Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuuu usitumue nguvu kubwa sana kumuelekeza mtu .Ungekuwa unajua Picha za Ai zinavoonekana ungeelewa
Those are not really
That was a project mzee, chunguza vema hizo video. Ukitaka hata sura yako itatokea, AI jinsi inao input na kucommqnd ndio unapata out unayotaka
Hata ukitaka aonekane Beyonce anamfanyia Bqltqzar Blow job it is easy
Learn to be smart kwenye ulimwengu wa innovation and technology
Wote wamwamini yeye ni nani?Mwanamke akikuamini unafanya nae chochote
Sasa kuna mtu anajinyonga kisa video fake? Kama zilikua fake kwanini kuna watu wamejiua?Kwa kuwa upo TZ huwezi kuelewa
Technology mnayotumia huko, huku mbele ni atleast 10 yrs ago
Hakuna kwenda pole hapa😂😂😂Mahali nimeona kuwa Balthazar alikuwa na kesi ya upotevu mkubwa wa pesa ya umma,
Wakamkata then wakaenda kwake wakachukua baadhi ya vitu vyake kama laptop ambayo waliifungua na kufanya yaliyoonekana
Ukisema nyaya ni kweli, siamini kama Balthazar ameyafanya yote
Vijana nendeni polepole.
Kama ni AI kwanini watu wanajiua?Mimi ninazo na nimepitisha kwenye AI video detector tools, zote ni AI
Unayo AI video detector ? Ni ya kulipia, pitisha hizo video nipe majibu
TZ ni very poor country hata technology huchelewa kufika, imagine hadi karne hii TZ kuna watu wanalipia eti kufanyiwa matangazo instagram 😹😹😹😹😹
Unahitaji ujinga kiwango cha reli kuamini hayo mavideo
Hata ya mke wake ni fake
Jamaaa kakanyaga pabaya
Hamna unachokijua kuhusu AINataka zako unaebisha, utaniambia nikuweke kama nani kwenye video output
Huyu jamaa hana akiliKama ni AI alipelekwa mahakamani kufanya nini?
Umesikiliza hukumu ya ile kesi?
Kwanini mahakama haijasema zile ni picha za kutengenezwa sio halisi?
Je Kama fake Kwanini wale walioshiriki wamefukuzwa kazi?
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Kwa nini hajashtakiwa kwa kosa la kutengeneza video za ngono za AI?Kwan mawazir ndio wametengeneza AI? Unajua maana ya conflict ?
PointKatika hili wanawake wanalakujifunza, episodes zote hakuna ya mkewe... Respect kwa Baltazar
Hivi wewe mtu kujiua lazima uwe amefanya? Kuna watu wanajiua baada ya kunenewa uongo, Kuna wengine hawawezi hata kujitetea, by the way nani aliyejiua?Kama ni AI kwanini watu wanajiua?
Nini maana ya AIUnazungumziaje na hii ya Mahakama kupokea ushahidi wa AI?
AI ndio Dunia ilipofika
Ndio watanzania tulivyo mkuu, hapo utakuta hata huyo jamaa ni katoto ka first year udom na ndio kwanza kamejifunza AI juziKwamba wewe ndo una access ya A.I detector tools ila yeye, mawakili wake, marafiki zake, wale wanawake & waume zao hawana access wala hawaijui hiyo A.I detector tools ili iwatoe kwenye hiyo aibu?
Yaani serikali ichukue uamuzi wa kufukuza wale wanawake wote serikalini na wanajua kua hizo ni A.I maana they have all the tools at their disposal?
Haya yatakua ni maajabu.
Na mahakama nayo haikua na hiyo AI detector? Serikali mpaka inatimua wahusika haikua na hiyo detector?Hivi wewe mtu kujiua lazima uwe amefanya? Kuna watu wanajiua baada ya kunenewa uongo, Kuna wengine hawawezi hata kujitetea, by the way nani aliyejiua?
Mkuu subiri kesi ianzeNa mahakama nayo haikua na hiyo AI detector? Serikali mpaka inatimua wahusika haikua na hiyo detector?
Jamaa una maneno ya ajabu wewe.Ikifika muda wa kureflect kuhusu maisha yako jaribu kureflect ikiwa watoto wako wanastahili mzazi kama wewe. Huna haja ya kua mpuuzi, kuna options nyingi sielewi kwanini umechagua ya upuuzi
Ianze mara ya ngapi?Mkuu subiri kesi ianze
Nani kajiua wewe na Govern... fake newKama ni AI kwanini watu wanajiua?