Kwa haya anayoyafanya Makonda najaribu kufikiri nje ya box

Kwa haya anayoyafanya Makonda najaribu kufikiri nje ya box

Kajifunze kwanza kuandika vizuri ndio uje tena hapa. Achana na Mheshimiwa Makonda mtetezi wa wanyonge na sauti ya watanzania.watanzania tumempokea Mheshimiwa Makonda kwa mikono miwili na kwa upendo mkubwa sana katika mioyo yetu. Tunamshukuru sana Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan kwa kutuletea Mh Makonda kijana mchapa kazi na mwenye kujituma katika kufanya kazi.
Ukisikia tu jina la makonda kiharage kinakusimama. Njaa yako itakuua .
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri ndio uje tena hapa. Achana na Mheshimiwa Makonda mtetezi wa wanyonge na sauti ya watanzania.watanzania tumempokea Mheshimiwa Makonda kwa mikono miwili na kwa upendo mkubwa sana katika mioyo yetu. Tunamshukuru sana Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan kwa kutuletea Mh Makonda kijana mchapa kazi na mwenye kujituma katika kufanya kazi.
Umesahau namba ya simu mkuu.
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri ndio uje tena hapa. Achana na Mheshimiwa Makonda mtetezi wa wanyonge na sauti ya watanzania.watanzania tumempokea Mheshimiwa Makonda kwa mikono miwili na kwa upendo mkubwa sana katika mioyo yetu. Tunamshukuru sana Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan kwa kutuletea Mh Makonda kijana mchapa kazi na mwenye kujituma katika kufanya kazi.
Kwa anayofanya huoni anaonyesha kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzi na wegine hawafanyi kazi?
Huo ndio mfumo anaokwambia mbovu
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri ndio uje tena hapa. Achana na Mheshimiwa Makonda mtetezi wa wanyonge na sauti ya watanzania.watanzania tumempokea Mheshimiwa Makonda kwa mikono miwili na kwa upendo mkubwa sana katika mioyo yetu. Tunamshukuru sana Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan kwa kutuletea Mh Makonda kijana mchapa kazi na mwenye kujituma katika kufanya kazi.
Mtetezi wa wanyonge dhidi ya nani? Na kwa nini Watanzania wawe wanyonge ndani ya nchi yao miaka 60+ tangu tupate uhuru?

Halafu anakuwaje sauti ya Watanzania wakati tayari sisi ni nchi huru na tunao uhuru wa kuongea na kujumuika?
 
Ndugu zangu wadanganyika,

Matatizo au changamoto ambazo kiini chake ni mfumo mzima mbovu wa nchi hii, auwezi kutatuliwa kwenye mikutano na wananchi, kwa kuinua mwananchi mmoja na kumsikiliza kisha unampigia simu sijui waziri au mkurugezi kutatua shida ya huyo mwananchi.

Ukweli ni kwamba utatumia faida ya ujinga walionao wananchi wako, Wananchi hawajui nini maana ya propaganda na hiki anachokifanya bwana PAUL MAKONDA ni propaganda au mazigaombwe.

MAKONDA alikua karibu sana na Magufuli hivyo wenda alikua mshauri au alijifunza propaganda kutoka Kwa Magufuli, wananchi wanamuona Makonda kama mtu anayewasikiliza na kutatua shida zao Makonda anazidi kujipatia umaarufu, na sina tatizo na Makonda kwani najua ni mwanasisa na wanasiasa ni mabingwa wa kutumia propaganda ili kuwin trust kutoka kwa wananchi.

Lakini ukweli utabaki palepale anayoyafanya bwana Paul Makonda ni kiini macho tu kwani auwezi kutatua changamoto au shida za wananchi kwa kumsikiliza mwananchi mmoja mmoja pasipo kupambana na mfumo ambao ndio chanzo cha hizo changamoto, in short Makonda inabidi apambane na mfumo ambao umeletwa na chama chake mwenyewe.
Wewe unaelewa na unaona mbali sana..

Na Mimi nimekuelewa na ofcoz hivyo ndivyo ilivyo...

Paul Makonda anafanya kazi ya vyama vya upinzani vinavyopaswa kuifanya..

Anaufunua udhaifu na shida ya mfumo wa utawala wa nchi yetu..

Unapotatua tatizo la mtu mmoja mmoja kimsingi unakuwa hujatatua tatizo kabisa kwa sababu msingi au kiini cha matatizo hayo kinakuwa hakijatatuliwa..

Kama tatizo la msingi halitatuliwi, wananchi baadhi watafurahia kwa muda tu lakini baada ya muda mfupi huko mbeleni watakuja kushangaa sana maana matatizo yao ya aina hiyo hiyo yatashamiri na kuongezeka zaidi na Kwa watu wengi zaidi..

Ndipo watakapoanza kujiuliza kulikoni...!!!??


Na philosophically, ikifikia hatua watu wakaanza kujiuliza maswali kama haya, basi tambua kuwa wanaelekea kwenye suluhisho la matatizo yao...!
 
Ndugu zangu wadanganyika,

Matatizo au changamoto ambazo kiini chake ni mfumo mzima mbovu wa nchi hii, auwezi kutatuliwa kwenye mikutano na wananchi, kwa kuinua mwananchi mmoja na kumsikiliza kisha unampigia simu sijui waziri au mkurugezi kutatua shida ya huyo mwananchi.

Ukweli ni kwamba utatumia faida ya ujinga walionao wananchi wako, Wananchi hawajui nini maana ya propaganda na hiki anachokifanya bwana PAUL MAKONDA ni propaganda au mazigaombwe.

MAKONDA alikua karibu sana na Magufuli hivyo wenda alikua mshauri au alijifunza propaganda kutoka Kwa Magufuli, wananchi wanamuona Makonda kama mtu anayewasikiliza na kutatua shida zao Makonda anazidi kujipatia umaarufu, na sina tatizo na Makonda kwani najua ni mwanasisa na wanasiasa ni mabingwa wa kutumia propaganda ili kuwin trust kutoka kwa wananchi.

Lakini ukweli utabaki palepale anayoyafanya bwana Paul Makonda ni kiini macho tu kwani auwezi kutatua changamoto au shida za wananchi kwa kumsikiliza mwananchi mmoja mmoja pasipo kupambana na mfumo ambao ndio chanzo cha hizo changamoto, in short Makonda inabidi apambane na mfumo ambao umeletwa na chama chake mwenyewe.
Nyani akitaka kuangalia kundule ndo inakuwa hivyo, wacha wajione walivyo.
 
Back
Top Bottom