Kwa hii CCM inayopasuka na sisi tunavyojipanga kidigitali 2025 tukishiriki uchaguzi tunaweza kukamata dola

Anaeamini wewe ni CDM nampa pole san masikini!! Hajui kua ww ni Lumumba FC Do or Die 🤣🤣🤣
 
CCM HAWATEGEMEI SANDUKU LA KURA, TISS na Polisi ndo sanduku lao la kura.
 
Agenda za CCM mwaka 2019 kwamba serikali za mitaa iwe kijani tu, Wakurugenzi wanakimbia fomu za WAPINZANI, na ikawa hivyo. Agenda ya CCM uchaguzi mkuu 2020 wawe na bunge la kijani, Wakurugenzi wanakimbia fomu za WAPINZANI, na ikawa hivyo, wakasahau bunge wanatakiwa wapinzani wawemo, wakanunua COVID 19 KINYUME Cha Sheria! na wamo KINYUME Cha Sheria! Agenda za CCM ni uvunjaji wa katiba, sanduku la kura haliheshimiwi, CCM wanategemea TISS na Polisi ndo sanduku lao la kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…