Kwa hesabu za haraka, Stiegler's Gorge itaifanya Tanzania kuipiku Afrika Kusini kiuchumi ndani ya miaka 10

Kwa hesabu za haraka, Stiegler's Gorge itaifanya Tanzania kuipiku Afrika Kusini kiuchumi ndani ya miaka 10

Si tuliambiwa kwamba ile gesi ya Mtwara mpaka ianze kuchimbwa inahitaji miaka 10 ya utengenezaji mitambo, japo serikali iliwaomba wajitahidi kukamilisha hata ndani ya miaka 5 au 7 ili tuanze kufaidika, tusubiri tu hiyo miaka 10 uzalishaji utakapoanza. Hii tunayoitumia sasa kuzalisha umeme kinyerezi ya Songas iligunduliwa miaka ya 1970 lakini imechukua zaidi ya miaka 30 kuanza kutumika, so hii ya Mtwara tusubiri tu, tumeambiwa miaka 10 itakuwa tayari kwa walaji
Gasi ya mtwara tayari imechimbwa na ipo ktk matumizi mkuu! Kinachotusumbua ni kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja, gasi ina zaidi ya miaka 2 tangu ifike Dar, unatumia kuzalisha umeme na Tanesco huko Kinyerezi, ubungo, na Tegeta. Bado matumizi ya gasi hii ya Mtwara ni kidogo sana.
 
Rais ameshasema kuwa, hii kamati iende kwa madini ya kila aina na kufanya majadiliano, hakuna madini yatakayo achwa, wamemalizana na Acacia, wakitoka hapo wanaenda kwenye Tanzanite, Almasi, na hata Uranium haitabaki salama, itafika mahali na Uranium itatup utajiri unaostahili, tofauti na sasa ambapo Uranium inayozalisha umeme wa matrillion ya madollar haichangii chochote kwenye mfuko wa mtz.
kwani TANZANIA tumeanza kufanya mining ya uranium ? sorry sikujua naomba uniambie ni mgodi gani tunakochimba uranium?
 
Gasi ya mtwara tayari imechimbwa na ipo ktk matumizi mkuu! Kinachotusumbua ni kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja, gasi ina zaidi ya miaka 2 tangu ifike Dar, unatumia kuzalisha umeme na Tanesco huko Kinyerezi, ubungo, na Tegeta. Bado matumizi ya gasi hii ya Mtwara ni kidogo sana.
Hiyo gesi inayotumika kuzalisha umeme kinyerezi na ubungo ni ya Songosongo iligunduliwa miaka ya 1970 na imeanza kutumika hivi karibuni tu, hiyo gesi ya Msimbati iliyogunduliwa mwaka 2010 uzalishaji bado sana
 
Unafikiri sauzi afrika ilijengwa kwa miaka10??
Wee sikiza story za vijiweni thn ziweke akilini alafu impact yake utakuja kuiona baadae...
Sauz iko mbali wewe...
 
Kuna haja ya kufahamishwa, kama tuliyonayo haiwezi kuzalisha umeme kwa kiwango tunachohitaji?
Mtwara, kampuni ya ARTUMAS, ilifua umeme kwa kutumia gesi, hata SONGAS, anafua umeme kwa kutumia gesi.
Naamini matumizi ya gesi ingekuwa ni rahisi kutumika, bila kuharibu mazingira.
Masuala ya kutumia maji ya maporomoko ya mabwawa,yamekuwa na zile habari za kutegemea mvua,mara matope yamejaa.!
Ulinganifu ukifanyika, tuokoa gharama, tunafahamu Ethiopia anajenga bwawa kubwa kwa ajili ya kuzalisha umeme, labda kwa vile hana gesi.
Sisi tuongeze jenereta zenye uwezo wa kuzalisha MEGAWATI nyingi pale KINYEREZI,tuokoe gharama.
 
Ameshawaeleza kwamba walipe hizo 700billion haraka kwakuwa anazihitaji kwa ajili ya kujengea Stiegler's gorge dam, nilifarijika mno kuona kwamba mradi huu ni kipaumbele. Leo hii akija kiongozi akaniambia nile nyasi ili ajenge hilo bwawa mimi nitakubali kula hata pumba tena kwa furaha kabisa ili mradi tu ajenge hilo bwawa maana ndio mkombozi wetu wa mwisho aliebaki, sioni kingine, hayo madini yataisha lakini hilo bwawa litabaki, Mungu atupe nini watz..
Ulipwe hewa? Wanakuogopa?
 
