Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Wewe kenge hivi ulijambwa? Kila member humu jukwaani unagombana nae jitafakariYale unayoyatoa ukitoka Kushughulikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kenge hivi ulijambwa? Kila member humu jukwaani unagombana nae jitafakariYale unayoyatoa ukitoka Kushughulikiwa?
Rubbish.we popoma
mbona ujaongelea na ile sauti yake wanayoweka Azam ya "wananchiiiii...."?
Nagombana zaidi na Wapumbavu Wengi mliopp Wakiongozwa nawe Mwandamizi Wao.Wewe kenge hivi ulijambwa? Kila member humu jukwaani unagombana nae jitafakari
Huna Akili.TFF hawawezi kumchukulia hatua Kitenge wala EFM sio wadau wao.
Karibu chapati na maharage popoma naona una njaa unaropoka tu hahaNut.
Kutosikiliza Kwako ndiyo Upumbavu wako.Wengine hatukusikia hicho kipindi mkuu, unaweza kuleta ushahidi tusikie wote alichozungumza huyo Haji hapo EFM?
Karibu chapati na maharage popoma naona una njaa unaropoka tu haha
Ni kweliHuna Akili.
Kaifuate pale White House EFM Mbezi Beach au TCRA.Weka clip jukwaani tuisikie wote maoni yetu yaweze kwenda sawa
Ni mkubwa kiumri sema utapiamlo akiwa mdogo madhara yake tunayoana ukubwanianayemfahamu gentamcyne aweke picha yake nahisi ni mtoto sana bila shaka hawa ni kizazi cha miaka ya 95,balehe inamsumbua sana na thread zake nyingi zina utoto!
Hiyo dadako atakupatia mkuu
Mbona hunikaribishi hiyo Nukudi yako?
Kama Mdau wangu wa Sinde Pub na New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu niseme tu Unaniaibisha sana. au ID yako imekuwa Hacked?Ndio maana nikauliza kaka, ili niondoke kwenye u idiot
Yako ndiyo Tamu kwani Imenona mno.Hiyo dadako atakupatia mkuu
Kitanda chako Mirembe Mental Hospital umemuachia nani baada ya Kutoroka Matibabu yako?Ni mkubwa kiumri sema utapiamlo akiwa mdogo madhara yake tunayoana ukubwani
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Du pande zangu za kujiai hizi,leo nitakuwepo sana hapo Corner Bar kuna pisi moja nitakutana nayo hapo kabla ya kupandisha kuelekea Triple B.Kama Mdau wangu wa Sinde Pub na New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu niseme tu Unaniaibisha sana. au ID yako imekuwa Hacked?
Weekend tukutane New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu kwani kuna Demu mzuri mno wa Kimbulu nataka tumuwahi kabka hajazoeleka na kupewa Taarifa zetu na huyo ( yule ) Bubu Mbea Mbea wa Jirani.
Mbona wewe hukwenda kuandika TCRA au White house EFM mbezi beach?Kaifuate pale White House EFM Mbezi Beach au TCRA.
Nonsensical.Huwa unajionaga una akili sana
Na nilichogundua toka kwako ni kwamba umri unakusumbua na pia huna kazi ya maana.