tatizo sio ccm kwa nn awe mnafiki alianza na lowassa sasa magufuli kama ni jembe magufuli mbona hakumpa sapot au kupost insta kabla ya lowassa kuhama inamaana hapo magufuli akiondolewa(mfano) akawekwa bilal au kawabwa pia atasema ni majembe we huoni kuna kitu hapo
Sasa ndiyo utie akilini kwamba yy ni CCM alimsapoti Lowasa akiwa CCM amehama unataka na yy ahame chama