Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Hayo unayouliza majibu yake ji NDIYO
 
Your english alone doesn't suggest you know what ai can do. Why don't you use ai to improve your language?
 
Umeeleza vizuri ambazo mimi niligundua mapungufu yale kwa macho tu wala sikuhitaji AI Detector.

Kitu pekee ambacho watz unaweza kuwekeza na wakatumia muda wao vizuri ni habari zinazohusu Ngono.

Hanari za Balatasar utaziona whatsapp, facebook na instar across African continent. Huko Ulaya na Marekani wala hawana habari nazo.
 
Hayo unayouliza majibu yake ji NDIYO
Kwa maana yote yanawezekana si ndiyo?

Swali la pili,hizi tuhuma ni nzito na ukichukulia zimechafua taswira nzima ya nchi pamoja na watu mashuhuri,je hiyo serikali ya Guinea haikuweza kugundua kwamba hizo picha ni za Al ili iweze kurudisha heshima yake kama nchi?
 
Najaribu kufikiria, hizo video hata Mimi zinanipa mashaka kama ni za kweli!
Utombeh mke wa Mpango, Maja, IGP na wengine na wakupe ushirikiano wa kuwarekodi ukiwa unawatomber... Hapa ndo napata mashaka kuhusu hizo video
 
Najaribu kufikiria, hizo video hata Mimi zinanipa mashaka kama ni za kweli!
Utombeh mke wa Mpango, Maja, IGP na wengine na wakupe ushirikiano wa kuwarekodi ukiwa unawatomber... Hapa ndo napata mashaka kuhusu hizo video
Ni sahihi kabisa mashaka yako,nami mashaka yangu je wataalamu wa Guinea hawakujua hizo ni video za Al?
 
Mkuu hizi shithole countries by Trump hazijali Reputation ya Nchi. As long as wametimiza malengo yao.
 
Najaribu kufikiria, hizo video hata Mimi zinanipa mashaka kama ni za kweli!
Utombeh mke wa Mpango, Maja, IGP na wengine na wakupe ushirikiano wa kuwarekodi ukiwa unawatomber... Hapa ndo napata mashaka kuhusu hizo video
Hata malaya hakuruhusu Umrecord sembuse Mke wa IGP anayetembea na Ulinzi?
 
From day one mimi sikuamini hii habari,kilichofanya nihisi sio kweli ni cheo cha jamaa cha Director of FIU...yawezekana kuna watu wamefanya ubadhirifu na jamaa kawang'amua..ili kuharibu imebidi wamtengenezee tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…