Kwa hiki kisa changu naweza kupata madai yangu NSSF?

Kwa hiki kisa changu naweza kupata madai yangu NSSF?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Habari wakuu! Nilikuwa nafanya kazi mkoa wa kusini Songea ajira ya mkataba wa muda baada ya mkataba kuisha nilienda kuulizia taratibu za kufungua madai wakaniambia mimi bado kijana nitapata kazi nitaendelea kuchangia..

Imepita almost miaka miwili nikiwa Sina kazi nikakumbuka Kuna hela nilikuwa nachangia NSSF itakuwa wakati sahihi kuidai kutokana na ugumu wa maisha nayopitia.

Nimeeanda tawi la Ubungo kuulizia utaratibu wananiambia inabidi niwe na barua ya kumaliza mkataba, cheti cha muajiri wangu kimsingi hivyo vyote Sina nilipewa na muajiri wangu ila Sina idea yoyote vipo sehemu gani kwa kifupi nimepoteza.

Nikaambiwa kwenye fomu ya madai inabidi nipeleke kwa muajiri kuna section yake ya kujaza muajiri wangu yupo Ruvuma mimi nipo Dar.

Binafsi kitu nilichonacho kinachohusiana na kazi yangu ya zamani ni Mkataba na salary slip pekee. Je, kuna possibility ya kupata madai yangu ukizingatia ndio tumaini pekee nililonalo kwa sasa?
 
Habari wakuu! Nilikuwa nafanya kazi mkoa wa kusini Songea ajira ya mkataba wa muda baada ya mkataba kuisha nilienda kuulizia taratibu za kufungua madai wakaniambia mimi bado kijana nitapata kazi nitaendelea kuchangia..

Imepita almost miaka miwili nikiwa Sina kazi nikakumbuka Kuna hela nilikuwa nachangia NSSF itakuwa wakati sahihi kuidai kutokana na ugumu wa maisha nayopitia.

Nimeeanda tawi la Ubungo kuulizia utaratibu wananiambia inabidi niwe na barua ya kumaliza mkataba, cheti Cha muajiri wangu kimsingi hivyo vyote Sina nilipewa na muajiri wangu ila Sina idea yoyote vipo sehemu gani kwa kifupi nimepoteza.

Nikaambiwa kwenye fomu ya madai inabidi nipeleke kwa muajiri Kuna section yake ya kujaza muajiri wangu yupo Ruvuma mimi nipo Dar.

Binafsi kitu nilichonacho kinachohusiana na kazi yangu ya zamani ni Mkataba na salary slip pekee.. je Kuna possibility ya kupata madai yangu ukizingatia ndio tumaini pekee nililonalo kwa Sasa??
mbona hivyo vitu ulivyopoteza vinapatakana kirahisi, nenda kwa mwajiri wako muombe akupatie maana barua ya wewe kumaliza mkataba inakua ktk file lako alkadhalika na hiko cheti cha utumishi pia kinapatikana kirahisi.

Kama nauli ya kwenda huko mkoani huna muombe muajiri wako akutumie hizo doc. hata kwa e mail uprint
 
mbona hivyo vitu ulivyopoteza vinapatakana kirahisi, nenda kwa mwajiri wako muombe akupatie maana barua ya wewe kumaliza mkataba inakua ktk file lako alkadhalika na hiko cheti cha utumishi pia kinapatikana kirahisi.

Kama nauli ya kwenda huko mkoani huna muombe muajiri wako akutumie hizo doc. hata kwa e mail uprint
Sina mawasiliano na muajiri ofisi ilifungwa kutokana na kukata
 
Pambana kupata vielelezo hivyo uwaibukie tena mkuu.

"wewe bado kijana utapata kazi" hivi hawa wasenge huwa wanatumia masaburi kufikiri? Hela yangu halafu wewe unipangie muda wa kuichukua, inaingia akilini kweli?
Nyumba jenge mimi veve lale bure kenge kabisa hawa jamaa.
Hiyo hela imetokana na kazi ya kufa kupona bado inabidi nipambane Tena kuipata
 
Habari wakuu! Nilikuwa nafanya kazi mkoa wa kusini Songea ajira ya mkataba wa muda baada ya mkataba kuisha nilienda kuulizia taratibu za kufungua madai wakaniambia mimi bado kijana nitapata kazi nitaendelea kuchangia..

Imepita almost miaka miwili nikiwa Sina kazi nikakumbuka Kuna hela nilikuwa nachangia NSSF itakuwa wakati sahihi kuidai kutokana na ugumu wa maisha nayopitia.

Nimeeanda tawi la Ubungo kuulizia utaratibu wananiambia inabidi niwe na barua ya kumaliza mkataba, cheti Cha muajiri wangu kimsingi hivyo vyote Sina nilipewa na muajiri wangu ila Sina idea yoyote vipo sehemu gani kwa kifupi nimepoteza.

Nikaambiwa kwenye fomu ya madai inabidi nipeleke kwa muajiri Kuna section yake ya kujaza muajiri wangu yupo Ruvuma mimi nipo Dar.

Binafsi kitu nilichonacho kinachohusiana na kazi yangu ya zamani ni Mkataba na salary slip pekee.. je Kuna possibility ya kupata madai yangu ukizingatia ndio tumaini pekee nililonalo kwa Sasa??
Haina shida kama umepoteza vyote, nakushauri kama ni mkristu muone shehe wako akuandikie barua na kama ni muislamu muone mchungaji wako akuandikie kisha peleka makso makuu CCM waipitishe ili NSSF waipokee na kuifanyia kazi.
 
Haina shida kama umepoteza vyote, nakushauri kama ni mkristu muone shehe wako akuandikie barua na kama ni muislamu muone mchungaji wako akuandikie kisha peleka makso makuu CCM waipitishe ili NSSF waipokee na kuifanyia kazi.
ilibidi uandike hiv "aipeleke makao makuu ya CCM ili CHADEMA waipitishe"
 
Back
Top Bottom