Sema mna hofu akiingilia Lissu mirija inaweza kukatwa....hapokei Rushwa huyo mwamba na lazima hutamtaka kwa vyovyote vile.Gentleman,
yaani wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Taifa chadema wenye akili timamu wamuunge mkono kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mwenye tamaa hivyo? kweli? thubutu 🤣
Mbowe ni wa kuogopwa kinomaIfike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .
Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....
USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Wacha tuone!Mbowe ni wa kuogopwa kinoma
Hakika!Hawa jamaa nilishasema ukiacha mbowe huoni mtu mwenye hekima wala busara mwenye uwezo wa kuongoza, imejaa watu wenye mihemuko ,waropokaji na wasiojua kusamehe
Upinzani ulikufa 2015!Yaani mi kinachonisikitisha ni gharama kubwa iliyotumika kujenga upinzani wenye hoja leo unakuja kubomolewa na Mr Zero mbowe.
Weka ushahidi!CCM wamefanikisha hayo
Mangi kapokea pesa hajampa mgao Mnyapaa.Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .
Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....
USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
mtaalamu mbobevu mwanasiasa muandamizi kama mimi na wengine kweli tunaweza kutishwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mwenye mdomo na tamaa kama huyo na asie na maono 🤣Sema mna hofu akiingilia Lissu mirija inaweza kukatwa....hapokei Rushwa huyo mwamba na lazima hutamtaka kwa vyovyote vile.
Halafu?Weka ushahidi!
Nafikiri Chadema inayo nafasi ya kuaminiwa ukilinganisha na ccm. Ni nani mwanaccm mwenue ujasiri wa kuzungumza madudu ya ccm akabaki salama? Yuko wapi Horace Kolimba?Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena hotel,Lissu amejipambanua hana cha kupoteza anatoboa mtumbwi yeye atakimbilia ughaibuni na kukiacha chama hoi .
Wenye akili wantilia shaka uongozi wao hakuna mwananchi wa kuwaamini tena,
Chama kinaendeshwa na wahuni je wahuni hawa wakipewa nchi hawawezi kuja kuwakana wananchi na kusema wamejiingiza wenyewe ikulu kwa pesa zao na kupigwa risasi.....ndugu zangu Chadema ni wa kuogopwa hasa lissu na Mbowe ni watu hatari kwa maslahi yao....
USHAURI:
Kama mbowe alivyosema baada ya uchaguzi maneno yasiyo na staha watu wasije wakalaumiana basi na nishauri fukuza lissu chamani atakufanya kama lipumba uwe umebakia kupokea mialiko ikulu bila ruzuku.....!
Mkuu ,Mbowe amekua mpole sana kwa watawala,tunataka kwenda nao ulalo ulalo tu , na then tuheshimiane ,nchi ya kwetu wote hiiMazingira gani mkuu hebu funguka!
Bora wezi wa Ccm wameshiba shiba kulko wezi wa CDm wao bado njaa na hasira ni kali sana….ingawa kati yao hakuna bora kwa Taifa letu.Kama utawaita CHADEMA wahuni ccm utawaitaje....namna mlivyobaka chaguzi za mitaa hata mwezi haujaisha.
CDM ikianguka kwa nini kelele nyingi zinatoka kwenu hasa wewe na Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah kwa nini mmetokea kuipenda CDM ghafla...
Kuna Mambo mengi ya kuonyana, kuelekezana na kushauriana huko CCM....