Kwa hawa watu wanaobadili dini, Ndugu na wanafamilia wa dini tofauti wajiandae kwa lipi kwenye mazishi yao?

Ilimradi umekufa watakuzika.

Wakusalie ama wakuswalie kifusi ni kilekile na hukumu haiangalii uliombewa ama laa km kujiandaa jiandae nafsi yako binafsi
 
Hakuna mtu asiejua kwamba kuna maiti zinazikwa na serikali

Ndio maana nimesisitiza inapotokea kwamba ndugu / familia wanataka kukuzika je wajiandae na changamoto zipi.
Kwanza haya maswala ya kuzikwa na kiongozi wa dini wala si lazima.

Mnaweza zika ninyi wenyewe kama wana ndugu iwapo viongozi wa dini watagoma kuzika.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Watu wasibadili dini kwasababu tuu ya kuzikwa?
Really???
Dini nzuri kuliko zote ni hiyo ya kwako tuu plus kuacha matendo mabaya na kutenda matendo mema, naamini kwa mtazamo wangu utaiona pepo
 
Kaka angu Kassim,alimpokea Yesu Kwa maelezo yake.

Akafariki,akazikwa na wafurukutwa wenzie.

Sisi tuliishia Amana hospital,mpaka mda huu hatujui na Wala hatutaki kujua kaburi lake lipo wapi.
 
Dini nzuri kuliko zote ni hiyo ya kwako tuu plus kuacha matendo mabaya na kutenda matendo mema, naamini kwa mtazamo wangu utaiona pepo
Huo ni mtazamo wako
Bado maamuzi ya kubadili dini ni independently na maziko, shughuli ya siku moja tu
 
Kaka angu Kassim,alimpokea Yesu Kwa maelezo yake.

Akafariki,akazikwa na wafurukutwa wenzie.

Sisi tuliishia Amana hospital,mpaka mda huu hatujui na Wala hatutaki kujua kaburi lake lipo wapi.
Dah hayo mambo shida

so aliehitaji mwili ni kanisa au
 
Ngoja nitulie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali nimesema hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kubadili ruksa ila nadhani watu wafocuss pia consequences zitazoangukia familia / ndugu.

Uamuzi wa mtu moja unaweza kuhatarisha usalama wa familia nzima ama kuleta unnecessary attention hasa kwenye ulimwengu huu wa social media

Uamuzi wa kubadili dini waweza kufanya mama na dada wa marehemu wasishiriki mazishi
 
Mi naamini ukishakufa umekufa tu hakuna maajabu
Mama na dada kutoshiriki mazishi kunaleta athari gani?
 
Kwa heshima ya marehemu wazikwe kwa taratibu za dini walizofia. Kuanza kutumia ubabe kumzika kwa taratibu za dini yake ya awali hiyo ni vurugu na haitapendeza
 
Religion is an opium of people.
But God the Almighty is the Most High
And the Supreme Being.
Dini ni Biashara za watu leo.
You nailed it.
Nashangaa sana watu mpaka wanawaua watu kwasababu za kidini eti kafiri.
Wakati TMH hahitaji kupiganiwa.

Alafu cha kushangaza at the end of the day wanakuja kujua kuwa walifanya makosa yasiyorekebishika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…