kwa hii tume anayounda mgombea wa chama tawala tutegemee kitendo cha kujiteuwa na sio uchaguzi wa haki

kwa hii tume anayounda mgombea wa chama tawala tutegemee kitendo cha kujiteuwa na sio uchaguzi wa haki

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Katika uhalisia ndani ya taifa mgombea wa chama tawala ndio anajiundia tume mwenyewe hii sio demokrasia wakati nchi inawagombea zaidi ya mmoja na inamfumo wa vyama vingi vya siasa na ina wataalamu wa kisiasa kwanini mgombea anaunda tume ?

Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu wa masuala ya kisiasa watakao tokana na vyama vyote vya siasa nchini hapa ndio tutapata tume huru na ya haki,

lakini kitendo cha mgombea kuunda tume hii itakayoenda kusimamia uchaguzi mzima bila ushiriki wa wowote wa vyama vingine vya kisiasa au wataalamu hii itakuwa ni tume ya kujiteuwa kwa alie iunda na sio tume ya uchaguzi huru na wa haki.

unajua Tunapofika kwenye kipindi cha uchaguzi mkumbuke pia kwamba serikali inakuwa ni chama cha siasa na raisi anakuwa kama mgombea kikatiba kwahiyo haiwezekani mgombea aunde tume mwenyewe alafu iwe ya haki na huru hii sio demokrasia.
 
Mh! mi mbona naona upinzani njia nyeupe kwao
 
Katika uhalisia ndani ya taifa mgombea wa chama tawala ndio anajiundia tume mwenyewe hii sio demokrasia wakati nchi inawagombea zaidi ya mmoja na inamfumo wa vyama vingi vya siasa na ina wataalamu wa kisiasa kwanini mgombea anaunda tume ?

Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu wa masuala ya kisiasa watakao tokana na vyama vyote vya siasa nchini hapa ndio tutapata tume huru na ya haki,

lakini kitendo cha mgombea kuunda tume hii itakayoenda kusimamia uchaguzi mzima bila ushiriki wa wowote wa vyama vingine vya kisiasa au wataalamu hii itakuwa ni tume ya kujiteuwa kwa alie iunda na sio tume ya uchaguzi huru na wa haki.

unajua Tunapofika kwenye kipindi cha uchaguzi mkumbuke pia kwamba serikali inakuwa ni chama cha siasa na raisi anakuwa kama mgombea kikatiba kwahiyo haiwezekani mgombea aunde tume mwenyewe alafu iwe ya haki na huru hii sio demokrasia.

Kukiwa na tume huru, uchaguzi huru, wa haki, ulio wazi kwa sasa CCM chini ya Samia haiwezi kushinda.

Nashauri vituo vyote viwekewe CCTV na matukio yote, kuhesabu kura, taratibu zote mwanzo mwisho nchi nzima zirekodiwe na kurushwa live online mwanzo hadi mwisho.
 
Hapo ni sawa na kusema anajichagua yeye mwenyewe tena kwa akili ya kawaida kabisa bila hata kutumia IQ
 
Ndomana tunasema no refom no election
Kuna kitu ambacho CHADEMA bado hawakielewi. Msimamo wa no reform, no election hauwezi kuwa effective, kwa sababu CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu ya divide and rule. CHADEMA wakigoma kushiriki uchaguzi, CCM itavishawishi vyama vingine kushiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wake. Mliona kilichotokea Zanzibar 2015 pale Maalim Seif na CUF walipogoma kushiriki uchaguzi wa marudio!
 
Kuna kitu ambacho CHADEMA bado hawakielewi. Msimamo wa no reform, no election hauwezi kuwa effective, kwa sababu CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu ya divide and rule. CHADEMA wakigoma kushiriki uchaguzi, CCM itavishawishi vyama vingine kushiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wake. Mliona kilichotokea Zanzibar 2015 pale Maalim Seif na CUF walipogoma kushiriki uchaguzi wa marudio!
Hii ilionekana ya Wapemba.
 
Katika uhalisia ndani ya taifa mgombea wa chama tawala ndio anajiundia tume mwenyewe hii sio demokrasia wakati nchi inawagombea zaidi ya mmoja na inamfumo wa vyama vingi vya siasa na ina wataalamu wa kisiasa kwanini mgombea anaunda tume ?

Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu wa masuala ya kisiasa watakao tokana na vyama vyote vya siasa nchini hapa ndio tutapata tume huru na ya haki,

lakini kitendo cha mgombea kuunda tume hii itakayoenda kusimamia uchaguzi mzima bila ushiriki wa wowote wa vyama vingine vya kisiasa au wataalamu hii itakuwa ni tume ya kujiteuwa kwa alie iunda na sio tume ya uchaguzi huru na wa haki.

unajua Tunapofika kwenye kipindi cha uchaguzi mkumbuke pia kwamba serikali inakuwa ni chama cha siasa na raisi anakuwa kama mgombea kikatiba kwahiyo haiwezekani mgombea aunde tume mwenyewe alafu iwe ya haki na huru hii sio demokrasia.
We nyau unashauri km nani. Mgombea haundi tume, Rais aliyeko madarakani ndiye humteua mwenyekiti wa tume siyo mgombea, unasikia we nyumbu?
 
Kuna kitu ambacho CHADEMA bado hawakielewi. Msimamo wa no reform, no election hauwezi kuwa effective, kwa sababu CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu ya divide and rule. CHADEMA wakigoma kushiriki uchaguzi, CCM itavishawishi vyama vingine kushiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wake. Mliona kilichotokea Zanzibar 2015 pale Maalim Seif na CUF walipogoma kushiriki uchaguzi wa marudio!
Hakuna atakayelazimishwa kushiriki uchaguzi, huo utakuwa uamuzi wa chama husika
 
Kuna kitu ambacho CHADEMA bado hawakielewi. Msimamo wa no reform, no election hauwezi kuwa effective, kwa sababu CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu ya divide and rule. CHADEMA wakigoma kushiriki uchaguzi, CCM itavishawishi vyama vingine kushiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wake. Mliona kilichotokea Zanzibar 2015 pale Maalim Seif na CUF walipogoma kushiriki uchaguzi wa marudio!
Tuna vyama vinavyo jiita upinzani wa hovyo sana mpqka unajiuliza ivi c bora tuwe na chama kimoja tu ……….
 
Katika uhalisia ndani ya taifa mgombea wa chama tawala ndio anajiundia tume mwenyewe hii sio demokrasia wakati nchi inawagombea zaidi ya mmoja na inamfumo wa vyama vingi vya siasa na ina wataalamu wa kisiasa kwanini mgombea anaunda tume ?

Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu wa masuala ya kisiasa watakao tokana na vyama vyote vya siasa nchini hapa ndio tutapata tume huru na ya haki,

lakini kitendo cha mgombea kuunda tume hii itakayoenda kusimamia uchaguzi mzima bila ushiriki wa wowote wa vyama vingine vya kisiasa au wataalamu hii itakuwa ni tume ya kujiteuwa kwa alie iunda na sio tume ya uchaguzi huru na wa haki.

unajua Tunapofika kwenye kipindi cha uchaguzi mkumbuke pia kwamba serikali inakuwa ni chama cha siasa na raisi anakuwa kama mgombea kikatiba kwahiyo haiwezekani mgombea aunde tume mwenyewe alafu iwe ya haki na huru hii sio demokrasia.
Ingieni msituni
 
Back
Top Bottom