Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Huwa nahofia sana kufanya confrontation hasa na mtu wa karibu ila kwa hatua ilipofikia, nataka nimvae mama mkwe wazi wazi, yani nimpe majibu makavu.
Yeye anataka ku impose sheria zake na kumfundisha mtoto mambo ya ajabu, anakiburi sana na pia ananichukulia ananiweza.
Sababu kubwa ni kua sijawahi kumuonesha ubabe, muda wote nilikua nikimheshimu sana.
Mimi nimegombana na mwandani wangu, et kisha amemkuta analia, anampokonya simu na kumsema kua mimi namsumbua sana mwanae anataka anivae mimi, kwakua sikujiandaa kumchana, nimekata simu, pia bint alikataa kumpa simu.
sipendi tuishi kwa migogoro ila sasa haina jinsi, i have to face the reality, tutaelewana mbele kwa mbele akiwa ananiheshimu
Ni hayo tu, mama wakwe mtulie na ndoa zenu maiingilie mapenzi ya watoto wenu, muda weny ushapita
Yeye anataka ku impose sheria zake na kumfundisha mtoto mambo ya ajabu, anakiburi sana na pia ananichukulia ananiweza.
Sababu kubwa ni kua sijawahi kumuonesha ubabe, muda wote nilikua nikimheshimu sana.
Mimi nimegombana na mwandani wangu, et kisha amemkuta analia, anampokonya simu na kumsema kua mimi namsumbua sana mwanae anataka anivae mimi, kwakua sikujiandaa kumchana, nimekata simu, pia bint alikataa kumpa simu.
sipendi tuishi kwa migogoro ila sasa haina jinsi, i have to face the reality, tutaelewana mbele kwa mbele akiwa ananiheshimu
Ni hayo tu, mama wakwe mtulie na ndoa zenu maiingilie mapenzi ya watoto wenu, muda weny ushapita