tatizo sio ccm kwa nn awe mnafiki alianza na lowassa sasa magufuli kama ni jembe magufuli mbona hakumpa sapot au kupost insta kabla ya lowassa kuhama inamaana hapo magufuli akiondolewa(mfano) akawekwa bilal au kawabwa pia atasema ni majembe we huoni kuna kitu hapo
kwani kachagua wapi?
Hapo wangewakomalia hati miliki na miziki yao ikipigwa kwenye TV na redio walipwe wao ni kutumika.
Naomba kuuliza. Kwani ukawa ndio utakuwa unampangia ratiba za show zake na tour za nje ya nchi?
Chibu kipaji chake kimeshaonekana kimataifa hata aje raisi kutoka wapi hata athirika chochote , sbb kazi zake ni kwa juhudi zake binafsi
Baada ya mwaka ntakuita hapa kwenye huu uzi uje Ufute hii comment yako, huwa nawapenda sana nyie mnaojifanya wapiga ramli, mwenzio Matola alisema lazima wema sepetu ashinde ubunge nilimuahidi kumkumbusha baada ya kura.
My take: your just no body in people's destinations, Diamond atashuka siku riziki yake ikifika mwisho and not otherwise. U should take a chill and Relax.
Cc. Kimbley mzurimie kimnana Ruttashobolwa chige samsung. Nimewamic jamani.
FACTS.
Kihistoria, hakuna msanii anayejihusisha na siasa akiwa kwenye kilele cha taaluma yake akafahulu. Diamond anaelewa vibaya sifa zake kuwa si za siasa bali ni usanii. Hasije akafikiri anaweza kucommand politics kama entertainment. Let him stick to music na awaachie wanasiasa siasa zao.
NB. Ajuwe politics is dirty game.
Akafahulu-akafaulu
Hasije-Asije
You're so beautiful as always! Hizi ramli zao zinaboa hivi sasa manake tangu waanze kupiga ramli, huyo mgonjwa angekuwa keshakufa hivi sasa! Kuna mmoja wao nilimuuliza hiki kibri cha kujiona wao ndo wana-rule the world wanakitoa wapi wala hajanijibu hadi sasa! Watu oh, huoni hata Marlaw amepotea... yaani mtu kaamua kutulia na wife wake wanataka kuaminisha watu kwamba ni kuipigia kampeni CCM ndiko kumemwondoa Marlaw kwenye muziki! Hawajiulizi, why of all iwe Marlaw peke yake ndo wa kupotea wakati wengine wote ambao alikuwa nao kwenye kampeni bado wanadunda hadi kesho! Wala hawataki au huenda hawana uwezo wa kuunganisha dots na kugundua sio Tanzania tu bali hata sehemu nyingine duniani wasanii huwa wanaachana na sanaa mara baada ya kuingia kwenye mahusiano ya kindoa kama alivyofanya Marlaw!Baada ya mwaka ntakuita hapa kwenye huu uzi uje Ufute hii comment yako, huwa nawapenda sana nyie mnaojifanya wapiga ramli, mwenzio Matola alisema lazima wema sepetu ashinde ubunge nilimuahidi kumkumbusha baada ya kura.
My take: your just no body in people's destinations, Diamond atashuka siku riziki yake ikifika mwisho and not otherwise. U should take a chill and Relax.
Cc. Kimbley mzurimie kimnana Ruttashobolwa chige samsung. Nimewamic jamani.
You're so beautiful as always! Hizi ramli zao zinaboa hivi sasa manake tangu waanze kupiga ramli, huyo mgonjwa angekuwa keshakufa hivi sasa! Kuna mmoja wao nilimuuliza hiki kibri cha kujiona wao ndo wana-rule the world wanakitoa wapi wala hajanijibu hadi sasa! Watu oh, huoni hata Marlaw amepotea... yaani mtu kaamua kutulia na wife wake wanataka kuaminisha watu kwamba ni kuipigia kampeni CCM ndiko kumemwondoa Marlaw kwenye muziki! Hawajiulizi, why of all iwe Marlaw peke yake ndo wa kupotea wakati wengine wote ambao alikuwa nao kwenye kampeni bado wanadunda hadi kesho! Wala hawataki au huenda hawana uwezo wa kuunganisha dots na kugundua sio Tanzania tu bali hata sehemu nyingine duniani wasanii huwa wanaachana na sanaa mara baada ya kuingia kwenye mahusiano ya kindoa kama alivyofanya Marlaw!
