Ushauri wa backbenchers huu 😂😂😂Mpige na pumbuh kabisa mkuu,mtaheshimiana.
Unatuambia sisi ili iweje?Huwa nahofia sana kufanya confrontation hasa na mtu wa karibu ila kwa hatua ilipofikia, nataka nimvae mama mkwe wazi wazi, yani nimpe majibu makavu.
Yeye anataka ku impose sheria zake na kumfundisha mtoto mambo ya ajabu, anakiburi sana na pia ananichukulia ananiweza.
Sababu kubwa ni kua sijawahi kumuonesha ubabe, muda wote nilikua nikimheshimu sana.
Mimi nimegombana na mwandani wangu, et kisha amemkuta analia, anampokonya simu na kumsema kua mimi namsumbua sana mwanae anataka anivae mimi, kwakua sikujiandaa kumchana, nimekata simu, pia bint alikataa kumpa simu.
sipendi tuishi kwa migogoro ila sasa haina jinsi, i have to face the reality, tutaelewana mbele kwa mbele akiwa ananiheshimu
Ni hayo tu, mama wakwe mtulie na ndoa zenu maiingilie mapenzi ya watoto wenu, muda weny ushapita
Huwa nahofia sana kufanya confrontation hasa na mtu wa karibu ila kwa hatua ilipofikia, nataka nimvae mama mkwe wazi wazi, yani nimpe majibu makavu.
Yeye anataka ku impose sheria zake na kumfundisha mtoto mambo ya ajabu, anakiburi sana na pia ananichukulia ananiweza.
Sababu kubwa ni kua sijawahi kumuonesha ubabe, muda wote nilikua nikimheshimu sana.
Mimi nimegombana na mwandani wangu, et kisha amemkuta analia, anampokonya simu na kumsema kua mimi namsumbua sana mwanae anataka anivae mimi, kwakua sikujiandaa kumchana, nimekata simu, pia bint alikataa kumpa simu.
sipendi tuishi kwa migogoro ila sasa haina jinsi, i have to face the reality, tutaelewana mbele kwa mbele akiwa ananiheshimu
Ni hayo tu, mama wakwe mtulie na ndoa zenu maiingilie mapenzi ya watoto wenu, muda weny ushapita
Mbona kaonesha kua yeye ni ME! Au mi sijaelewa?Wewe ni KE au ME ?
Ili nikishauri vizuri yanipasa nijue kwanza hapo.
Kuna mahali amesema anaishi naye nyumba moja? Kwa hiyo wewe hata kuja kutembelewa hutaki?Mpaka hapo wanakuendesha...
Unaishi vipi na mama mkwe nyumba moja?.. tafuta hata safari ya kikazi ya bandia .....akiondoka ndo urudi
Hata mimi nimeshangaa sana! Janaume zima unaenda kuwa na visa na mama mkwe? Litakuwa limetoka kwenye familia ya singo maza hili jamaa! Linanikumbusha Baba Karen aliyekuwa anajazwa ujinga na mamake ambaye ni singo maza ili amtese mke wake! Wamekuja kuachana sasa hivi anatapatapa!Wewe ndio mwanaume wa kwanza kugombana na mama mkwe,najua hayo mambo ya wanawake na mama zetu wakwe
Umejuaje? Huoni hata hili hobelahobela letu linaweza kuwa na matatizo? Unaweza kukuta mama wa watu anaona binti yake ananyanyaswa!Huyo mama mkwe ni mpumbavu na asiye na adabu
Amemkuta wapi? Unakaa kwao au mkwe anakaa kwenu?amemkuta analia
Kwa nini wasikae wayajenge?Umejuaje? Huoni hata hili hobelahobela letu linaweza kuwa na matatizo? Unaweza kukuta mama wa watu anaona binti yake ananyanyaswa!