Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Lau km nisingekuta umesitisha muamala ningekuona bonge la fala, umefanya la maana saana kusitisha muamala.
 
Ukiona hivyo huyo demu ni MKALI SANA/ chuma
Hakika ndio wanavyo kuaga hivyo... Tafuta mwanamke sura ya baba yake hakika utakuja nipa mrejesho..
 
Shida ni huyo dada alitakiwa kuwa na shukrani atakama pesa haikutosha lbd next time angepata nyingine angemtumia, unajua nikwel wanaume tumekuwa tukitoa pesa kwa wapenzi wetu kwasababu tunataka kuonyesha tunajali.wazazi wetu wanapata asilimia ndogo sana ya kile walicho wekeza kwetu lkn wapenzi wetu wamekuwa wakipata zaidi hata ya uhalisia wa kipato chetu,kuwa na shukran mwanamke hujui mazingila ya hio pesa inako patikana hujui ukituma text ya kuomba pesa vile tunachukulia halaka na tukikosa tunapambana kweli kwa nguvu kupata hio pesa mladi kuonyesha uwanaume wangu basi kuwa na shukrani

Habari ya kusema genye zako sijui zipeleke kwa mama au sijui mwanamke matunzo kwel tunalitambua tunafanya kama upendo sio genye maana kama ishu ni genye wapo huko mtaani wanajua kwel na kagoli kamoja hajisemeshi kala 50k yake kaenda,tena ukiwa mteja na siku nyingine unapewa ofa

Sisi tunatoa kwa upendo pokeeni kwa upendo na shukrani pia
 
Ati mama yako awe girlfriend wako?
Its not about girlfriend.. its about gratitude you dumb ass..
Wanawake wa aina yenu huwaga ni washenzi washenzi ambao hamtakiwi kuhurumiwa hata kidogo kunapokua na chance
 
Its not about girlfriend.. its about gratitude you dumb ass..
Wanawake wa aina yenu huwaga ni washenzi washenzi ambao hamtakiwi kuhurumiwa hata kidogo kunapokua na chance
F you. Umekuja umekurupuka baada ya kukuta uzi umebadilishwa title na content. Mfyuuuu
 
Safi kabisa bora tuwape pesa watu walioangaika na sisi sio hawa vipepe
 
Umeongea kwa hasira sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…