Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Ushubwada tu, kwani nchi inashidwa kufanya vetting kuhakikisha supplier wa chanjo ni genuine?

Dawa zote na chanjo zote, Zina changamoto za counterfeiting,hata ARV, ALU na nyinginezo zinachangamoto hizo ila hatujawahi kusema hazifai na tusiagize.
Hivyo kukamatwa kwa chanjo feki kusiwe kisingizio cha ku expose wanainchi kwa kuwanyima chanjo.

Alafu, hakuna siku ambayo Jiwe ataibuka kidedea kwenye mapambano dhidi ya COVID. Tayari ameshafeli, kasababisha maafa. Watu wanaokufa sababu ya recklessness yake Katika ku handle huu ugonjwa ni wengi Sana.

Basi tu tunaishi Katika, inchi yenye taasisi dhaifu. Hakuna anaye weza kumuwajibisha Rais.
Ebu tuliza akili kidogo, na ufikirie nje ya box , kuna Nchi zimefuata hizo protocols za covid na bado watu wame puputika na wanaendelea kukupuputika, hivyo unacho ongelea hapa bongo ni uzushi au matamanio yako
 
Sio unajipostia tu. ukiulizwa kivipi si salama utajibu nini. ukiulizwa eleza usalama wa machanjo mengine yoote ya wazungu utajibu nini.
Wewe ukiulizwa ni kivipi unausalama hiyo Chanjo utathibitisha? Zaidi utasema umewaona wathungu wakichanjwa kijanjajanja kuwahadaa watu
 
Ebu tuliza akili kidogo, na ufikirie nje ya box , kuna Nchi zimefuata hizo protocols za covid na bado watu wame puputika na wanaendelea kukupuputika, hivyo unacho ongelea hapa bongo ni uzushi au matamanio yako
Kwani hapa hawapukutiki? Ni ujinga wa hali ya juu kuficha takwimu halafu unasema huna tatizo.

Tulistahili kupima, kupata takwimu za wanaofariki, halafu ndiyo tunakuwa kwenye nafasi ya kusema kama tuna unafuu au la!

Hata huko wanakotoa takwimu za vifo uliwahi kuona miili barabarani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu, tukaeni mkao wa kula. Kwenye hili la chanjo uwezekano wa Tanzania kuibuka kidedea chini Rais Magufuli ni mkubwa sana ili iwe fundisho.

Kitendo Cha watu huko China kukamatwa wakifyatua chanjo bandia imezidisha hofu duniani kuhusu usalama wa chanjo wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona, UVIKO.

Hii ni kutokana kwamba halijulikani "wajanja" hao wameshasambaza kiasi gani "sokoni" maana nchi kadhaa zikiwemo Algeria, Rwanda, SA, Ghana nk wameshapokea mashehena ya chanjo na mengi yametokea China.

"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.

"Watanzania tupingane mambo mengine lakini suala la chanjo tumuunge mkono Rais wetu Magufuli, hachanjwi mtu hapa"- Bollen Ngetti (Tahuri).

#HachanjwiMtuHapa!
Muna kilema cha kusifia ujinga
 
Kwani hapa hawapukutiki? Ni ujinga wa hali ya juu kuficha takwimu halafu unasema huna tatizo.

Tulistahili kupima, kupata takwimu za wanaofariki, halafu ndiyo tunakuwa kwenye nafasi ya kusema kama tuna unafuu au la!

Hata huko wanakotoa takwimu za vifo uliwahi kuona miili barabarani?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani hapa , kuna miili barabarani, au ni akili ya "kisaccos"
 
Ile iliyofuatwa na ndege kwa DJ, majibu yake yalitoka?
 
Ushubwada tu, kwani nchi inashidwa kufanya vetting kuhakikisha supplier wa chanjo ni genuine?

Dawa zote na chanjo zote, Zina changamoto za counterfeiting,hata ARV, ALU na nyinginezo zinachangamoto hizo ila hatujawahi kusema hazifai na tusiagize.
Hivyo kukamatwa kwa chanjo feki kusiwe kisingizio cha ku expose wanainchi kwa kuwanyima chanjo.

Alafu, hakuna siku ambayo Jiwe ataibuka kidedea kwenye mapambano dhidi ya COVID. Tayari ameshafeli, kasababisha maafa. Watu wanaokufa sababu ya recklessness yake Katika ku handle huu ugonjwa ni wengi Sana.

Basi tu tunaishi Katika, inchi yenye taasisi dhaifu. Hakuna anaye weza kumuwajibisha Rais.
Pumba tupu
 
China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa zilizo chini ya ubora. Bidhaa za China tunazinunua kwa sababu ya unafuu na kukosa mbadala, lakini bidhaa zake karibu zote ni uchafu kama uchafu mwingine.
Mchadomo upo?
 
Hakuna cha ajabu. Dawa fake kama zilivyo bidhaa nyingine, ni jambo la wakati wote. Sasa sijui kuibuka kidedea huko ni kuibuka kwa namna gani.

Tusipende kushabikia ujinga. Rais amepotoka kuonesha kuwa chanjo hazina msaada kwa maisha ya binadamu.

Na unapozunhumzia China, unazungumzia Taifa ambalo hakuna maadili, hakuma miiko wala mifumo imara ya udhibiti wa ubira wa vitu.

Kwa ujumla China imeiharibu Dunia kwa kusambaza bidhaa duni za kila aina. Nilinunua buti ya China, nikaambuwa ni high quality kwa sh 90,000. Baada ya miezi 2 ikaachia sori yote. Nilinunua buti Santiago mwaka 2002 kwa dola 75 moaka leo ipo. Katika buti hizi mbili, ipi ni aghali zaidi?

Watu hawajui. Vitu vya China ni aghali sana kwa sababu havidumu. Na nchi za Africa ni waathirika wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app

Shilingi elf 90 ya Tz buti ya China vs 75$ buti ya Santiago......

Sawa.
 
#HachanjwiMtuHapa!
Utapimwa tu (God forbid isiwe kile kipimo cha wachina) na Utachanjwa tuu. Huna pa kukimbilia.

Labda wewe sio msafiri na kama unasafiri, basi ni kutumia Yutong za akina Shabiby. Kama safari zako ni za kuvuka mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, utachanjwa tu😊
 
Mama ake mpaka sasa anazaid ya mwaka anapumulia mashine..... kamuulize izo mashine sio za wazungu, na anapewa dawa za asili ama za wazungu...

Bila hao wazungu uyo mama ake angeshaga zika....

la kuambiwa changanya na la kwako
 
Back
Top Bottom