Kwa haya ambayo mliwasingizia Nape na Makamba mtubu sasa Mungu amewaweka wazi

Kwa haya ambayo mliwasingizia Nape na Makamba mtubu sasa Mungu amewaweka wazi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huwa siwezi amini kuna kipindi Nape alikuwa anaonekana shujaa, smart. Huwa naogopa kukumbuka hilo. Kuna kipindi naye Makamba akasingiziwa kuwa ni smart.

Nlikuwa nawaambia. Ukikuta nyoka anaungua na moyo usaidie moto kukolea. Unaweza msaidia nyoka...kwa tabia za kinafiki za nyoka kuna siku atakugonga akuue.

Nape lini alianza kuwa smart na mzalendo? Lini? Ninyi mnajisahaulisha tu. Hata kama aliwahi pishana na Magufuli. Si kwa maslahi ya Taifa. Ni kwa maslahi yake tu binafsi.

Leo hii mnaonaje? Suala la bundle mnaona anaowatetea? Huwezi ung'ata mkono unaokulisha. Mi sijui.

Makamba mnamuona? Unaweza niambie la maana lipi amefanya mpaka sasa? Ni wakati wa kuwaomba radhi watanzania na hawa watu.

Muombeni Radhi Nape na Muombeni Radhi Makamba kwa kuwahi wasingizia kuwa ni watu smart. Na mkome kusingizia watu uongo.
 
Huwa siwezi amini kuna kipindi Nape alikuwa anaonekana shujaa, smart. Huwa naogopa kukumbuka hilo. Kuna kipindi naye Makamba akasingiziwa kuwa ni smart...
Chizi umenifurahisha, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Minashukuru simo.miongoni mwa hao wanaotakiwa kutubu kwa Mungu na kuomba radhi kwa nape na makamba,
 
Chizi umenifurahisha, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Minashukuru simo.miongoni mwa hao wanaotakiwa kutubu kwa Mungu na kuomba radhi kwa nape na makamba,
Hongera hukuwa kwenye huo mkumbo. Nawashauri waliowasingizia hawa jamaa kuwa ni smart wakawaombe radhi.
 
M
Huwa siwezi amini kuna kipindi Nape alikuwa anaonekana shujaa, smart. Huwa naogopa kukumbuka hilo. Kuna kipindi naye Makamba akasingiziwa kuwa ni smart.

Nlikuwa nawaambia. Ukikuta nyoka anaungua na moyo usaidie moto kukolea. Unaweza msaidia nyoka...kwa tabia za kinafiki za nyoka kuna siku atakugonga akuue.

Nape lini alianza kuwa smart na mzalendo? Lini? Ninyi mnajisahaulisha tu. Hata kama aliwahi pishana na Magufuli. Si kwa maslahi ya Taifa. Ni kwa maslahi yake tu binafsi.

Leo hii mnaonaje? Suala la bundle mnaona anaowatetea? Huwezi ung'ata mkono unaokulisha. Mi sijui.

Makamba mnamuona? Unaweza niambie la maana lipi amefanya mpaka sasa? Ni wakati wa kuwaomba radhi watanzania na hawa watu.

Muombeni Radhi Nape na Muombeni Radhi Makamba kwa kuwahi wasingizia kuwa ni watu smart. Na mkome kusingizia watu uongo.
Mimi Hakuna

Mawaziri siwapendi kama Nape na Makamba .

Kwanini hawana sifa zozote zaidi ya dharau na kiburi na kutembelea nyota za Wazazi wao.

Mara Mia Bashe na Mwigulu unaona kabisa ni wapambanaji wamefika hapo kwa juhudi zao wenyewe
 
Kwaiyo tumekubaliana kuwa,"sabuni ya mkaa haiwezi kusafisha kanzu nyeupe"
 
Nape ni msemaji wa makampuni ya simu TIGO,VODACOM,ARTEL,HALOTEL hawana habari na wananchi.
Marope naye February nzima kuuz nishati ya rosti tamu sema nyumaye Kuna msogwea aliyembeba March.
Manager masoko wa National housing gesi,zimeishia wale wamama uliowapenda siku moja ukawapa soda na chipsi,bado wanataka Tena.
Unafiki inajulikana.

Hivi Ni Nani wa kulinda maslahi ya Taifa letu jamani. Yaani I wish I kuwepo chombo Cha kusimamia raslimali zetu Kama hizi za madini na miradi ambayo Ina faida na Taifa letu. Ngoja tukope kwanza Mana tokea ukoloni walikopa mie ndiye nionekane Kama nakopa mno.
Mtauzwa shauri yenu
 
Ktk mtu mpuuz kwa Sasa HV Ni hao hao

Nilimuone huruma alivyo furushwa Kaz na magufuli kumbee Ni wa shenzi wamerudi wanajiona miungu nao wanatulipisha kisasi
 
Yule jamaaa aliye mnyanyulia bastola nasikitika na umenikeraa Sana kwaninn ujamalizana nae jumla jumla ,tungebaki na. Makamba Bora kuwa mmoja kuliko wawili
 
Back
Top Bottom