Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media.

they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani atakuwa wa kwanza ku post.

Hii imenikumbusha enzi ya Babu Seya, Baba Kaka na watoto wote sehemu moja wamebaka.

Mwisho kabisa inakuja kujulikana kuwa jamaa alikanyaga nyaya hatari. Hiki ndio kimemkuta Baltazari matokeo yake jamaa kachafuka na wameharibu reputation ya familia

Now days kuna AI na Machine learning ambazo ni ngumu kutofautishq outputs zake na original. Ndio kinachomkuta Baltazar baada ya kukanyaga nyaya Hatari kwenye pita pita zake ndani ya jengo kuu

Vijana tuwe makini, sio kila nyaya inayojileta unataka pita nayo, chunguza kwanza mtu wake anapower kiasi gani na how stronger uta handle mikiki, wanawake wengi wa vigogo ikulu wana stress hatari maana jamaa zao hawana
Muda na wanakuaga na multiple relationships kwenye heka heka zao na hata nguvu zinakuwa low to handle kwa ulienae ndani.

Matokeo yake ukimpata mtu wake na ukimgusa tu hakuachi halaf along the way wana lose control hadi jamaa yake anastuka…… WAFWA……kama Baltazar

Nguza alikanyaga nyaya za kigogo wa state mliona kilichotokea.

kitu kingine, vijana kwa dunia ya sasa it is not worth it kuweka family issue kwenye social media , siku ukijichanganya kwenye line za wahuni utakuja kunielewa

Hakuna ulazima watu kumjua mke wako au watoto zako, hata your Staff Members hawapaswi kujua anything about your spouse and family issue except work issues

we are not perfect

Kujichanganya ni kawaida in life, unaweza ukajikuta umeingia cha kike, hata kwenye financial conflict or property conflict, mapenzi.

Manipulations alizofqnyiwa Baltazar, Nguza na Hata Mzee Kimambi na wengineo inatupa akili tunapaswa kuwa makini kwenye pita pita zetu

Famili ya Baltazar ipo kwenye shame with fake videos just for the interest of one person at the top.

Kazi kwenu
Kwa Nini pia karibu video zote ni dk 5 na sekunde kadhaa
 
Kama hii ya nguza ilkua ni igizo basi ni hatar sana Kwa ule ushahid uliosukwa unless kama haujawai soma hukumu zake kuanzia mahakama ya Hakimi mkazi mpka court of appeal
Yani wewe unaonesha unaamini hata Freeman ni Osama bin Laden ndio maana aliswekwa Lupango
 
Inawezekana vipi wake za waheshimiwa karibia wote aliowagonga wanaangalia na kufurahi kurekodiwa wakati jamaa ana set Camera? Siamini kama wake wote wa vigogo ni malaya wanaolipwa kwa ponograph maana hata mademu wa kawaida hawakubali kurekodiwa ndo maana asilimia kubwa ya video zinazovuja huwa camera zinafichwa ila ya hii jamaa wote wanafurahia camera
Hii ya kurekodiwa huku wanajua ndio inaleta ukakasi aseee afu ni karibia zote
 
Hakuna mke wa kiongiozi hata mmoja kwenye video

Bali watu wameaminishwa kuwa ni wake za viongozi
Hakuna Al pale yaani waweke wake wa waheshimiwa public vile et Al aisee
KIAZI

NILETEE PICHA ZA WAKE WA HAO VIONGOZI , HALAF ANGALIA HIZO VIDEO KAMA KUNA HATA MMOJA

LETA PICHA YA MKE WA KIONGOZI AMBAE YUPO KWA VIDEO .

Kuweni Smart dunia inaenda kasi

Pia ni mafundisho msipende kuingia bifu na watu

Chuma pesa lea famia, bifu na wakuu hazifai

Ukila mke wa mtu make sure mme wake unamjua, ni mshamba tu au ni kibosile mwenye Power .

Hata ishu ya babu seya it was all about bifu, ingekuwa kwa sasa hata yeye angefanyiwa ivo

Hakuna uhalisia hata kwa akili ya kuzaliwa

U fucq all women na wake za wakubwa then ujirekodi, are you mad ?

Hata hivyo hizo video zote tumepitisha kwenye AI detector tool

Zote zimefeli tena kwa 100 💯, ni fake na ilikuwa ni project ya kumuangamiza jamaa kama ile project ya babu seya, Mzee Jumanne Kimambi na Binti wa dovya, au bifu la Ulimboka au Tundu Lissu



Ubaya ubwela
 
Mkuuu usitumue nguvu kubwa sana kumuelekeza mtu .
Kama anabisha mwambie anitumie mimi video zake ata mbili akiwa anacheza alafu tamfanyia mafekeche kama yaliyomtokea ndugu yetu Vishu Mtata

Nipo Hapa ku prove ishu nzima za AI wanaobisha watume picha zao alafu waone tunavyo fanya
Hivi mnatuonaje watz? Kwamba ai wewe unaijua sanaaa wengine vichwa maji hawawezi kuona tale tale signs za ai generated images? Andaa movie ama series kwa ai zako upige hela, simple, why trying hard to prove a point on jf.
 
Kwa bahati nzuri dada ni binadamu Tena mwenye thamani kubwa. Kukuthibitishia mwanamke ni kiumbe wa thamani, ni pale ambapo sisi wanaume huwa tunauana tukifumaniana, lakini sijawahi kuona mwanamke anaua mwenzake katika fumanizi! Hivyo kuniita dada hakunisumbui
Safi sana mkuu, fundisha huyo.
 
Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media.

they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani atakuwa wa kwanza ku post.

Hii imenikumbusha enzi ya Babu Seya, Baba Kaka na watoto wote sehemu moja wamebaka.

Mwisho kabisa inakuja kujulikana kuwa jamaa alikanyaga nyaya hatari. Hiki ndio kimemkuta Baltazari matokeo yake jamaa kachafuka na wameharibu reputation ya familia

Now days kuna AI na Machine learning ambazo ni ngumu kutofautishq outputs zake na original. Ndio kinachomkuta Baltazar baada ya kukanyaga nyaya Hatari kwenye pita pita zake ndani ya jengo kuu

Vijana tuwe makini, sio kila nyaya inayojileta unataka pita nayo, chunguza kwanza mtu wake anapower kiasi gani na how stronger uta handle mikiki, wanawake wengi wa vigogo ikulu wana stress hatari maana jamaa zao hawana
Muda na wanakuaga na multiple relationships kwenye heka heka zao na hata nguvu zinakuwa low to handle kwa ulienae ndani.

Matokeo yake ukimpata mtu wake na ukimgusa tu hakuachi halaf along the way wana lose control hadi jamaa yake anastuka…… WAFWA……kama Baltazar

Nguza alikanyaga nyaya za kigogo wa state mliona kilichotokea.

kitu kingine, vijana kwa dunia ya sasa it is not worth it kuweka family issue kwenye social media , siku ukijichanganya kwenye line za wahuni utakuja kunielewa

Hakuna ulazima watu kumjua mke wako au watoto zako, hata your Staff Members hawapaswi kujua anything about your spouse and family issue except work issues

we are not perfect

Kujichanganya ni kawaida in life, unaweza ukajikuta umeingia cha kike, hata kwenye financial conflict or property conflict, mapenzi.

Manipulations alizofqnyiwa Baltazar, Nguza na Hata Mzee Kimambi na wengineo inatupa akili tunapaswa kuwa makini kwenye pita pita zetu

Famili ya Baltazar ipo kwenye shame with fake videos just for the interest of one person at the top.

Kazi kwenu
Uko sahihi mimi niligundua tangu Day One ukizingatia kazi ya jamaa.

Ni kweli alikutwa na video mbili tatu lakini sio 400.

Wake wa mawaziri( waziri gani)
Wake wa vigogo( akina nani)
Mpwa wa Rais( jina lake nani)
Jamaa alikuwa Mkaguzi na Mpelelezi Mkuu wa CAG ya Guinea ya Ikweta. Sasa amegusa Mipunga ya Ma Tycoon.

Most likely hakutaka ku compromise, most likely alimgusa Theo Obiang au Genge lake.
M

Kwenye mapungufu ya mahusiano ya hapa na pale kwa wenzetu chama cha kijani hakuna anayeweza kupona.

Watu wana mafaili makubwa sana😀😀
 
Hivi mnatuonaje watz? Kwamba ai wewe unaijua sanaaa wengine vichwa maji hawawezi kuona tale tale signs za ai generated images? Andaa movie ama series kwa ai zako upige hela, simple, why trying hard to prove a point on jf.
Wewe ni Mjinga zile movie za magari kuruka hewani na kuwaka moto huzioni?
Movie za watu kulipuana risasi na mabomu je? Unaweza kututofautishie ukweli na usio ukweli.

Huna exposurw kaa kimya.

Yule Engonga ni kweli alipiga mashine live lakini zimekuwa Exagrated for their own reasons.
 
Back
Top Bottom