Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

KooZito

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
397
Reaction score
1,377
Ndugu zangu, tukaeni mkao wa kula. Kwenye hili la chanjo uwezekano wa Tanzania kuibuka kidedea chini Rais Magufuli ni mkubwa sana ili iwe fundisho.

Kitendo Cha watu huko China kukamatwa wakifyatua chanjo bandia imezidisha hofu duniani kuhusu usalama wa chanjo wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona, UVIKO.

Hii ni kutokana kwamba halijulikani "wajanja" hao wameshasambaza kiasi gani "sokoni" maana nchi kadhaa zikiwemo Algeria, Rwanda, SA, Ghana nk wameshapokea mashehena ya chanjo na mengi yametokea China.

"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.

"Watanzania tupingane mambo mengine lakini suala la chanjo tumuunge mkono Rais wetu Magufuli, hachanjwi mtu hapa"- Bollen Ngetti (Tahuri).

#HachanjwiMtuHapa!
 
Ushubwada tu, kwani nchi inashidwa kufanya vetting kuhakikisha supplier wa chanjo ni genuine?

Dawa zote na chanjo zote, Zina changamoto za counterfeiting,hata ARV, ALU na nyinginezo zinachangamoto hizo ila hatujawahi kusema hazifai na tusiagize.
Hivyo kukamatwa kwa chanjo feki kusiwe kisingizio cha ku expose wanainchi kwa kuwanyima chanjo.

Alafu, hakuna siku ambayo Jiwe ataibuka kidedea kwenye mapambano dhidi ya COVID. Tayari ameshafeli, kasababisha maafa. Watu wanaokufa sababu ya recklessness yake Katika ku handle huu ugonjwa ni wengi Sana.

Basi tu tunaishi Katika, inchi yenye taasisi dhaifu. Hakuna anaye weza kumuwajibisha Rais.
 
Hakuna cha ajabu. Dawa fake kama zilivyo bidhaa nyingine, ni jambo la wakati wote. Sasa sijui kuibuka kidedea huko ni kuibuka kwa namna gani.

Tusipende kushabikia ujinga. Rais amepotoka kuonesha kuwa chanjo hazina msaada kwa maisha ya binadamu.

Na unapozunhumzia China, unazungumzia Taifa ambalo hakuna maadili, hakuma miiko wala mifumo imara ya udhibiti wa ubira wa vitu.

Kwa ujumla China imeiharibu Dunia kwa kusambaza bidhaa duni za kila aina. Nilinunua buti ya China, nikaambuwa ni high quality kwa sh 90,000. Baada ya miezi 2 ikaachia sori yote. Nilinunua buti Santiago mwaka 2002 kwa dola 75 moaka leo ipo. Katika buti hizi mbili, ipi ni aghali zaidi?

Watu hawajui. Vitu vya China ni aghali sana kwa sababu havidumu. Na nchi za Africa ni waathirika wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha ajabu. Dawa fake kama zilivyo bidhaa nyingine, ni jambo la wakati wote. Sasa sijui kuibuka kidedea huko ni kuibuka kwa namna gani.

Tusipende kushabikia ujinga. Rais amepotoka kuonesha kuwa chanjo hazina msaada kwa maisha ya binadamu.

Na unapozunhumzia China, unazungumzia Taifa ambalo hakuna maadili, hakuma miiko wala mifumo imara ya udhibiti wa ubira wa vitu.

Kwa ujumla China imeiharibu Dunia kwa kusambaza bidhaa duni za kila aina. Nilinunua buti ya China, nikaambuwa ni high quality kwa sh 90,000. Baada ya miezi 2 ikaachia sori yote. Nilinunua buti Santiago mwaka 2002 kwa dola 75 moaka leo ipo. Katika buti hizi mbili, ipi ni aghali zaidi?

Watu hawajui. Vitu vya China ni aghali sana kwa sababu havidumu. Na nchi za Africa ni waathirika wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app

China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa zilizo chini ya ubora. Bidhaa za China tunazinunua kwa sababu ya unafuu na kukosa mbadala, lakini bidhaa zake karibu zote ni uchafu kama uchafu mwingine.
 
Hivi yule jamaa aliekuwa na mtambo wa kufukiza pale Kimara kapotelea wapi...?
 
Ndugu zangu, tukaeni mkao wa kula. Kwenye hili la chanjo uwezekano wa Tanzania kuibuka kidedea chini Rais Magufuli ni mkubwa sana ili iwe fundisho.

Kitendo Cha watu huko China kukamatwa wakifyatua chanjo bandia imezidisha hofu duniani kuhusu usalama wa chanjo wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona, UVIKO.

Hii ni kutokana kwamba halijulikani "wajanja" hao wameshasambaza kiasi gani "sokoni" maana nchi kadhaa zikiwemo Algeria, Rwanda, SA, Ghana nk wameshapokea mashehena ya chanjo na mengi yametokea China.

"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.

"Watanzania tupingane mambo mengine lakini suala la chanjo tumuunge mkono Rais wetu Magufuli, hachanjwi mtu hapa"- Bollen Ngetti (Tahuri).

#HachanjwiMtuHapa!
#HachanjwiMtuHapa

Naunga mkono hoja
 
Hakuna cha ajabu. Dawa fake kama zilivyo bidhaa nyingine, ni jambo la wakati wote. Sasa sijui kuibuka kidedea huko ni kuibuka kwa namna gani.

Tusipende kushabikia ujinga. Rais amepotoka kuonesha kuwa chanjo hazina msaada kwa maisha ya binadamu.

Na unapozunhumzia China, unazungumzia Taifa ambalo hakuna maadili, hakuma miiko wala mifumo imara ya udhibiti wa ubira wa vitu.

Kwa ujumla China imeiharibu Dunia kwa kusambaza bidhaa duni za kila aina. Nilinunua buti ya China, nikaambuwa ni high quality kwa sh 90,000. Baada ya miezi 2 ikaachia sori yote. Nilinunua buti Santiago mwaka 2002 kwa dola 75 moaka leo ipo. Katika buti hizi mbili, ipi ni aghali zaidi?

Watu hawajui. Vitu vya China ni aghali sana kwa sababu havidumu. Na nchi za Africa ni waathirika wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa bora hiyo chanjo au tiba yetu ambayo inazibua mifumo wa mwili wa kupumua na wa damu kusafiri
 
hili sakata la corona kwa ujumla magufuli kacheza kama pele, ndo uzuri wa kua na president aliesoma science vizuri, ingekua tuna president kasoma HGE tungeficha wap sura zetu
 
Back
Top Bottom