Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Bidhaa za china ni ghali mno kuliko ya mataifa mengine jaribu kufikilia kwa kina utaujua ughali wa vifaa vya china.
hauna akili ww, unaishi dunia ipi hiyo?!. Hata watoto wa primary schools za mijini wote wanajua udhaifu wa bidhaa kutoka china vs bidhaa za kutoka ulaya.
 
Ndugu zangu, tukaeni mkao wa kula. Kwenye hili la chanjo uwezekano wa Tanzania kuibuka kidedea chini Rais Magufuli ni mkubwa sana ili iwe fundisho.

Kitendo Cha watu huko China kukamatwa wakifyatua chanjo bandia imezidisha hofu duniani kuhusu usalama wa chanjo wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona, UVIKO.

Hii ni kutokana kwamba halijulikani "wajanja" hao wameshasambaza kiasi gani "sokoni" maana nchi kadhaa zikiwemo Algeria, Rwanda, SA, Ghana nk wameshapokea mashehena ya chanjo na mengi yametokea China.

"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.

"Watanzania tupingane mambo mengine lakini suala la chanjo tumuunge mkono Rais wetu Magufuli, hachanjwi mtu hapa"- Bollen Ngetti (Tahuri).

#HachanjwiMtuHapa!
Usiwe mjinga, kukataa chanjo ni tofauti na kupata chanjo fake, fuata taratibu pata chanjo sahihi toka maeneo sahihi!
 
Tukiambiwa tuna akili ndogo tunajaa povu!
Hivi unajua maana ya kirusi kweli wewe hayawani?
Kuna kirusi kiliwahi kupata dawa zaidi ya chanjo?
Ni bora ungekaa kimya kuficha ujinga wako!
 
Back
Top Bottom