Kwa hiki kisa changu naweza kupata madai yangu NSSF?

Tafuta documents unapewa less.juzi wamenipa mzgo wangu 5m plus
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mwanangu yalimkuta kama hayo, alikuwa anafanya kazi kwenye shirika fulani, mkataba ukaisha wazee wakasepa...
Akaunti ya nssf inasoma milioni 30+ lakini anagongea mpaka hela ya gesi nyumbani kwake.. Kila anavyofurukuta wapi, ni mpaka alivyopata kazi kwingine maisha yakarudi kwenye matari,
Maisha yalipokaa sawa Sikuwahi tena kumuuliza kama alifanikiwa au lah, na ukaribu ukaisha😂🤣
 
Duh inakatisha tamaa
 
Sema kupata pesa zako NSSF ukiwa kama proffesional ni mziki ,hapo watakupa 33% kama fao la kukosa ajira
Ilikuwa siyo professional qualifications ilikuwa kujua kusoma na kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…