JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Wewe kiazi huyo babu yako nasikiliza RTD kabla mangoma yake hayajatumika. Inawezekana bado ulikuwa unanyonya.Hawa watoto wa juzi Mzee Morris Nyunyusa watamjulia wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kiazi huyo babu yako nasikiliza RTD kabla mangoma yake hayajatumika. Inawezekana bado ulikuwa unanyonya.Hawa watoto wa juzi Mzee Morris Nyunyusa watamjulia wapi.
Ni kama kuwa old skool ni kujua kila kitu. Punguza ushamba. Early 90's nilikuwa naenda Sinza K'nyama kumshangaa Eazy B. Kuhusu hii game yako ya Bongo hunakipya unachoweza kuniambia.Halafu huyo ndo alikuwa ana question kama kweli wewe ni old school🤣🤣, youngins wana pretend wameshaona yote, tuwacheki tu mkuu
Cha ajabu unawaponda wavuta bangi wakati Rapcha anatumia mmea pia. Achana na mmea. Hata hao mashabiki wa Rapcha wako wanaotumia.Wavuta bangi ndio watamuelewa Dizasta. Lakini sisi watu wa kula bata Rapcha ni wetu
Wakati anaenda tour Japan ulikuwa na umri gani?Wewe kiazi huyo babu yako nasikiliza RTD kabla mangoma yake hayajatumika. Inawezekana bado ulikuwa unanyonya.
Early 90's nilishaondoka TZ nikaanza maisha mbali nikijitegemea.Ni kama kuwa old skool ni kujua kila kitu. Punguza ushamba. Early 90's nilikuwa naenda Sinza K'nyama kumshangaa Eazy B. Kuhusu hii game yako ya Bongo hunakipya unachoweza kuniambia.
Halafu isaidie nini!? Hili swali la kipuuzi.Wakati anaenda tour Japan ulikuwa na umri gani?
Tuanzie hapo kwanza.
Huyo jamaa ni mweupe au kwakua ni kaka yake na lissaHauwezi kua old school, alafu ukaupima ubora wa msanii kwa kuangalia idadi ya subscribers YouTube. Hauwezi kua old school alafu ukavutiwa na flow ya Rapcha dhidi ya lyrics za Dizasta.
Ukiongelea numbers, tutajikuta tunaona Young thug anajua kuliko Nas, au Lunya anajua kuliko One the incredible. Kwa wanaoijua na kuifuatilia hip hop, content ndio kitu cha kwanza kuangalia.
Anyway, naheshimu mawazo yako brother!
Umeenda kuuliza kwa wakubwa zako Nyunyusa ni nani baada ya kupewa full story unavunga kuja na update hio? 🤣🤣been there...kausha tu kama ulivosema sio lazima umjue!Wewe kiazi huyo babu yako nasikiliza RTD kabla mangoma yake hayajatumika. Inawezekana bado ulikuwa unanyonya.
View attachment 2484818
Hii punch ya Dizasta Vina ni kama ngumi Sugunyo ya Mandonga iliyotoka katikati ya milipuko ya mabomu ya Ukraine.
Fact.bila haraka kwa kutulia tu rapcha hampotezee dizasta vina kwa sababu anaefaidika zaidi na hizo beef ni dizasta namba ya watu wanaomfatilia inaongezeka / imeongezeka kiasi chake baada ya beef na rapcha.
No, cha maana na kinachokusaidia kukuinua kimaisha ni kujua vina vya mashairi ya Dizasta.Halafu isaidie nini!? Hili swali la kipuuzi.
Hata Hitler namfahamu tu kwa kusikia masimulizi ya watu. Una tatizo na hilo!? Au kuwa wa zamani ni ujanja kwako!?Umeenda kuuliza kwa wakubwa zako Nyunyusa ni nani baada ya kupewa full story unavunga kuja na update hio? 🤣🤣been there...kausha tu kama ulivosema sio lazima umjue!
Kama kusikiliza flows za Rapcha zinavyoyainua maisha yako, au sio!?No, cha maana na kinachokusaidia kukuinua kimaisha ni kujua vina vya mashairi ya Dizasta.