KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Wananzengo, mu Hali gani?
Kwa masikitiko makubwa Leo nawatangaza hadharani maadui wakubwa wa taifa letu.
Laiti tungekuwa na uongozi imara tungekuwa mbali sana kwenye mafanikio ya kiuchumi.
DP WORLD wamepewa bandari bure, wamepewa na vitendea kazi bure. Leo wameongeza Terminal Trucks kumi na trailers 27. Wameleta Rubbered Tyred Gantre (RTG) nane. Na sasa hamna meli inakaa mwezi mzima dock ikisubiri foleni. Container ships zinaingia moja kwa moja kupakua mzigo.
Pia soma: DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7
Walichofanya DP WORLD ni kujaza vipuri kwenye warehouse, TPA wao hawakuweka kipuri hata kimoja warehouse, hadi magurudumu yakiisha kwenye Rich Stacker, wanatafuta Rich Stacker mbovu wanaivua gurudumu.
Viongozi wetu walikuwa wanayaona haya lakini wakishirikiana na CCM wakawa wanachukulia poa sana.
Mapapapa fisadi wa CCM wakanunua Quay Crane mbili kwa mabilioni ya pesa, kwa miaka nenda rudi hizo QC hazikufanya kazi, wamekuja DP WORLD wamenunua jenereta mbili, QC zinafanya kazi sasa, wamepata bure.
Folk lifts zinakuwa grounded kwa kukosa matairi; ni aibu gani hii?
Kwa masikitiko makubwa Leo nawatangaza hadharani maadui wakubwa wa taifa letu.
Laiti tungekuwa na uongozi imara tungekuwa mbali sana kwenye mafanikio ya kiuchumi.
DP WORLD wamepewa bandari bure, wamepewa na vitendea kazi bure. Leo wameongeza Terminal Trucks kumi na trailers 27. Wameleta Rubbered Tyred Gantre (RTG) nane. Na sasa hamna meli inakaa mwezi mzima dock ikisubiri foleni. Container ships zinaingia moja kwa moja kupakua mzigo.
Pia soma: DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7
Walichofanya DP WORLD ni kujaza vipuri kwenye warehouse, TPA wao hawakuweka kipuri hata kimoja warehouse, hadi magurudumu yakiisha kwenye Rich Stacker, wanatafuta Rich Stacker mbovu wanaivua gurudumu.
Viongozi wetu walikuwa wanayaona haya lakini wakishirikiana na CCM wakawa wanachukulia poa sana.
Mapapapa fisadi wa CCM wakanunua Quay Crane mbili kwa mabilioni ya pesa, kwa miaka nenda rudi hizo QC hazikufanya kazi, wamekuja DP WORLD wamenunua jenereta mbili, QC zinafanya kazi sasa, wamepata bure.
Folk lifts zinakuwa grounded kwa kukosa matairi; ni aibu gani hii?