Kwa haraka haraka Cosmass "Rapcha" anatakiwa afanye nini ili game i-balance?

Kwa haraka haraka Cosmass "Rapcha" anatakiwa afanye nini ili game i-balance?

Hauwezi kua old school, alafu ukaupima ubora wa msanii kwa kuangalia idadi ya subscribers YouTube. Hauwezi kua old school alafu ukavutiwa na flow ya Rapcha dhidi ya lyrics za Dizasta.

Ukiongelea numbers, tutajikuta tunaona Young thug anajua kuliko Nas, au Lunya anajua kuliko One the incredible. Kwa wanaoijua na kuifuatilia hip hop, content ndio kitu cha kwanza kuangalia.

Anyway, naheshimu mawazo yako brother!
Numbers, figures and hard facts rule. I'm old school before social media kabla hata ya Nas na Young Thug hawajawa kwenye game.
Kama unamkubali artist na majority hawamkubali then think twice, wewe kuona Nas ni bora kuliko Young Thug hakumfanyi awe bora in real sense.
Hip Pop yenu ya Kibongo imegubikwa zaidi na ushabiki to the extent you get blinded by it, wasikilizaji neutral I believe majority will choose Rapcha over Dizasta.
Kwenye hii battle yao digital platform numbers and trends give us the picture who is winning between the two.
Screenshot_20230122-192937.jpg

Unadhani kila mtu anaona One Incredible ni bora kama unavyomuona wewe?
 
Im old school and im down with rapcha..dizasta is highly overatted though is good a little a bit more than any average underground artist, that being said, if he doesnt change he will remain stuck in the pit he dug and burried his head.
Sio lazima achange alipokaa panatosha kashika pillar muhim sana kweny hip hop rapcha sio wakumuweka kundi moja na dizasta, kazi anayofanya dazasta ni kubwa sana anadeserve heshim sio mpaka afe anafanya kitu kitakacho ishi
Jamaa apo juu katoa mfano mzuri sana mfano NAS na Young thug huwez kusema thuger anajua kuliko NAS kwasababu ya subscribers
Huwezi kuweka ngoma yoyote ya young thug au lilybaby dhini ya I CAN, ONE MIC, PATIENT, NAS IS LIKE

Rapcha namkubali anaflow nzuri ni kama kina Lunya tu wapo kundi moja ila anapobattle na mtu kama Dizasta, weight zinakuwa tofauti kutokana na uwezo wa kufikiri kikawaida atazidiwa tu yani ngoma ya 11 minutes alafu unaisikiliza bila kuboa kwa style moja huo ni uwezo wa ajabu na mkubwa kauonesha dizasta ukiwa mwepesi kichwani huwezi fanya vizuri dk 11

Na kuchange style yakuflow sio lazima kwenye hii game PUSHA T ana style moja miaka yote na hachange na anafanya vizuri

Na kitu kingine ni kwamba Dizasta ndo ana mashabiki wengi sana wa hiphop kuliko Rapcha kitu kitakacho mfanya Rapcha auwe upande wa mashabiki wa hiphop atabakisha wale wanaopenda taste nyingine ya music na hao hawawi mashabiki wakudum siku zote wanataka hit juu ya hit ukizingua kidogo tu wanakuacha unabaki kama Aslay[emoji38]
 
Im old school and im down with rapcha..dizasta is highly overatted though is good a little a bit more than any average underground artist, that being said, if he doesnt change he will remain stuck in the pit he dug and burried his head.
Highly overrated by who?

Why does he have to change?

What is that pit you're talking about?
 
Numbers, figures and hard facts rule. I'm old school before social media kabla hata ya Nas na Young Thug hawajawa kwenye game.
Kama unamkubali artist na majority hawamkubali then think twice, wewe kuona Nas ni bora kuliko Young Thug hakumfanyi awe bora in real sense.
Hip Pop yenu ya Kibongo imegubikwa zaidi na ushabiki to the extent you get blinded by it, wasikilizaji neutral I believe majority will choose Rapcha over Dizasta.
Kwenye hii battle yao digital platform numbers and trends give us the picture who is winning between the two. View attachment 2491819
Unadhani kila mtu anaona One Incredible ni bora kama unavyomuona wewe?
Kama unaamini Young Thug ni mwana hip hop bora zaidi ya Nas, sina cha ziada mkuu!

I rest my damn case!
 
Overatted By a small army of diehard fans like you.

Its up to him to change or continue going down the lane he has chosen.

Digest what pit means, arent you a grown up?
Kwamfano akitaka kuchange we unaweza shauri jamaa aflow kwa style gani ?

Changes ni risk siku zote unaweza potea kwenye ramani au ukapiga big step to the moon
 
Kwamfano akitaka kuchange we unaweza shauri jamaa aflow kwa style gani ?

Changes ni risk siku zote unaweza potea kwenye ramani au ukapiga big step to the moon
Kwangu mimi kumsikiliza nyimbo yake moja tu ilitosha dont expect anything new or rather different. Same dark, gloomy laid back beats and flow na utunzi. Au ndio one size fits all style?
 
I meant Dizasta, huyo dogo mwingine(Rapcha) at least ana subscribers 166,000 na digital platform numbers zake zinaridhisha ukilinganisha na uchanga wake kwenye game.
Dizasta anaweza kuwa na uandishi mzuri lakini kinachomuangusha ni lafudhi mbovu yaani kama muuza maembe wa Mbagala, pia mashairi ni kama hayauziki no wonder numbers zake ziko hivyo, kuna hip hop artist wengi wa generation yake wana mafanikio zaidi yake bila ya kuwa na diehard fanatics kama alio nao yeye.
Numbers don't lie.
Naheshimu maoni ya kila mtu and I agree to disagree with anyone who has different opinions, I'm old school so I might differ with a lot of youngsters.
We wa wap wewe watu tunazungumzia battle za rap unatuletea story za subscribers hapa ebu jikite kwenye flow na ukali wa mashairi hayo mambo ya views waachie kina mondi na vanny boy dizasta kwenye hili battle ka win 100%
 
Overatted By a small army of diehard fans like you.

