Kwa hili la 50 Cent, King Mohamed Salman wa Saudi Arabia hayupo sahihi hata kidogo

Kwa hili la 50 Cent, King Mohamed Salman wa Saudi Arabia hayupo sahihi hata kidogo

Kwani Bin Laden si alitaka kuiondoa hiyo familia yao madarakani lakini marekani akawasaidia kummaliza?

Unashanga kuhusu Fif AKA fitty, lakini haushangai kuwa marekani wana base kubwa sana ya kijeshi pale Saudi na wanailinda ile nchi?
Ishu za usalama wa nchi ni tofauti na masuala ya maadili. The Holy Land has to be respected
 
Nyie mnaujua uislam kuliko wao waliozaliwa katika ardhi ya chimbuko la uislam acheni ujinga dini zote no scammers tu MBS hataki kuendelea kuchuma dhambi ya utapeli Kwa kupitia Imani za watu
 
Back
Top Bottom