Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumia ukiwa wapi?Hangaya anawaza namna ya kunufaisha nchi yao kwa kutumia mali toka huku ugenini anakofanya kazi.
Wadanganyika wanashangila tu kama mazuzu....inaonesha wazi ndio watu wa hovyo kuliko wote ukanda huu wa Afrika mashariki na kati!
Hakuna mwanasiasa mwenye uchungu Africa na nchi yake..........
Mkuu ngebe , kwanza naheshimu mawazo yako, pili naheshimu haki yako na uhuru wako kutoa maoni yako under the freedom of expression provided kwenye katiba yetu.Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.
Asanteni sana
Labda Botswana kidogo lakini siyo ZambiaBotswana na Zambia
Duh; ule uzi ulikuchota akili! 😆😆MKUU usijali 2025 mbali Sana !!hivi karibuni tu wenye nchi yao wanafanya jambo lao!!
Mimi maoni yangu namba moja tumuepuke mtu yeyote aliyemkejeri magufuli sirini na anayemkejeli magufuli waziwazi. Namba mbili tumuepuke mtu yeyote anayewapa madaraka vigogo waliyotemwa na magufuli kwa ufisadi na uzembe.Baada ya kuona kabisa kwamba tuko kwenye uelekeo ambao hauna dira, napemda kutoa Rai kwa Chama cha Mapinduzi 2025 mtuletee mgombea Urais mwenye dira maono na mwenye uchungu na Rasilimali za nchi hii.
Hatuhitaji mtuletee mtu ambaye kutwa kucha anawaza uchaguzi na jinsi ya kuendelea kuwa Rais badala ya kuwaza maendeleo ya watanzania,
Hatuhitaji mtu amabye yuko radhi kuwaruhusu watu wafanye ufisadi ili wampe sapoti aendelee kuwa Rais hatutaki!
Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.
Asanteni sana
Kumbe walidanganya sio!!?kwamba Tumia akili aje atudanganye wanajukwaa sio!!!?ngoja tuone mwisho wake!!Duh; ule uzi ulikuchota akili! 😆😆
Tuombe uzima.Kumbe walidanganya sio!!?kwamba Tumia akili aje atudanganye wanajukwaa sio!!!?ngoja tuone mwisho wake!!
Ikifika nukuu za Rais, nazima redio.Huyu Bibi nimemtetea sana ila dizaini naona mipasho mingi kuliko utendaji kazi..
HanaKwani huyu hana uchungu na nchi?
Zilifutwa hizo.Ajira zilikua hazitolewi alafu ww huyohuyo tena uliitwa interview ya TRA
View attachment 2161870
Kuna genge la wahuni hufurahia hali ya nchi ilivyo. Tanzania arise, arise, arise.Baada ya kuona kabisa kwamba tuko kwenye uelekeo ambao hauna dira, napemda kutoa Rai kwa Chama cha Mapinduzi 2025 mtuletee mgombea Urais mwenye dira maono na mwenye uchungu na Rasilimali za nchi hii.
Hatuhitaji mtuletee mtu ambaye kutwa kucha anawaza uchaguzi na jinsi ya kuendelea kuwa Rais badala ya kuwaza maendeleo ya watanzania,
Hatuhitaji mtu amabye yuko radhi kuwaruhusu watu wafanye ufisadi ili wampe sapoti aendelee kuwa Rais hatutaki!
Lakini pia mimi kama mwananchi wa kawaida mwenye uhuru wa kutoa maoni katika nchi hii, ninapenda kumueleza Rais Samia kwamba Sisi tunampemda na tunamuheshimu sana, aendelee kuchapa kazi kwa kipindi hiki kilichobaki lakini chonde chonde 2025 aamue tu kwa hiyari yake kutogombea tena nafasi ya Urais ili kulinda heshima yake.
Asanteni sana