Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Uthibitisho ni ku command sura moja tunayoijua tukihakikishie
 
Sijakuelewa Beibi au una maana kuwa upo kwenye Sink la choo unajisaidia? Ila angalia Beibi uwa kuna ma-snake uwa wanaibukiaga kwenye masink ya choo.
Ikifika muda wa kureflect kuhusu maisha yako jaribu kureflect ikiwa watoto wako wanastahili mzazi kama wewe. Huna haja ya kua mpuuzi, kuna options nyingi sielewi kwanini umechagua ya upuuzi
 
Mkuu watu hawajui hicho kitu, zile video mashaka yalianzia kwa ile yupo kwenye maji na ukiangalia vizuri soundi inapanda na kushuka halafu jamaa anaongea maneno Fulani sijui ni kihispaniola kile lakini yapo very similar kwa video zaidi ya 5 na Bado wale watu wanawake wote wanaonekana hawana hofu ilihali wote wanajua wanarecodiwa. Hivi kweli mke wa mtu utamrekodi vile na aendelee kufurahi tu?
 
Stay strong bruh. Kama una changamoto zozote za akili au kiuchumi reach out. Nitakusaidia
 
Tatizo kubwa watu hawajui how AI works . Halaf now days kuna tools za kufanya analysis za AI

AI DETECTOR IMESEma 💯 Ai, kwa mfano moja ya reasons iliyowekq AI detector ni hakuna proportional ya viungo vyao, mfano mikono, miguu na hata dick , sperms an blow job zao, voice modulation are not realistic , movement za sex are not realistic , miili yao kwa ujumla, kuna AI nyingine zilikuwa low quality …kwenye zile video … you can see hata kwa macho ya kawaida
Utaona most of the time jamaa ana cross his hands na kuweka kifuani….. that was low quality out put even local detectors can give you signal

Hivi why wa TZ NI washamba na mpo nyuma ya muda sana


Taifa linaloongoza kwa ujinga ni TZ , so easy to be manipulated; same as wanavoamini ishu ya p didy

All are fake and manipulative
 
Labda elimu zetu ndogo, unaweza kuyuthibitishia kuwa zile ni AI generated? Na post ya hiyo account kutoka X ulioiweka, wajuvi wa Mambo wANASEMA ni Impersonation.
 
Pili, mademu wengi anaofanya nao hawaoneshi Ile facial expression ya kupokea mkuyenge kwenye via vya uzazi. Wote wanaonekana kuwa na blunt affect ambayo hai_reflect real scenario ya tendo Hilo.

hii nimeiona ni mwanamke mmoja tu ndo alikuwa anaonekana ana hisia
 
"Nguza alikanyaga nyaya za kigogo wa state mliona kilichotokea."

Hii ni topic japo umeiweka kama sub topic.
Kasota gizani zaidi ya miaka 10 maskini!

Mwenda zake baada ya kuuelewa ukweli wa kile ulichodokeza akamtema.

Zingeendelea kupokezana tawala za ngedere na manyani angelifia jela.

Kumbe mahakama za Tz ni za mapambo!
 

mimi nakuelewa unachoongea, pale ni AI imetumika kiufundi sana ila sehemu moja nadhani itamuonokoa: UUME. na anachoweza kujitetea mwamba ni kwa MKEWE TU sababu anajua tupu yake, shida ni watoto, wakwe, mashemeji, ndugu zake kukubali ukweli kuwa hahusiki, mkewe anaweza kumuelewa sababu anamuonaga akiwa uchi, nazidi kujifunza mkuu, tupe code ya Kimambi nimegoogle sana sijaipata vizuri
 
Mesoma nkaishiaa ona mistari miwili

.......kitu kingine, vijana kwa dunia ya sasa it is not worth it kuweka family issue kwenye social media , siku ukijichanganya kwenye line za wahuni utakuja kunielewa ............

...........Hakuna ulazima watu kumjua mke wako au watoto zako, hata your Staff Members hawapaswi kujua anything about your spouse and family issue except work issues ...........
 
nimemwelewa jamaa hapa.
 
Dah..!
Ujue umeongea kitu kilinifikirisha pia..! Jamaa hakuwahi kum record mkewe, means alikua ana mheshimu...!

Wale Wanawake wengine aliwa record japo wengine ni wake za Watu, means aliwachukulia kama Malaya tu.
Ya mkewe imetoka pia sema yuko anapigwa machine na jamaa mwingine black hivi! Sasa inaweza kua ni kisasi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…