Its up to him to change or continue going down the lane he has chosen.

Digest what pit means, arent you a grown up?
These diehard fanatics are ridiculously unreasonable, always looking for excuses to avoid facts.
Loosers.
 
We wa wap wewe watu tunazungumzia battle za rap unatuletea story za subscribers hapa ebu jikite kwenye flow na ukali wa mashairi hayo mambo ya views waachie kina mondi na vanny boy dizasta kwenye hili battle ka win 100%
Nitajie rapper alijaribu kuchange style na aka survive kwenye game, kuchange ni kama kuanza upya tena mbaya zaidi kwa yule mwenye style moja akataka kushift kwenda new skul anakuwa hafit kabisa msikilize hata Eminem ngoma zake alizojaribu kwenda na wakati unaona kabisa old skul ndo mahara pake uku new skul anapwaya
 
We wa wap wewe watu tunazungumzia battle za rap unatuletea story za subscribers hapa ebu jikite kwenye flow na ukali wa mashairi hayo mambo ya views waachie kina mondi na vanny boy dizasta kwenye hili battle ka win 100%
Hiyo battle facts za nani kampiga bao mwenzake ziko kwenye numbers na trending, hatuwezi kuwa-rate kwa kipimo chako bali ratings tutaangalia majority wamependezwa na kipi. It could be a bitter pill to swallow but it is what it is dude.
Majority rules
 
Down deep under the mud and that's exactly where he belongs, says his diehard fan boy.
[emoji38][emoji38][emoji38]kwa mtazamo wako sawa, unataka dizasta arap kama cheenbeez au Lunya apo ndo unataka apotee, si unaona youngkiller alivopoteana akachange flow sijui hata nani alimshauri wakati flow yake ya mwanzo ilikuwa inaeleweka ipo straight akawa anashusha vyupa vya maana tu
 
[emoji38][emoji38][emoji38]kwa mtazamo wako sawa, unataka dizasta arap kama cheenbeez au Lunya apo ndo unataka apotee, si unaona youngkiller alivopoteana akachange flow sijui hata nani alimshauri wakati flow yake ya mwanzo ilikuwa inaeleweka ipo straight akawa anashusha vyupa vya maana tu
Hao Cheenbeez na Lunya umewasema wewe, wapo rappers kama Prof J, Mwana FA, Fid Q au AY kila mmoja alikuwa na style yake but they were not loosers na hawakuwa wakitegemea few diehard fanatics ili kusikika bali umma uliwakubali kwa kazi zao.
Kwenye game yoyote unayoingia make sure that you're among the winners.
 
Hiyo battle facts za nani kampiga bao mwenzake ziko kwenye numbers na trending, hatuwezi kuwa-rate kwa kipimo chako bali ratings tutaangalia majority wamependezwa na kipi. It could be a bitter pill to swallow but it is what it is dude.
Majority rules
Sasa mkuu kama unasema unaangalia majority wamependezewa na kipi, hivi Kwa Akili ya kuvukia barabara tu, ukiangalia kuanzia YouTube,jamii forum na Twitter Nani anaongoza Kwa Kura za mashabiki katika hii battle Kati ya Rapcha na Dizasta?
 
Hiyo battle facts za nani kampiga bao mwenzake ziko kwenye numbers na trending, hatuwezi kuwa-rate kwa kipimo chako bali ratings tutaangalia majority wamependezwa na kipi. It could be a bitter pill to swallow but it is what it is dude.
Majority rules
Mkuu kwenye hip hop battle numbers na trending sio kipimo sahihi, mfano rejea beef ya Pusha T na Drake....Drake ana numbers kubwa kuliko Pusha T , Pusha T hata afanye nini hawezi kugusa namba za Drake, hata wimbo alioutoa Drake kama diss kwa Pusha T na Kanye West "Duppy Free Style" ulimuacha Pusha T kwenye views ya wimbo aliotoa wa Story of Adidon (tena hata haukuwekwa kwenye proper streaming platforms) lakini nani aliyeshinda hiyo battle ?

Rejea battle ya Nas na Jay Z, Jay Z alikuwa na numbers kubwa zaidi ya Nas na hata mwanzo wa Diss ya Jay Z ya Takeover alimsema Nas kuhusu mauzo yake kumuonyesha si kitu na Album ya Jay Z ya Blueprint iliuza zaidi ya Nas na ilingia Namba moja Billboard wakati album ya Nas iliishia namba 5 kwa mauzo ya wiki ya kwanza ...lakini kwenye hiyo battle nani aliyeshinda ? Mpaka leo mtu akizidiwa kwenye diss wanasema amekuwa "ethered" wakirejea diss track ya ether aliyoitoa Nas.

IMG_20230122_213018.jpg
IMG_20230122_212925.jpg

IMG_20230122_213547.jpg
IMG_20230122_213642.jpg
 
Overatted By a small army of diehard fans like you.

Its up to him to change or continue going down the lane he has chosen.

Digest what pit means, arent you a grown up?
Three good questions, one lame answer!

Disasta doesn't need to change, he's doing what he does the best. Maybe you're the one who needs to change, from listening to the kid rhymes from the likes of Rapcha, to listening to the conscious, lyrical and philosophical MC's like Dizasta!

Oh wait, you don't have to change too. This could be the best you can do, listening to the Rapchas!

Peace be upon you!
 
Back
Top Bottom