Kwa hiki alichofanya Harmonize live stejini inashangaza sana kuona ukimya wa BASATA na Wizara husika, This is too much, Hatua zichukuliwe upesi

Daaaah yaan mi nkifanya hivyo lazima dushelele lisimame sijui anawezaje kufanya hivyo mbele za watu!!
 
Sasa hapo kipi kigeni kwako!!
Kwa mfano!?...

Ambacho hujawahi ona ama kufanya,kigeni kwako ni kipi!?.

Istoshe wote wanaohudhuria tamasha ... Ni over18!

Mkifanyia chumbani... Imehalalishwa!... Stejini inaonekana haramu!? Acha watu wale vibe!...

Ama Kuna mtoto wa dadaako ulimpeleka hapo!?... akamuone Tembo!?...ulidhani hapo ni hifadhini!? Ngorongoro eeh!?

Walioko humo wote ni watu wazima!

Waenda mwezini!
Na wachomeka mipini!
 
Ni kweli, na hayo mambo yamefanyika usiku.
Kuna ile diamond anatomasa chuchu za zuchu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…