Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Katika hili wanawake wanalakujifunza, episodes zote hakuna ya mkewe... Respect kwa Baltazar
Dah..!
Ujue umeongea kitu kilinifikirisha pia..! Jamaa hakuwahi kum record mkewe, means alikua ana mheshimu...!

Wale Wanawake wengine aliwa record japo wengine ni wake za Watu, means aliwachukulia kama Malaya tu.
 
Ai ndo iweke sura tofauti tofauti za wake za watu?
Halafu kipi kigumu kuamini hao michepuko 400 plus?
Ungekuwa unajua Picha za Ai zinavoonekana ungeelewa
Those are not really

That was a project mzee, chunguza vema hizo video. Ukitaka hata sura yako itatokea, AI jinsi inao input na kucommqnd ndio unapata out unayotaka

Hata ukitaka aonekane Beyonce anamfanyia Bqltqzar Blow job it is easy

Learn to be smart kwenye ulimwengu wa innovation and technology
 
Zile video za huyo mwamba zimerekodiwa kwa simu yenye camera yenye viwango...video hazina giza giza ...sura za watu wote zinaonekana ka kwenye muvi vile...hakuna editing wala nini.
 
Zile video za huyo mwamba zimerekodiwa kwa simu yenye camera yenye viwango...video hazina giza giza ...sura za watu wote zinaonekana ka kwenye muvi vile...hakuna editing wala nini.
Mimi ninazo na nimepitisha kwenye AI video detector tools, zote ni AI

Unayo AI video detector ? Ni ya kulipia, pitisha hizo video nipe majibu

TZ ni very poor country hata technology huchelewa kufika, imagine hadi karne hii TZ kuna watu wanalipia eti kufanyiwa matangazo instagram 😹😹😹😹😹

Unahitaji ujinga kiwango cha reli kuamini hayo mavideo

Hata ya mke wake ni fake

Jamaaa kakanyaga pabaya
 
Hakuna AI mkuu. Familia ya yule mjamzito inayosemekana ana unasaba nae ingekuwa imeshaamka kwa udhalilishaji.
Then ukitaka kujua kama jamaa anapenda huo mchezo, angalia familia yake. Watoto sita wanaofuatana vimo kama steers. Kheri yake ana hela ila kama Angekuwa hana hela wale watoto wangekuwa na utapia.
Ina maana hata yule aliyejiua ni AI sio?
 
Sasa ilikuwa rahisi kama ungeweka results ya hiyo tool uliyotumia tofauti na maneno yako.
 
Ni reputation.

Natamani kusikia kwanini unasema Sio AI! Do you think tulipofika unaweza kuitambua AI kwa macho 😹😹😹?

Unatumia tool gani kusema sio AI ? Au umejiongeza Mkuu… huyu kajiua hawa hawajakana therefore , sio AI ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…