisha ukilinganisha na uchanga wake kwenye game.
Dizasta anaweza kuwa na uandishi mzuri lakini kinachomuangusha ni lafudhi mbovu yaani kama muuza maembe wa Mbagala, pia mashairi ni kama hayauziki no wonder numbers zake ziko hivyo, kuna hip hop artist wengi wa generation yake wana mafanikio zaidi yake bila ya kuwa na diehard fanatics kama alio nao yeye.
Numbers don't lie.
Naheshimu maoni ya kila mtu and I agree to disagree with anyone who has different opinions, I'm old school so I might differ with a lot of youngsters.
Hauwezi kua old school, alafu ukaupima ubora wa msanii kwa kuangalia idadi ya subscribers YouTube. Hauwezi kua old school alafu ukavutiwa na flow ya Rapcha dhidi ya lyrics za Dizasta.

Ukiongelea numbers, tutajikuta tunaona Young thug anajua kuliko Nas, au Lunya anajua kuliko One the incredible. Kwa wanaoijua na kuifuatilia hip hop, content ndio kitu cha kwanza kuangalia.

Anyway, naheshimu mawazo yako brother!
 
Hauwezi kua old school, alafu ukaupima ubora wa msanii kwa kuangalia idadi ya subscribers YouTube. Hauwezi kua old school alafu ukavutiwa na flow ya Rapcha dhidi ya lyrics za Dizasta.

Ukiongelea numbers, tutajikuta tunaona Young thug anajua kuliko Nas, au Lunya anajua kuliko One the incredible. Kwa wanaoijua na kuifuatilia hip hop, content ndio kitu cha kwanza kuangalia.

Anyway, naheshimu mawazo yako brother!
Im old school and im down with rapcha..dizasta is highly overatted though is good a little a bit more than any average underground artist, that being said, if he doesnt change he will remain stuck in the pit he dug and burried his head.
 
Im old school and im down with rapcha..dizasta is highly overatted though is good a little a bit more than any average underground artist, that being said, if he doesnt change he will remain stuck in the pit he dug and burried his head.
Zillion times bro, you can say again and again.
Dizasta is overrated by his fanatics.
 
Back
Top Bottom