Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Zile video za huyo mwamba zimerekodiwa kwa simu yenye camera yenye viwango...video hazina giza giza ...sura za watu wote zinaonekana ka kwenye muvi vile...hakuna editing wala nini.
Alafu wewe utakuwa ulimwengu wa teknolojia umekutupa mkono, yani wewe unawaza eti camera yenye viwango, ungezaliwa kipindi cha Kinjeketile au chifu Mkwawa ungebisha tu vilevile kuwa hakuna ndege inaweza kubeba gari la Tani mbili alafu ikaweza kupaa.

AI inauwezo wa kumuonesha Barthazar mdomo wake kwa kumuangali unatamka maneno ya kisukuma ilhali hata kindengeleko hajui.

Wenzako sasa hiyo teknolojia ya AI wameianza kitambo wapo kwenye Laser technology
 
Dah..!
Ujue umeongea kitu kilinifikirisha pia..! Jamaa hakuwahi kum record mkewe, means alikua ana mheshimu...!

Wale Wanawake wengine aliwa record japo wengine ni wake za Watu, means aliwachukulia kama Malaya tu.
Heshima yake iko wapi? Kulala na wanawake kibao tena bila kinga ndio heshima loh. Ni muhuni tu yule.
 
kwamba watoto wakifatana wanakua na utapiamlo

mkuu utakuwa mgeni hii Tz na vijiji vyake hasa usukumani huko
 
AI icheze na misura ya wake za wakubwa tupu?

Na wengine baada ya kashifa kubamba wakakimbilia kamba za katani ili kuua soo.

Weee bw. Acha kuitoa mada kwenye reli, jamaa alizini nao kweli, kwa muda mrefu katika maeneo mbali mbali na kuwarekodi.

Jana wakati akikingiwa kifua na mahakama, ilisema kuwa hao aliowalala ni watu wazima wenye utashi wao.
So kwanini mahakama isimsamehe kwa gia ya AI?
 
Hii mikono inayotype haya matusi ndiyo unatumia kumshika mama yako? Ndiyo hii unatumia kumbeba mwanao?
Sijakuelewa Beibi au una maana kuwa upo kwenye Sink la choo unajisaidia? Ila angalia Beibi uwa kuna ma-snake uwa wanaibukiaga kwenye masink ya choo.
 
Kwa hiyo kupelekwa mahakamani ndiyo kuhukumiwa? Kule ndipo ushahidi utatolewa! Watu wanahoji mbona wengine wamejiua ukiwauliza nani kajiua ushahidi hawana zaidi ya picha ya mtu amelala yaani hii nchi imejaa watu wajinga sana.
 
Hata hiyo picha ya watoto ni AI
 
Very good observation. Mi niliziangalia zile video nikagundua something fishy.
Ukiangalia video zote utagundua kuwa jamaa na mtu wake wanayenjunju wanajirekodi na wote wanaingalia camera. Ktk uhalisia hicho kitendo si cha kawaida, mke wa mtu au demu wa kitaa atakubali kutoa nyapu lakini si rahisi akubali kurekodi tukio.

Pili, mademu wengi anaofanya nao hawaoneshi Ile facial expression ya kupokea mkuyenge kwenye via vya uzazi. Wote wanaonekana kuwa na blunt affect ambayo hai_reflect real scenario ya tendo Hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…