uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Nakupa ushauri mdogo kabla hujaongea na mama mkwe tafuta mzee either kwenye familia Yako au hapo mtaani kwako unae muamini sana na awe angalau 50 kwenda juu au 60 ambae anaishi na mke wake msimulie Kila kitu pasi na kumficha Kisha muombe ushauri unaweza fanya hivyo kwa wazee kama wawili ushauri wao ndio uutumie kufanya maamuzi
Tuwatumie wazee wa mitaani kwetu Wana maana sana🙏
Tuwatumie wazee wa mitaani kwetu Wana maana sana🙏