Kwa haya majibu ya lissu itoshe kusema Chadema ni wa kuogopwa kama ukoma

Kwa haya majibu ya lissu itoshe kusema Chadema ni wa kuogopwa kama ukoma

Gentleman,
yaani wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Taifa chadema wenye akili timamu wamuunge mkono kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mwenye tamaa hivyo? kweli? thubutu 🤣
Sema mna hofu akiingilia Lissu mirija inaweza kukatwa....hapokei Rushwa huyo mwamba na lazima hutamtaka kwa vyovyote vile.
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Mbowe ni wa kuogopwa kinoma
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Mangi kapokea pesa hajampa mgao Mnyapaa.

........Cdm Wahuni sana.
 
Sema mna hofu akiingilia Lissu mirija inaweza kukatwa....hapokei Rushwa huyo mwamba na lazima hutamtaka kwa vyovyote vile.
mtaalamu mbobevu mwanasiasa muandamizi kama mimi na wengine kweli tunaweza kutishwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mwenye mdomo na tamaa kama huyo na asie na maono 🤣
 
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .

Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....

USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Nafikiri Chadema inayo nafasi ya kuaminiwa ukilinganisha na ccm. Ni nani mwanaccm mwenue ujasiri wa kuzungumza madudu ya ccm akabaki salama? Yuko wapi Horace Kolimba?
 
Kama utawaita CHADEMA wahuni ccm utawaitaje....namna mlivyobaka chaguzi za mitaa hata mwezi haujaisha.

CDM ikianguka kwa nini kelele nyingi zinatoka kwenu hasa wewe na Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah kwa nini mmetokea kuipenda CDM ghafla...

Kuna Mambo mengi ya kuonyana, kuelekezana na kushauriana huko CCM....
Bora wezi wa Ccm wameshiba shiba kulko wezi wa CDm wao bado njaa na hasira ni kali sana….ingawa kati yao hakuna bora kwa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom