Kwa hili la DP world! Niko tayari kuingia kwenye ulingo wa siasa za upinzani!

Kwa hili la DP world! Niko tayari kuingia kwenye ulingo wa siasa za upinzani!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Sasa, ni rasimi na niko tayari kutumikia siasa za upinzani kwa nguvu zangu zote na kwa mali zangu zote, huku nikiwaelimisha watanzania jinsi wanavyouzwa na kurudishwa utumwani kwa tamaa za viongozi walafi na wasiotosheka na kile walichonacho kutoka CCM.

Chama kinachoitwa ccm ali maarufu kama chama cha mafisadi, hakiwezi tena na hawana uwezo wowote wa kuwaongoza watanzania zaidi ya kuuza na kubinafisisha rasilimali za nchi yetu na kisha kupeana 10%

Mtanzania mwenzangu, nchi yetu ni hii hii moja, hatuna nyingine na ndiyo hii hii inayogawiwa warabu bila ukomo wa mikataba, na hii maana yake ni moja tu, ni sisi kufanywa kuwa koloni la kiarabu

Wakati umefika, tuseme basi,

Ondoa hofu, komboa nchi yako!

Mimi niko tayari kuamsha amsha watanzania kwa Kampeni za mtu kwa mtu ili watanzania waone madhara ya kukosa Bandari zao milele
 
Sasa, ni rasimi na niko tayari kutumikia siasa za upinzani kwa nguvu zangu zote na kwa mali zangu zote, huku nikiwaelimisha watanzania jinsi wanavyouzwa na kurudishwa utumwani kwa tamaa za viongozi walafi na wasiotosheka na kile walichonacho kutoka CCM.

Chama kinachoitwa ccm ali maarufu kama chama cha mafisadi, hakiwezi tena na hawana uwezo wowote wa kuwaongoza watanzania zaidi ya kuuza na kubinafisisha rasilimali za nchi yetu na kisha kupeana 10%

Mtanzania mwenzangu, nchi yetu ni hii hii moja, hatuna nyingine na ndiyo hii hii inayogawiwa warabu bila ukomo wa mikataba, na hii maana yake ni moja tu, ni sisi kufanywa kuwa koloni la kiarabu

Wakati umefika, tuseme basi,

Ondoa hofu, komboa nchi yako!

Mimi niko tayari kuamsha amsha watanzania kwa Kampeni za mtu kwa mtu ili watanzania waone madhara ya kukosa Bandari zao milele
Anza Sasa unangoja Nini ndugu? Maneno meeeengi hatuoni utekelezaji. Tuna kiu ya kuipata hiyo elimu na Nini kifanyike kwa ajili ya manufaa ya taifa letu.
 
Anza Sasa unangoja Nini ndugu? Maneno meeeengi hatuoni utekelezaji. Tuna kiu ya kuipata hiyo elimu na Nini kifanyike kwa ajili ya manufaa ya taifa letu.
Wajinga walioshindikana siwahitaji
 
Anza Sasa unangoja Nini ndugu? Maneno meeeengi hatuoni utekelezaji. Tuna kiu ya kuipata hiyo elimu na Nini kifanyike kwa ajili ya manufaa ya taifa letu.
Wajinga walioshindikana, huduma hii haitawahusu
 
Dunia imemeza mamilioni ya Watu na itaendelea, Kuogopa kufa huku ukiwa huna hatia yoyote napo ni ujinga!

Ujinga ni kuamini mchawi hawezi kufa kwa sababu yeye huuwa Watu!
Lianzishe mzee nasi tutafata.
 
Sasa, ni rasimi na niko tayari kutumikia siasa za upinzani kwa nguvu zangu zote na kwa mali zangu zote, huku nikiwaelimisha watanzania jinsi wanavyouzwa na kurudishwa utumwani kwa tamaa za viongozi walafi na wasiotosheka na kile walichonacho kutoka CCM.

Chama kinachoitwa ccm ali maarufu kama chama cha mafisadi, hakiwezi tena na hawana uwezo wowote wa kuwaongoza watanzania zaidi ya kuuza na kubinafisisha rasilimali za nchi yetu na kisha kupeana 10%

Mtanzania mwenzangu, nchi yetu ni hii hii moja, hatuna nyingine na ndiyo hii hii inayogawiwa warabu bila ukomo wa mikataba, na hii maana yake ni moja tu, ni sisi kufanywa kuwa koloni la kiarabu

Wakati umefika, tuseme basi,

Ondoa hofu, komboa nchi yako!

Mimi niko tayari kuamsha amsha watanzania kwa Kampeni za mtu kwa mtu ili watanzania waone madhara ya kukosa Bandari zao milele
Uko sahihi, lakini lazima ukiri imani ya kuwa utaacha ule ujinga wako
 
Sasa, ni rasimi na niko tayari kutumikia siasa za upinzani kwa nguvu zangu zote na kwa mali zangu zote, huku nikiwaelimisha watanzania jinsi wanavyouzwa na kurudishwa utumwani kwa tamaa za viongozi walafi na wasiotosheka na kile walichonacho kutoka CCM.

Chama kinachoitwa ccm ali maarufu kama chama cha mafisadi, hakiwezi tena na hawana uwezo wowote wa kuwaongoza watanzania zaidi ya kuuza na kubinafisisha rasilimali za nchi yetu na kisha kupeana 10%

Mtanzania mwenzangu, nchi yetu ni hii hii moja, hatuna nyingine na ndiyo hii hii inayogawiwa warabu bila ukomo wa mikataba, na hii maana yake ni moja tu, ni sisi kufanywa kuwa koloni la kiarabu

Wakati umefika, tuseme basi,

Ondoa hofu, komboa nchi yako!

Mimi niko tayari kuamsha amsha watanzania kwa Kampeni za mtu kwa mtu ili watanzania waone madhara ya kukosa Bandari zao milele

Kwa spidi hii ya Ubinafsishaji, sioni umuhimu wa TZ kuwa huru, au ile 1960 ilikua ni uhuru wa Bendera.?
 
Tukiacha unafki itawezekana
KUANZISHA UMOJA HUU NDIO UNAFIKI WENYEWE No.1
Si mara ya kwanza kwa CCM kuingia kwenye mikataba mibovu tena ya rasilimali zenye thamani zaidi kuliko Bandari. DHAHABU na Almasi, Ulikuwa wapi?
 
Sasa, ni rasimi na niko tayari kutumikia siasa za upinzani kwa nguvu zangu zote na kwa mali zangu zote, huku nikiwaelimisha watanzania jinsi wanavyouzwa na kurudishwa utumwani kwa tamaa za viongozi walafi na wasiotosheka na kile walichonacho kutoka CCM.

Chama kinachoitwa ccm ali maarufu kama chama cha mafisadi, hakiwezi tena na hawana uwezo wowote wa kuwaongoza watanzania zaidi ya kuuza na kubinafisisha rasilimali za nchi yetu na kisha kupeana 10%

Mtanzania mwenzangu, nchi yetu ni hii hii moja, hatuna nyingine na ndiyo hii hii inayogawiwa warabu bila ukomo wa mikataba, na hii maana yake ni moja tu, ni sisi kufanywa kuwa koloni la kiarabu

Wakati umefika, tuseme basi,

Ondoa hofu, komboa nchi yako!

Mimi niko tayari kuamsha amsha watanzania kwa Kampeni za mtu kwa mtu ili watanzania waone madhara ya kukosa Bandari zao milele
Upinzani hawachukui watu wasiojielewa kama wewe may be uungane na Dovutwa wa APPT Maendeleo
 
Back
Top Bottom