Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Bidhaa za china ni ghali mno kuliko ya mataifa mengine jaribu kufikilia kwa kina utaujua ughali wa vifaa vya china.
hauna akili ww, unaishi dunia ipi hiyo?!. Hata watoto wa primary schools za mijini wote wanajua udhaifu wa bidhaa kutoka china vs bidhaa za kutoka ulaya.
 
Usiwe mjinga, kukataa chanjo ni tofauti na kupata chanjo fake, fuata taratibu pata chanjo sahihi toka maeneo sahihi!
 
Tukiambiwa tuna akili ndogo tunajaa povu!
Hivi unajua maana ya kirusi kweli wewe hayawani?
Kuna kirusi kiliwahi kupata dawa zaidi ya chanjo?
Ni bora ungekaa kimya kuficha ujinga wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…