Tunaweza kuipiku south afriaca ki uchumi ya kweli hayo? Mtu anazitengeneza gar sisi hata sindano bado mkuu bado sana
Hii kweli kaongeza chumvi exaggeration ya hali ya juu.
Note: Mimi diehard shabiki wa Magufuli.
 
Kwa kuwa nishati ndio nyenzo kuu kabisa ya maendeleo ya kiuchumi ya Taifa lolote lile, nimepiga hesabu za haraka na kubaini kuwa endapo bwawa la Stiegler's Gorge litakamilika kwa full capacity ya uzalishaji wa MW 6000, na tukaweza kuuza nishati hii nafuu kwa nchi jirani za Africa, basi ni dhahiri kwamba Tanzania itakuwa ikitoa misaada ya kibinadamu kwa nchi mbali mbali ikiwemo hata South Africa. Hizo bilioni 700 tusizifanyie makosa kabisa.
Kwa hesabu za papuchi sawa
 
Kwa kuwa nishati ndio nyenzo kuu kabisa ya maendeleo ya kiuchumi ya Taifa lolote lile, nimepiga hesabu za haraka na kubaini kuwa endapo bwawa la Stiegler's Gorge litakamilika kwa full capacity ya uzalishaji wa MW 6000, na tukaweza kuuza nishati hii nafuu kwa nchi jirani za Africa, basi ni dhahiri kwamba Tanzania itakuwa ikitoa misaada ya kibinadamu kwa nchi mbali mbali ikiwemo hata South Africa. Hizo bilioni 700 tusizifanyie makosa kabisa.
wooi ngachoka kabisa..🙄🙄😳
 
Si tuliambiwa kwamba ile gesi ya Mtwara mpaka ianze kuchimbwa inahitaji miaka 10 ya utengenezaji mitambo, japo serikali iliwaomba wajitahidi kukamilisha hata ndani ya miaka 5 au 7 ili tuanze kufaidika, tusubiri tu hiyo miaka 10 uzalishaji utakapoanza. Hii tunayoitumia sasa kuzalisha umeme kinyerezi ya Songas iligunduliwa miaka ya 1970 lakini imechukua zaidi ya miaka 30 kuanza kutumika, so hii ya Mtwara tusubiri tu, tumeambiwa miaka 10 itakuwa tayari kwa walaji
Imeanza tangu 2005... Tatizo mnawaamini saba wana siasa badala ya wataalamu wa mambo hayo
 
Pia tuliwahi kuambiwa gesi ya Mtwara ingetufanya Tz kuwa bora kiuchumi kuliko Kenya, Namibia, South Africa, Botswana, Misri na Ghana. Sijui ile gesi iliishia wapi?
 
Pia tuliwahi kuambiwa gesi ya Mtwara ingetufanya Tz kuwa bora kiuchumi kuliko Kenya, Namibia, South Africa, Botswana, Misri na Ghana. Sijui ile gesi iliishia wapi?
Tofautisha ya Songosongo (onshore) na ya Mtwara (offshore)
 
Kwa kuwa nishati ndio nyenzo kuu kabisa ya maendeleo ya kiuchumi ya Taifa lolote lile, nimepiga hesabu za haraka na kubaini kuwa endapo bwawa la Stiegler's Gorge litakamilika kwa full capacity ya uzalishaji wa MW 6000, na tukaweza kuuza nishati hii nafuu kwa nchi jirani za Africa, basi ni dhahiri kwamba Tanzania itakuwa ikitoa misaada ya kibinadamu kwa nchi mbali mbali ikiwemo hata South Africa. Hizo bilioni 700 tusizifanyie makosa kabisa.
Kuna ukweli kuwa tutapiga hatua,Ila tujiulize tunafanya nini kuzuia hujumaa,au ndio tuko kwenye usingizi kuwa Kila mtu anapenda hizo juhudi zetu?
 
Back
Top Bottom