Wapiga ramli mpo wengi na mlivyo na roho mbaya wote ramli zenu zipo in favor of downfall! Hivi hizo ramli zenu ingekuwa zinafanya kazi huyo Diamond leo angekuwapo? Lakini kwa bahati mbaya, kadri mnavozidisha ramli, ndo kwanza zina-prove otherwise! By the way, ikiwa unazungumzia history means kuna documented facts! Je, unaweza kunijia at most 3 musicians ambao baada ya kufanya kampeni za kisiasa, wakafutika kwenye ramani? Uje na facts na sio assumptions sawa na mnavyomtaja Marlaw ambae wala hamjiulizi, ni kwanini wasanii wengi wakiingia kwenye ndoa wanaanchana na sanaa na msione Marlaw nae probably ameachana na sanaa baada ya kuingia kwenye ndoa na sio kwa sababu ya kuipigia kampeni CCM hasa ukizingatia wasanii wenzake ambao alikuwa nao kwenye kampeni bado hadi leo wanakimbiza kwenye sanaa!FACTS.
Kihistoria, hakuna msanii anayejihusisha na siasa akiwa kwenye kilele cha taaluma yake akafahulu. Diamond anaelewa vibaya sifa zake kuwa si za siasa bali ni usanii. Hasije akafikiri anaweza kucommand politics kama entertainment. Let him stick to music na awaachie wanasiasa siasa zao.
NB. Ajuwe politics is dirty game.
I am sorry sir, if you're not good enough to understand what someone says, that's not my problem!So, what is your point?
Kama unaona Diamond hana haki ya kuchagua anacho kipenda au kukiamini hebu niambie Ney,Shamsha,Walper,Aunt,Roma,Nick,Kala,Profesa jay haki hizo wamezitoa wapi?Msanii bila mashabiki wapi na wapi! sisi ndo tuliokuwa tunampigia kura,vijana wote wa mtaani na kwenye mavyuo wakiisha jua tu chalii ni msaliti mambo yake yameisha.kwenye hii miezi miwili ataonyesha true colour zake na watu wote watamjua,na mambo yake itaishia hapo..Things will never be the same again..
Kwakweli hii nchi ina maajabu...? Yani Profesa jay ana haki ya kushabikia siasa na kuifanya lakini! Diamond hana hakiWe kama nani hadi useme things will never be the same again???? Huongelei fact unaleta blah blah tu, ulikuwa ukimpigia kura pekeako? And how far are you sure kuwa wewe na wenzako mkiacha kumpigia kura wengine pia wataacha? Unajua idadi ya mashabiki damu wa diamond?
bado naziona hizi ni ramli tena ramli angushi.
Baada ya mwaka ntakuita hapa kwenye huu uzi uje Ufute hii comment yako, huwa nawapenda sana nyie mnaojifanya wapiga ramli, mwenzio Matola alisema lazima wema sepetu ashinde ubunge nilimuahidi kumkumbusha baada ya kura.
My take: your just no body in people's destinations, Diamond atashuka siku riziki yake ikifika mwisho and not otherwise. U should take a chill and Relax.
Cc. Kimbley mzurimie kimnana Ruttashobolwa chige samsung. Nimewamic jamani.
FACTS.
Kihistoria, hakuna msanii anayejihusisha na siasa akiwa kwenye kilele cha taaluma yake akafahulu. Diamond anaelewa vibaya sifa zake kuwa si za siasa bali ni usanii. Hasije akafikiri anaweza kucommand politics kama entertainment. Let him stick to music na awaachie wanasiasa siasa zao.
NB. Ajuwe politics is dirty game.