Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Kama amefaulu mitihani huko chuoni kuna shida ganiMtu kafeli Kidato cha nne anakuwa Daktari,
Maana four na three ni ufaulu wa chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama amefaulu mitihani huko chuoni kuna shida ganiMtu kafeli Kidato cha nne anakuwa Daktari,
Maana four na three ni ufaulu wa chini
Kujua contents za udaktari na kuongea fluent english ni vitu viwili tofauti, unaweza ukasoma vitu vilivyoandikwa kwa kiingereza na ukavielewa vzuri sana lakini ukiambiwa jielezee kwa english ukawa unachapia, mfano daktari wa meno amesoma root canal treatment na akajua vizuri kuperform hiyo huduma na kila mgonjwa akasifia huduma yake lakini ukimwambia aongee kiingereza anaungaunga, pia kuna watu wanaongea english safi lakini ukiwaleta kwenye taaluma zao ni majangaMbona Mtoa Mada ameweka kila kitu wazi kabisa? sijui kwanini watu wana vichwa vigumu kuelewa... Ngoja nimsaidie
Kwa nchi yetu.. Tanzania, English ndo lugha inayotumika kufundisha, vitabu vyote vipo katika lugha hii, machapisho n.k hivyo kitendo cha kukutana na mtu anaejiita mtaalamu katika fani fulani (Daktari) halafu english inampiga chenga kiukweli kabisa ni swala la kujiuliza na mara nyingi huwa amefika hatua hio kwa kukariri = sio daktari mzuri. Unaongea na daktari hawezi hata kuwasilisha taarifa kwa Kingereza halafu unaamini kabisa kasoma molecular structure akaielewa?? [emoji23][emoji23]
Mataifa yaliyoendelea yana mifumo ya kutafsiri vitabu na machapisho kwa lugha zao. hata waandishi wanaandika kwa lugha zao. Urusi mfano hata "Google" haipo.. wana system zao, china hamna whatsApp n.k nimetaja hivi kuonesha namna walivyo independent.
Kama amefaulu mitihani huko chuoni kuna shida gani
Hao uliowataja hawakusomea huo udakatari na wala hawatibu kwa kiingereza. Sisi tumekubali madaktari wetu wasomeshwe na kutibu kwa lugha hio. Sasa kama lugha tu yenyewe inampiga chenga, lazima tutilie mashaka anachokijuaKama daktari anaweza kuokoa maisha kingereza kinasaidia nini?, Nenda China, urusi, Spain, uarabuni, uone Kama kuna mtu anahusudu kingereza.
Private hosp nyingi wanaokoteza watu wenye elimu kidogo ..wanataka Cheap labor..Yaani Mimi pia Ni mmoja wa watu ninaosikitishwa Sana na wimbi la ongezeko la hutu tu vyuo twa afya,Kuna failures wakutosha humo,nilienda hospital na mtoto kipimo kikataka atolewe damu ya mshipa imagine mtu hawezi,kamchoma Mara ya kwanza kachokonoa kashindwa,kabadili sindano kachokonoa kashindwa,eti anataka kuchukua ya tatu, Aiseeee nilikuwa mbogo..namuuliza wewe huyu mwanangu ndio wa majaribio au vipi?nilikiamsha Hadi alikuja mtu mwingine kummalizia zoezi.....tangu siku hiyo Kama ulivyoshauri Niko selective Sana kwa watoa huduma.
Kingereza kwa Tanzania kwa daktari ni lazima kwasababu ndyo lugha inayotumiwa kumpatia hayo maarifa ya udaktari pia ndyo lugha inayotumika kwenye medical instructions zao, kwenye madawa, kwenye vitabu vyao vya miongozo ya kutoa dawa mbalimbali kulingana na ugonjwa husika. Kwahiyo hakuna excuse ya kutokujua Kingereza. Hizo nchi unazitaja wanatumia lugha zao since wakiwa shuleni kupata hayo maarifa ya udaktari na kazini ndyo lugha inayotumika.Kama daktari anaweza kuokoa maisha kingereza kinasaidia nini?, Nenda China, urusi, Spain, uarabuni, uone Kama kuna mtu anahusudu kingereza.
TATIZO UTAALAMU WA TIBA, AU KIINGEREZA?, KIINGEREZA SIO ISSUE, ISSUE IPO KWENYE UTAALAMU WAO,MLOGANZILA NI HOSPITALI SAFI KABISA HUDUMA ZAKE NI NZURI KABISA, HAKUNA TATIZO LOLOTE E PALE.Sabato NJEMA!
Kuna madaktari waliotokea moja Kwa moja Kidato cha Sita kwenda kusoma MD, na wapo ambao wametokea Diploma(Clinical Officer, CO) kwenda kusomea MD.
Kiukweli nimeshtushwa mno baada ya kukutana na Baadhi ya Madaktari watarajiwa wasomao MD na wengine waliomaliza CO.
Mambo yaliyonishtua;
1. Hawajui Lugha ya kingereza.
Kuna kipindi nilifika Pale Mloganzila ambayo Kwa wasioijua ni sehemu ya Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo kimsingi madaktari wake inatakiwa wawe vipanga na wenye uwezo Mkubwa.
Madaktari waliomafunzoni walinishtua Sana Kwa kingereza Chao kibovu kilichowafanya mara Kwa mara kucheka CHEKA Kwa aibu.
Sitaki kuzungumzia Ma-CO, ambao wengi wao nao kingereza kinawapiga chenga.
Kuna watu watasema, kingereza sio muhimu kwani ni lugha Kama lugha zingine.
Kumbuka materials nyingi za Taaluma ya Udaktari zipo katika Lugha ya kingereza, kutokujua kingereza kutamfanya Daktari kutokuwa mahiri.
2. Clinical officers wa Zama hizi wengi wao sio mahiri, hawako competent katika Taaluma Yao.
Nikikutana na wahitiu wa Diploma ya Clinical officer katika Stori nikiwasabahi nikawauliza mmoja mmoja aelezee concept ya Physiology, mwingine aelezee concept ya anatomy, na mwingine aelezee jinsi damu inavyozalishwa ndani ya Mwili WA mwanadamu.
Unajua hizo ni concept ndogo Sana ambazo hata mwanafunzi wa Kidato cha nne na sita wanaweza Kueleza.
Lakini wakaishia kubwabwaja.
Ukienda baadhi ya Hospitali, madaktari hawajui ku-take patient History, baadhi Yao wanakulazimishia vitu ambavyo havikuumi.
Na hapa nazungumzia madaktari Vijana. Unakuta kijana CV kubwa lakini uwezo unatia Shaka.
Hakuna kitu kinakera Kama uende Hospitalini alafu ukute Daktari anauwezo mdogo katika Fani yake, yaani ukimsikiliza unagundua kabisa hapa hamna kitu.
Ni Sawa na Mwanafunzi afundishwe na mwalimu kilaza, yaani inakera Sana.
Ushauri wangu, siku hizi ukienda Hospitalini kuwa Makini Sana, madaktari wa siku hizi sio wakuwaamini 💯 hasa hawa Vijana.
Serikali iangalie Kwa umakini hivi vyuo vya Kati ambavyo ongezeko lake limekuwa kubwa.
Kuna watu hawatanielewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam