Kwa hawa Madaktari huko mbeleni tutapata tabu

Kwa hawa Madaktari huko mbeleni tutapata tabu

Yaani kiinglishi cha Kyutiii ni bora mnooo kuliko cha baadhi ya madaktari
 
Kama daktari anaweza kuokoa maisha kingereza kinasaidia nini?, Nenda China, urusi, Spain, uarabuni, uone Kama kuna mtu anahusudu kingereza.
Kabisaa ni ulimbukeni tu hoja hapa labda hawapo compitent sawà mambo ya kingereza haya husiaani
 
Yaani Mimi pia Ni mmoja wa watu ninaosikitishwa Sana na wimbi la ongezeko la hutu tu vyuo twa afya,Kuna failures wakutosha humo,nilienda hospital na mtoto kipimo kikataka atolewe damu ya mshipa imagine mtu hawezi,kamchoma Mara ya kwanza kachokonoa kashindwa,kabadili sindano kachokonoa kashindwa,eti anataka kuchukua ya tatu, Aiseeee nilikuwa mbogo..namuuliza wewe huyu mwanangu ndio wa majaribio au vipi?nilikiamsha Hadi alikuja mtu mwingine kummalizia zoezi.....tangu siku hiyo Kama ulivyoshauri Niko selective Sana kwa watoa huduma.
 
Yaani Mimi pia Ni mmoja wa watu ninaosikitishwa Sana na wimbi la ongezeko la hutu tu vyuo twa afya,Kuna failures wakutosha humo,nilienda hospital na mtoto kipimo kikataka atolewe damu ya mshipa imagine mtu hawezi,kamchoma Mara ya kwanza kachokonoa kashindwa,kabadili sindano kachokonoa kashindwa,eti anataka kuchukua ya tatu, Aiseeee nilikuwa mbogo..namuuliza wewe huyu mwanangu ndio wa majaribio au vipi?nilikiamsha Hadi alikuja mtu mwingine kummalizia zoezi.....tangu siku hiyo Kama ulivyoshauri Niko selective Sana kwa watoa huduma.

Mahospitali mengi ukifika unaweza dhani unaongea na Daktari mahiri kumbe ni CO aliyepita njia za panya.

Kuna mambo mengine siwezi kuyaweka bayana humu lakini kimsingi huko mbele ni hatari kubwa

Alafu serikali nayo ati inatoa ufadhili wa mkopo milioni 3 tuu alafu hizo gharama zingine utajijua. Hivi Kama mtu alishindwa kusomeshwa shule ya sekondari ambayo Ada ikiwa kubwa ni laki tano Kwa mwaka. Huku Chuo akichukua MD ndio ataweza kulipia hiyo milioni 3.

Maana Ada ya kusomea MD ni around 6M katika vyuo vingi hapa NCHINI.

Serikali iangalie hili
 
Well said!yaani iliangalie hili suala kwa hicho la tatu.
Mahospitali mengi ukifika unaweza dhani unaongea na Daktari mahiri kumbe ni CO aliyepita njia za panya.

Kuna mambo mengine siwezi kuyaweka bayana humu lakini kimsingi huko mbele ni hatari kubwa

Alafu serikali nayo ati inatoa ufadhili wa mkopo milioni 3 tuu alafu hizo gharama zingine utajijua. Hivi Kama mtu alishindwa kusomeshwa shule ya sekondari ambayo Ada ikiwa kubwa ni laki tano Kwa mwaka. Huku Chuo akichukua MD ndio ataweza kulipia hiyo milioni 3.

Maana Ada ya kusomea MD ni around 6M katika vyuo vingi hapa NCHINI.

Serikali iangalie hili
 
Sabato NJEMA!

Kuna madaktari waliotokea moja Kwa moja Kidato cha Sita kwenda kusoma MD, na wapo ambao wametokea Diploma(Clinical Officer, CO) kwenda kusomea MD.

Kiukweli nimeshtushwa mno baada ya kukutana na Baadhi ya Madaktari watarajiwa wasomao MD na wengine waliomaliza CO.

Mambo yaliyonishtua;

1. Hawajui Lugha ya kingereza.
Kuna kipindi nilifika Pale Mloganzila ambayo Kwa wasioijua ni sehemu ya Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo kimsingi madaktari wake inatakiwa wawe vipanga na wenye uwezo Mkubwa.

Madaktari waliomafunzoni walinishtua Sana Kwa kingereza Chao kibovu kilichowafanya mara Kwa mara kucheka CHEKA Kwa aibu.

Sitaki kuzungumzia Ma-CO, ambao wengi wao nao kingereza kinawapiga chenga.

Kuna watu watasema, kingereza sio muhimu kwani ni lugha Kama lugha zingine.
Kumbuka materials nyingi za Taaluma ya Udaktari zipo katika Lugha ya kingereza, kutokujua kingereza kutamfanya Daktari kutokuwa mahiri.


2. Clinical officers wa Zama hizi wengi wao sio mahiri, hawako competent katika Taaluma Yao.

Nikikutana na wahitiu wa Diploma ya Clinical officer katika Stori nikiwasabahi nikawauliza mmoja mmoja aelezee concept ya Physiology, mwingine aelezee concept ya anatomy, na mwingine aelezee jinsi damu inavyozalishwa ndani ya Mwili WA mwanadamu.
Unajua hizo ni concept ndogo Sana ambazo hata mwanafunzi wa Kidato cha nne na sita wanaweza Kueleza.

Lakini wakaishia kubwabwaja.


Ukienda baadhi ya Hospitali, madaktari hawajui ku-take patient History, baadhi Yao wanakulazimishia vitu ambavyo havikuumi.

Na hapa nazungumzia madaktari Vijana. Unakuta kijana CV kubwa lakini uwezo unatia Shaka.

Hakuna kitu kinakera Kama uende Hospitalini alafu ukute Daktari anauwezo mdogo katika Fani yake, yaani ukimsikiliza unagundua kabisa hapa hamna kitu.

Ni Sawa na Mwanafunzi afundishwe na mwalimu kilaza, yaani inakera Sana.

Ushauri wangu, siku hizi ukienda Hospitalini kuwa Makini Sana, madaktari wa siku hizi sio wakuwaamini [emoji817] hasa hawa Vijana.

Serikali iangalie Kwa umakini hivi vyuo vya Kati ambavyo ongezeko lake limekuwa kubwa.

Kuna watu hawatanielewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Hahaaa kiingereza cha kuongea hakina mchango wowote kwenye taaluma ya udaktari, kutojua english fluently hakumzuii mtu kujua content kama dawa nakadhalika sababu hizo dawa kinachohitajika ni kukariri zaidi kutokana na majina yake ya kifamasia, mwisho kuna watu wanaongea vzuri english kichwani hamna kitu usidanganyike na kiingereza
 
Materials za Taaluma ya Udaktari nyingi zipo Kwa lugha ya kingereza.

Na kutokana na mabadiliko ya magonjwa na madawa Udaktari kila siku unahitaji ku-update.

Huwezi kuwa Daktari mahiri bila kujua Lugha ya kingereza
Kuna kiingereza cha kuongea na chakujua contents za kidaktari kama majina ya madawa,magonjwa, aina za huduma kama surgery, liposuction, c section mtu anaweza akawa competent kwenye haya lakini kuongea english fluently ikawa shida
 
Wakuuu mleta uzu yupo sahihi,

Ila kimombo sio sehem ya kumhukum daktari kuwa anaweza au hawezii.
Lugha wanaweza kuisoma nakuelewa ila wengi kwenye kuongea ndio ovyo ani pronounciation..hapo ndo wanaongeaga kiwanga
 
Huwezi kuwa Guru wa sheria Kama hujui kingereza.

Huwezi kuwa Daktari bingwa Kama kingereza kinakuchenga.

Sasa Kama kingereza kinakuzingua kutokana na uhaba WA msamiati utajifunza vipi vitu vipya maana wote tunajua vitu vingi havijaandikwa Kwa lugha ya Kiswahili.

Labda uwe Daktari wa level ya kawaida tuu
Kujua contents kama madawa na majina yake na kuongea fluently kingereza ni vitu viwili tofauti, kutokujua kuongea english fluently hakukuzuii kujua hizo contents sababu kinachosomwa ni procedures na kukariri pamoja na kujua majina ya madawa
 
Materials za Taaluma ya Udaktari nyingi zipo Kwa lugha ya kingereza.

Na kutokana na mabadiliko ya magonjwa na madawa Udaktari kila siku unahitaji ku-update.

Huwezi kuwa Daktari mahiri bila kujua Lugha ya kingereza
Uongo huuuu
 
Hapa kuna mambo mengi yanawekwa pamoja:
1: Kusoma maneno ya kingereza na kuyaelewa.
2: Kuongea kingereza (generate sentensi mwenyewe)
3: Kujua basics za kazi yako, na kuwasilisha kwa lugha ya wagonjwa wako.

NB: Kama unaweza kusoma na kuelewa kingereza, basi utaweza kuwatibia watu wako bila shida kwani utawasiliana nao kwa lugha yao ya asili ambayo ni yako pia.

Na utakuwa na basic skills na knowledge, kwanu ulijuwa unasoma na kuelewa. Ila utashindwa kugenerate hayo mawazo kwa kiingereza ukiwa huru. Ndo maana tuna maprofesa wakiongea kingereza, wengi huwa wana hoji alifikaje huko?

Tatizo letu wengi liko kwenye kuwa na misamiati michache na kunapelekea, kufikiria kwa kiswahili ndo tunabadilisha kwenda kingereza. Badala ya kufikiria moja kwa moja kwa kingereza na kuongea.

Ingawa bado kuna wale ambao. 1 mpaka 3 ni tatizo na hii ni kwa fani zote. Hivyo, inategemea ulikutana na yupi kati ya hao. Hivi vitu vinategemeana, lakini si direct proportion/si moja kwa moja bali inategemea unaenda kuhudumia jamii ipi, ulipata basic skills za kutosha, unahitajibkutumia lugha ya kigeni kwenye kazi zako?
Well said
 
Mkuu Mimi siongei kingereza kilichonyooka (Fluent)
Ila nikizungumza Kwa Watanzania wengi huona kimenyooka [emoji3][emoji3]kutokana na wengi wao hawajui vizuri.

Mimi nazungumza kingereza Kwa level ya kawaida

Sasa Watanzania wengi hata Basic English hawawezi.

Kuongea Kwa dakika tano tuu kazi
Mkuu tafuta hela,ukiwa na hela hata ukiongea broken english utaonekana unakijua.
 
Unalo sema ni kweli ila linaanzia uko chini, mimi binafsi paka leo na shanga mtoto alie maliza f4 na kupata D4 anawezaje kusoma udakitari CO, kwanza vile vitabu vya medicine hawezi kutoa concept hailewi kabisa. Kiingereza hiki cha kawaida cha kuongea ni shida, àtaweza je kusoma na kuelewa vitabu vikumbwa kama atonomiology, kwa kweli mimi naona ni usani kwenye hivyo vyuo vya kati...........
Kama ana d4 na akaenda kusoma na akafaulu tatizo liko wapi ?,au unahoji uhalali wa mitihani ya utabibu
 
Sabato NJEMA!

Kuna madaktari waliotokea moja Kwa moja Kidato cha Sita kwenda kusoma MD, na wapo ambao wametokea Diploma(Clinical Officer, CO) kwenda kusomea MD.

Kiukweli nimeshtushwa mno baada ya kukutana na Baadhi ya Madaktari watarajiwa wasomao MD na wengine waliomaliza CO.

Mambo yaliyonishtua;

1. Hawajui Lugha ya kingereza.
Kuna kipindi nilifika Pale Mloganzila ambayo Kwa wasioijua ni sehemu ya Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo kimsingi madaktari wake inatakiwa wawe vipanga na wenye uwezo Mkubwa.

Madaktari waliomafunzoni walinishtua Sana Kwa kingereza Chao kibovu kilichowafanya mara Kwa mara kucheka CHEKA Kwa aibu.

Sitaki kuzungumzia Ma-CO, ambao wengi wao nao kingereza kinawapiga chenga.

Kuna watu watasema, kingereza sio muhimu kwani ni lugha Kama lugha zingine.
Kumbuka materials nyingi za Taaluma ya Udaktari zipo katika Lugha ya kingereza, kutokujua kingereza kutamfanya Daktari kutokuwa mahiri.


2. Clinical officers wa Zama hizi wengi wao sio mahiri, hawako competent katika Taaluma Yao.

Nikikutana na wahitiu wa Diploma ya Clinical officer katika Stori nikiwasabahi nikawauliza mmoja mmoja aelezee concept ya Physiology, mwingine aelezee concept ya anatomy, na mwingine aelezee jinsi damu inavyozalishwa ndani ya Mwili WA mwanadamu.
Unajua hizo ni concept ndogo Sana ambazo hata mwanafunzi wa Kidato cha nne na sita wanaweza Kueleza.

Lakini wakaishia kubwabwaja.


Ukienda baadhi ya Hospitali, madaktari hawajui ku-take patient History, baadhi Yao wanakulazimishia vitu ambavyo havikuumi.

Na hapa nazungumzia madaktari Vijana. Unakuta kijana CV kubwa lakini uwezo unatia Shaka.

Hakuna kitu kinakera Kama uende Hospitalini alafu ukute Daktari anauwezo mdogo katika Fani yake, yaani ukimsikiliza unagundua kabisa hapa hamna kitu.

Ni Sawa na Mwanafunzi afundishwe na mwalimu kilaza, yaani inakera Sana.

Ushauri wangu, siku hizi ukienda Hospitalini kuwa Makini Sana, madaktari wa siku hizi sio wakuwaamini 💯 hasa hawa Vijana.

Serikali iangalie Kwa umakini hivi vyuo vya Kati ambavyo ongezeko lake limekuwa kubwa.

Kuna watu hawatanielewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Kumlaumu mtu kutojua lugha ya kigeni ni tatizo
 
Ni hatari sana nimewahi kuchomwa sindano ikakosewa sjui niliburuza mguu siku Tatu
 
Daktari ili awe mahiri anapaswa kujua, na kuimudu lugha ya kujifunzia Udaktari wakez Kwa hapa nchini lugha ya kujifunzia ni Kingereza.

Wapi hujaelewa ndugu.

Utabibu Kwa Zama zetu huja Kwa kusoma, kusoma lazima lugha ihusike.
Kwa bahati mbaya lugha inayotumika ni kingereza hapa NCHINI, na materials nyingi za kujifunzia zipo katika Lugha ya kingereza,

Bado hatujazitafsiri Kwa lugha zetu, na kutafsiri pia usidhani ni KAZI rahisi, inahitaji Wataalamu na Fedha ya kutosha.

Kama huimudu lugha ya kujifunzia huwezi kuwa mahiri kwenye somo husika, utakuwa wakawaida Sana na mtu wa kukariri kariri tuu.

Mataifa uliyoyataja lazima ujue aidha yametafsiri materials za kujifunzia Kwa lugha zao wenyewe hivyo wanazifanya zieleweke Kwa urahisi na Kama hawajatafsiri basi lazima wajifunze lugha zingine ambazo materials ya kujifunzia zimeandikwa kwazo
Tatzo lako huwezi kutofautisha ,kuongea kingereza kilichonyooka na kujua contents za udaktari na kuzielewa, mtu anaweza kabisa kujua contents za udaktari mfano epilepsy, schizophrenia, c section na root canal treatment na akawa competent kutoa huduma kwa wagonjwa husika na akasifiwa sana lakini ukimleta kwenye kuongea kiingereza kilichonyooka akawa ana makosa mengi, na mwingine akaongea vzuri kiingereza kutokana na mazingira aliyokulia lakini asiwe competent katika kuperfom baadhi ya huduma
 
Kweli kbs wasiwaonee madaktari tu, hata Walimu na wengine kingereza ni tatizo.
Kiingereza kila secta ni tatizo sababu ni lugha yetu ya pili ,by the way hata mwalimu anaweza kua competent kudeliver materials na akasifika sana lakini anaungaunga kiingereza
 
Back
Top Bottom