Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

Wengine hatukusikia hicho kipindi mkuu, unaweza kuleta ushahidi tusikie wote alichozungumza huyo Haji hapo EFM?
 
TFF hawawezi kumchukulia hatua Kitenge wala EFM sio wadau wao.
 
Wewe kenge hivi ulijambwa? Kila member humu jukwaani unagombana nae jitafakari
Nagombana zaidi na Wapumbavu Wengi mliopp Wakiongozwa nawe Mwandamizi Wao.

Umeshaona nikigombana na akina adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi, Slim5, Sky Eclat etc hapa JamiiForums?

Mkitaka nisigombane nanyi jifunzeni kuwa na Akili ( Werevu ) kama hawa Members ninaowakubali Kiakili zaidi hapa JamiiForums sawa?
 
Huwa unajionaga una akili sana
Na nilichogundua toka kwako ni kwamba umri unakusumbua na pia huna kazi ya maana.
 
Ndio maana nikauliza kaka, ili niondoke kwenye u idiot
Kama Mdau wangu wa Sinde Pub na New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu niseme tu Unaniaibisha sana. au ID yako imekuwa Hacked?

Weekend tukutane New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu kwani kuna Demu mzuri mno wa Kimbulu nataka tumuwahi kabka hajazoeleka na kupewa Taarifa zetu na huyo ( yule ) Bubu Mbea Mbea wa Jirani.
 
Kama Mdau wangu wa Sinde Pub na New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu niseme tu Unaniaibisha sana. au ID yako imekuwa Hacked?

Weekend tukutane New Corner Bar Mbezi Beach Tangi Bovu kwani kuna Demu mzuri mno wa Kimbulu nataka tumuwahi kabka hajazoeleka na kupewa Taarifa zetu na huyo ( yule ) Bubu Mbea Mbea wa Jirani.
Du pande zangu za kujiai hizi,leo nitakuwepo sana hapo Corner Bar kuna pisi moja nitakutana nayo hapo kabla ya kupandisha kuelekea Triple B.
 
Back
Top Bottom