demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
SIMBA SC:
Tarehe 20.03.2023 Simba SC waliingia mkataba na VUNJABEI wenye thamani ya Bilioni 2 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili)
VUNJABEI alitengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2021/22 na
2022/23
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 2 Tu.
Tarehe 16/6/2023 Simba SC waliingia mkataba na SANDALAND wenye thamani ya Bilioni 4 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili). Ikimaanisha kila msimu wataingiza Bilioni 2
SANDALAND atatengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2023/24 na
2024/25
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 4 Tu.
HIVYO BASI SIMBA WATAINGIZA JUMLA YA BILIONI 6 KATIKA MISIMU 4.
YANGA SC:
Tarehe 12/02022 YANGA SC waliingia mkataba na GSM wenye Jumla ya thamani ya Bilioni 10.9 tu kwa muda wa Miaka mitano (Yaani Misimu mitano)
Kwa maana ya msimu wa:-
2022/23, 2023/24, 2024/25, 2025/26, 2026/27.
Kwa hesabu ya haraka haraka Bilion 10.9 ukiigawa kwa kila msimu unapata Bilion 2.18. Hivyo ulichukua misimu minne tu ya kwanza yaani
2022/23,
2023/24,
2024/25,
2025/26,
Ni sawa na 2.18 Bilioni X 4 = Bilioni 8.72. Kimsingi kwenye misimu minne tu ya mikataba ya jezi kwa upande wa Simba & Yanga,
Yanga SC wanatengeneza Bilion 8.72
Simba SC wanatengeneza Bilion 6.00.
YANGA SC WAMEWAZIDI BILIONI 2.72 WENZAO KWENYE DILI LA JEZI.
HAPO HATUJAHESABIA ILE 1,300/= YA KWENYE MAUZO YA KILA JEZI YA KLABU KUTOKA KWA GSM.
View attachment 2669392
Tarehe 20.03.2023 Simba SC waliingia mkataba na VUNJABEI wenye thamani ya Bilioni 2 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili)
VUNJABEI alitengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2021/22 na
2022/23
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 2 Tu.
Tarehe 16/6/2023 Simba SC waliingia mkataba na SANDALAND wenye thamani ya Bilioni 4 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili). Ikimaanisha kila msimu wataingiza Bilioni 2
SANDALAND atatengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2023/24 na
2024/25
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 4 Tu.
HIVYO BASI SIMBA WATAINGIZA JUMLA YA BILIONI 6 KATIKA MISIMU 4.
YANGA SC:
Tarehe 12/02022 YANGA SC waliingia mkataba na GSM wenye Jumla ya thamani ya Bilioni 10.9 tu kwa muda wa Miaka mitano (Yaani Misimu mitano)
Kwa maana ya msimu wa:-
2022/23, 2023/24, 2024/25, 2025/26, 2026/27.
Kwa hesabu ya haraka haraka Bilion 10.9 ukiigawa kwa kila msimu unapata Bilion 2.18. Hivyo ulichukua misimu minne tu ya kwanza yaani
2022/23,
2023/24,
2024/25,
2025/26,
Ni sawa na 2.18 Bilioni X 4 = Bilioni 8.72. Kimsingi kwenye misimu minne tu ya mikataba ya jezi kwa upande wa Simba & Yanga,
Yanga SC wanatengeneza Bilion 8.72
Simba SC wanatengeneza Bilion 6.00.
YANGA SC WAMEWAZIDI BILIONI 2.72 WENZAO KWENYE DILI LA JEZI.
HAPO HATUJAHESABIA ILE 1,300/= YA KWENYE MAUZO YA KILA JEZI YA KLABU KUTOKA KWA GSM.