Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Ufanye A.I uweke sura za wakuu wa Taasisi wakuchekee sio? Mpaka mmoja wao kajinyonga wewe bado unaona ni A.I tu?

Zile clips ni kweli jamaa kala ile mizigo


Ukisoma hii link ya bbc kwa undani, unaona kuwa kuna mipango michafu ya kisiasa. Lolote linawezekana.
 
Shida watanzania wavivu kusoma na research. Ni rahisi sana kumanipulate wabongo na yote takaamini na kusambaza ujumbe tena hadi vyombo vikumbwa
Mnakumbuka lowasa alishawahi kusingiziwa mtoto wa nje, babu seya na wanae wote eti walibaka pamoja , yaani baba na mtoto wabake pamoja, Lissu walitaka kumuu ….. kuna mamlaka fulan ukiyakanyaga wahuni wanatumwa ! Baltazar anacheo hela na familia bora, wakaona wachafue humo

Tujifunze kuwa thinker, learn and search
Mavideo yote ni takataka

Jamaa yupo strict na kazi sana lakini pamoja na yote kapiga nyumba ndogo ya mkulu…..
 
Mimi Sijaona video zote ila ya kwenye maji sijui mto nikaona huu ni uhuni mtupu hapa kuna mchezo umechezwa.
 
Mimi Sijaona video zote ila ya kwenye maji sijui mto nikaona huu ni uhuni mtupu hapa kuna mchezo umechezwa.
Ile ya kwenye maji AI transformation model iikuwa na poor ouput, througput pia haikuwa na standard GHz. Zipo AI in combination na Machine learning ambayo hiyo machine learning ina soma behavior na trends character za muhusika kisha inapeleka inputs kwenye AI tool Transformation model , hiyo ngoma ikitoka ni hardly kugundua kuwa imetengenezwa , inafanya measurements, dimensions na cubic zote…. You can not Even sense kuwa ni AI….. na unahitaji advanced AI detector kupata analysis reports …. Tools za kawaida zimekuwa bypassed

Yale matakataka ya Baltazar hata kwa macho ukiangalia tu unajua hii sio, mfano hiyo ya kwenye maji , na mengineyo anayopaka mate . , ile inayoonesha dick , mshipa wa dick utasema imewekwa pen 😹😹😹😹
 
I'm convinced to what the Author has just pointed out..
I hv seen a certain video on FB, Baltasar was speaking Swahili.
Surprisingly,a movement of his lips is exactly the same as every word that he speaks.
People don't question about that video,wanachukulia kawaida tu lakini kwenye hizo sex clips wanaona ni ukweli.
Amakweli shetani amefanikiwa Waafrika wote tuangalie adult clips..
AI ni kitu kibaya sana kikifall kwa wrong hands ..just fikiria Kuna picha za Monalisa yule famous sasa kwa AI anaonekana yupo mahali tofauti tofauti,hadi anaongea.....just imagine mtu kafa miaka mia ngapi iliyopita lakini sasa kwa AI anaonekana yupo hai, kwanini niamini hizo clips za Baltasar?🙄🙄🙄🙄
 
Hakuna AI pale.
 
Ikifika muda wa kureflect kuhusu maisha yako jaribu kureflect ikiwa watoto wako wanastahili mzazi kama wewe. Huna haja ya kua mpuuzi, kuna options nyingi sielewi kwanini umechagua ya upuuzi
Achana na huyo kijana HAJIELEWI… vijana wengi wameamua zao kuchagua bange maishani kama kiburudisho au ndo waonekane ma-gangstar kama wanavyodanganyana kumbe wanauvuta uchizi kwa lazima na kujiharibia maisha yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…