Kwa heshima na taadhima, nawaomba CCM 2025 mtuletee Mgombea bora mwenye uchungu na nchi hii

Kwa heshima na taadhima, nawaomba CCM 2025 mtuletee Mgombea bora mwenye uchungu na nchi hii

Watu wapo kwenye msamiati wa KOFIA MBILI wewe unawaletea zako za kuleta
 
Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.

Asanteni sana
Mkuu ngebe , kwanza naheshimu mawazo yako, pili naheshimu haki yako na uhuru wako kutoa maoni yako under the freedom of expression provided kwenye katiba yetu.

Sisi Watanzania wazalendo tumeisha amua 2025, tunakwenda na Mwanamke!.

Urais hupangwa na Mungu, hivyo kwa vile JPM aliletwa na Mungu, na akatwaliwa na Mungu, kisha Mungu huyo huyo akatupatia Samia, na sisi tukamuunga mkono Mungu kwa kumuomba 2025 atupatie mgombea mwanamke, nakushauri na ku kukuandaa 2025 kuchagua mgombea mwanamke

P
 
Baada ya kuona kabisa kwamba tuko kwenye uelekeo ambao hauna dira, napemda kutoa Rai kwa Chama cha Mapinduzi 2025 mtuletee mgombea Urais mwenye dira maono na mwenye uchungu na Rasilimali za nchi hii.

Hatuhitaji mtuletee mtu ambaye kutwa kucha anawaza uchaguzi na jinsi ya kuendelea kuwa Rais badala ya kuwaza maendeleo ya watanzania,

Hatuhitaji mtu amabye yuko radhi kuwaruhusu watu wafanye ufisadi ili wampe sapoti aendelee kuwa Rais hatutaki!

Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.

Asanteni sana
Mimi maoni yangu namba moja tumuepuke mtu yeyote aliyemkejeri magufuli sirini na anayemkejeli magufuli waziwazi. Namba mbili tumuepuke mtu yeyote anayewapa madaraka vigogo waliyotemwa na magufuli kwa ufisadi na uzembe.
Namba tatu tuhakikishe tunapata magufuli mpya kuongoza nchi yetu.
 
Huyu Bibi nimemtetea sana ila dizaini naona mipasho mingi kuliko utendaji kazi..
Ikifika nukuu za Rais, nazima redio.
Mipasho,mwanangu aweso,mwanangu ridhiwani,mwanangu acksoni,hotuba shaghalabagala.
 
Baada ya kuona kabisa kwamba tuko kwenye uelekeo ambao hauna dira, napemda kutoa Rai kwa Chama cha Mapinduzi 2025 mtuletee mgombea Urais mwenye dira maono na mwenye uchungu na Rasilimali za nchi hii.

Hatuhitaji mtuletee mtu ambaye kutwa kucha anawaza uchaguzi na jinsi ya kuendelea kuwa Rais badala ya kuwaza maendeleo ya watanzania,

Hatuhitaji mtu amabye yuko radhi kuwaruhusu watu wafanye ufisadi ili wampe sapoti aendelee kuwa Rais hatutaki!

Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.

Asanteni sana
Kuna genge la wahuni hufurahia hali ya nchi ilivyo. Tanzania arise, arise, arise.
 
Back
Top Bottom