Nape lini alianza kuwa smart na mzalendo? Lini? Ninyi mnajisahaulisha tu. Hata kama aliwahi pishana na Magufuli. Si kwa maslahi ya Taifa. Ni kwa maslahi yake tu binafsi.
Leo hii mnaonaje? Suala la bundle mnaona anaowatetea? Huwezi ung'ata mkono unaokulisha. Mi sijui.
Makamba mnamuona? Unaweza niambie la maana lipi amefanya mpaka sasa? Ni wakati wa kuwaomba radhi watanzania na hawa watu.