Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
Inasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahangaika bure, Charles Makongoro Nyerere alishajibu hadharani kwamba hao wote pamoja na yeye mwenyewe wapo kwenye hizo nafasi kwasababu ya wazazi wao, ukitafuta walichokifanyia hii nchi kamwe hutakionaNape lini alianza kuwa smart na mzalendo? Lini? Ninyi mnajisahaulisha tu. Hata kama aliwahi pishana na Magufuli. Si kwa maslahi ya Taifa. Ni kwa maslahi yake tu binafsi.
Leo hii mnaonaje? Suala la bundle mnaona anaowatetea? Huwezi ung'ata mkono unaokulisha. Mi sijui.
Makamba mnamuona? Unaweza niambie la maana lipi amefanya mpaka sasa? Ni wakati wa kuwaomba radhi watanzania na hawa watu.
Mungu akubariki mkuu. Ni sahihi kwa 100%CCM hakujawahi tokea msafi Nyerere pekee mwenye unafuu