Kwa haya majibu ya lissu itoshe kusema Chadema ni wa kuogopwa kama ukoma

Kwa haya majibu ya lissu itoshe kusema Chadema ni wa kuogopwa kama ukoma

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
 
Kama utawaita CHADEMA wahuni ccm utawaitaje....namna mlivyobaka chaguzi za mitaa hata mwezi haujaisha.

CDM ikianguka kwa nini kelele nyingi zinatoka kwenu hasa wewe na Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah kwa nini mmetokea kuipenda CDM ghafla...

Kuna Mambo mengi ya kuonyana, kuelekezana na kushauriana huko CCM....
Gentleman,
nawe pia umekosa staha kama Lisu kiasi hiki?

usipotoshe wadau tafadhali, kua muungwana, makelele yako na yale ya Lisu hayatasaidia chochote zaidi ya kujidhalilisha na kujipambanua jinsi msivyo na hekima na busara mbele ya umma.

Mmejawa visasa moyoni,
na wachambuzi na wataalamu wa bobevu wa masuala haya tulisema mapema kwamba,

Tabasamu za makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake Taifa ni za kinafiki, ni kwa nje tu lakini moyoni kuna chuki na uhasama kupindukia,

ndio haya sasa yanaoyendelea,

Na kwahiyo,
binafsi na wachambuzi wabobevu wengine wa siasa za Tanzania hatunaga mapenzi na yeyote kwenye kazi ya siasa,

so,
usipotoshe wadau tafadhali 🐒
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
na watapasuna mno mpaka siku ya uchaguzi maana naona uvumilivu unaelekea 0% kwa sasa kwa pande zinazohasimiana 🐒
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Lissu ndo mwenyekiti ajae ,
Lissu aliogopwa sana akiwa JKT Wakati mwalim yupo madarakani ,je mwalim alishindwa mwajibisha kama aliwachapa viboko wanafunzi pale udms ,je kwa nini hakumchapa lissu ?tena akiwa jkt ? Wajinga flani wakaamua mminia ma risasi ,lissu is a hero hunter, msimchukulie poa.

Jaji Warioba anamkubali sana uyu kijana ,we nani humkubali?

Yapo maandiko ya wajinga flani hivi , ila hawajielewi kwama ni wajinga , pamoja na heshima yao katika jamii ,wapuuzwe
 
Gentleman,
nawe pia umekosa staha kama Lisu kiasi hiki?

usipotoshe wadau tafadhali, kua muungwana, makelele yako na yale ya Lisu hayatasaidia chochote zaidi ya kujidhalilisha na kujipambanua jinsi msivyo na hekima na busara mbele ya umma.

Mmejawa visasa moyoni,
na wachambuzi na wataalamu wa bobevu wa masuala haya tulisema mapema kwamba,

Tabasamu za makamu mwenyekiti dhidi ya mwenyekiti wake Taifa ni za kinafiki, ni kwa nje tu lakini moyoni kuna chuki na uhasama kupindukia,

ndio haya sasa yanaoyendelea,

Na kwahiyo,
binafsi na wachambuzi wabobevu wengine wa siasa za Tanzania hatunaga mapenzi na yeyote kwenye kazi ya siasa,

so,
usipotoshe wadau tafadhali 🐒
Mahaba yenu na Mwenyekiti Mbowe na ukosoaji wa Lissu, utadhani watu fulani waungwana kumbe ni Mbwa mwitu mliojivika ngozi ya kondoo...utajipima wewe mwenyewe na nafsi yako.
 
Kama utawaita CHADEMA wahuni ccm utawaitaje....namna mlivyobaka chaguzi za mitaa hata mwezi haujaisha.

CDM ikianguka kwa nini kelele nyingi zinatoka kwenu hasa wewe na Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah kwa nini mmetokea kuipenda CDM ghafla...

Kuna Mambo mengi ya kuonyana, kuelekezana na kushauriana huko CCM....
Wewe huipendi chadema hujawahi kuwa mfuasi wa chadema 23/9 nilimuona mtoto wa mbowe peke yake pale magomeni!
 
Lissu ndo mwenyekiti ajae ,
Lissu aliogopwa sana akiwa JKT Wakati mwalim yupo madarakani ,je mwalim alishindwa mwajibisha kama aliwachapa viboko wanafunzi pale udms ,je kwa nini hakumchapa lissu ?tena akiwa jkt ? Wajinga flani wakaamua mminia ma risasi ,lissu is a hero hunter, msimchukulie poa.

Jaji Warioba anamkubali sana uyu kijana ,we nani humkubali?

Yapo maandiko ya wajinga flani hivi , ila hawajielewi kwama ni wajinga , pamoja na heshima yao katika jamii ,wapuuzwe
Mpaka Mbowe atake pindi afikishapo miaka 68s ndio lissu atakuwa mwenyekiti kama atakuwepo!
 
Kama utawaita CHADEMA wahuni ccm utawaitaje....namna mlivyobaka chaguzi za mitaa hata mwezi haujaisha.

CDM ikianguka kwa nini kelele nyingi zinatoka kwenu hasa wewe na Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah kwa nini mmetokea kuipenda CDM ghafla...

Kuna Mambo mengi ya kuonyana, kuelekezana na kushauriana huko CCM....
Kwa haya tunayoyaona yakiendelea huko cdm ni bora ccm waendelee kuiba kura mpaka mwisho wa dunia
 
Mahaba yenu na Mwenyekiti Mbowe na ukosoaji wa Lissu, utadhani watu fulani waungwana kumbe ni Mbwa mwitu mliojivika ngozi ya kondoo...utajipima wewe mwenyewe na nafsi yako.
Gentleman,
yaani wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Taifa chadema wenye akili timamu wamuunge mkono kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mwenye tamaa hivyo? kweli? thubutu 🤣
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
CCM wamefanikisha hayo
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Yaani mi kinachonisikitisha ni gharama kubwa iliyotumika kujenga upinzani wenye hoja leo unakuja kubomolewa na Mr Zero mbowe.
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Hawa jamaa nilishasema ukiacha mbowe huoni mtu mwenye hekima wala busara mwenye uwezo wa kuongoza, imejaa watu wenye mihemuko ,waropokaji na wasiojua kusamehe
 
Back
Top Bottom